fundi bishoo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 14,264
- 27,132
utapigwa tukio na utaliwa kipapa na biashara hufunguliwi nae s mjinga hvo 😂🤣Aaah tigo haitoki!!! Tigo akale kwa mkewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
utapigwa tukio na utaliwa kipapa na biashara hufunguliwi nae s mjinga hvo 😂🤣Aaah tigo haitoki!!! Tigo akale kwa mkewe
Kama ni hivyo sahau hiyo biashara uitakayo.Aaah tigo haitoki!!! Tigo akale kwa mkewe
Weh!!! Haipo iyo aliwi mtu kijinga safar hii fifty to fifty, 50 to 50!!!!!!utapigwa tukio na utaliwa kipapa na biashara hufunguliwi nae s mjinga hvo 😂🤣
🤣🤣🤣Aisee🙌Uchumi wa buluu
Hovyo kabisa.Safari hii nataka ni date na mume wa mtu for benefit,yaani anifungulie biashara,nilisha date na mume wa mtu alikua ananizagamua tu na kunipa chips kuku na viela vidogo...
mama yuko kazini tusubiri unogewe umbebee na mimbaWe
Weh!!! Haipo iyo aliwi mtu kijinga safar hii fifty to fifty, 50 to 50!!!!!!
Hutaki kuukalia uchumi ulionao 😃We
Weh!!! Haipo iyo aliwi mtu kijinga safar hii fifty to fifty, 50 to 50!!!!!!
Mungu wangu!Safari hii nataka ni date na mume wa mtu for benefit,yaani anifungulie biashara,nilisha date na mume wa mtu alikua ananizagamua tu na kunipa chips kuku na viela vidogo!...
Ayah najiuza!!! najiuza luchaEdit kichwa cha uzi uandike "Jamani eeh najiuza"
Chura ni brand bintiChura sio shida,atajua yeye alichonipendea.
Njoo tudate lakn nambie unatak nikufungulie biashara gani bibieSafari hii nataka ni date na mume wa mtu for benefit,yaani anifungulie biashara,nilisha date na mume wa mtu alikua ananizagamua tu na kunipa chips kuku na viela vidogo!! Vidogo!! Sasa tulishaachana sababu ya kuachana nili shift mkoa otherwise tungekua tuna date hadi Leo,sasa kuna mume wa MTU hapa naona anajileta leta tena ,na ni mi hand some kinoma ani, na ana pesa uyu nataka nimchune jamani,wala sibebi mimba nitakua natumia majira,mume wangu hana ela acha niingie king nipate pesa hapa nataka nimwambie tucheki HIV,kama wote tuko poa Mimi ninachotaka anipe ninachotaka biashara tu full stop.
Waebrania 13Safari hii nataka ni date na mume wa mtu for benefit,yaani anifungulie biashara,nilisha date na mume wa mtu alikua ananizagamua tu na kunipa chips kuku na viela vidogo!! Vidogo!! Sasa tulishaachana sababu ya kuachana nili shift mkoa otherwise tungekua tuna date hadi Leo,sasa kuna mume wa MTU hapa naona anajileta leta tena ,na ni mi hand some kinoma ani, na ana pesa uyu nataka nimchune jamani,wala sibebi mimba nitakua natumia majira,mume wangu hana ela acha niingie king nipate pesa hapa nataka nimwambie tucheki HIV,kama wote tuko poa Mimi ninachotaka anipe ninachotaka biashara tu full stop.
Tumeendana mawazo.Waebrania 13
4 Ndoa na iheshimiwe na watu wote, na malazi yawe safi; kwa maana waasherati na wazinzi Mungu atawahukumia adhabu.
Sent from my SM-G970U using JamiiForums mobile app
Nawanda mwanzo mwishoYeye ana mke, tamaa zake ndo zinazofanya achepuke sasa anifungulie biashara kama hataki asepe aende kwa mke wake.
Unasema una mume.Safari hii nataka ni date na mume wa mtu for benefit,yaani anifungulie biashara,nilisha date na mume wa mtu alikua ananizagamua tu na kunipa chips kuku na viela vidogo...