Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Hausahau tu na ww🤣Hela zenyewe sasa🤣🤣🤣🤣🤣 Haya sasa lete pesa nikutunzie.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hausahau tu na ww🤣Hela zenyewe sasa🤣🤣🤣🤣🤣 Haya sasa lete pesa nikutunzie.
Masijala mshafika 😹😹😹Si wewe ulileta Uzi mchana kuwa boyfriend wako amekudanganya umri wewe ndio mkubwa kwake mara hii unamume maskini haya keep on entertaining us 🥂
But the main point is rigid. All women are for sale, it's just a matter of acceptable price.Mwandiko wa kiume huo.
Nimehis kama wewe halafu🤔Mwandiko wa kiume huo.
Tako lilikuwa linamdanganya 😹😹😹Nafikiri huwafahamu vizuri wansume.
Nilikuwa na bibie kama wewe na alikuwa nzuri haswa, guu guu, tako tako.
Na bibie alikuwa anajua sana majamboz.
Nikamkodishia nyumba na mtaji mkubwa tu wa biashara.
Kila tukila mzigo napewa maombi mapya ya mtaji. Nikawa natoa mpaka nikahisi mambo si sawa.
Tatizo bibie hana akili akapata kijana mwenziwe wa kumzingua, na kumpa good time.
Mara bibie anakuwa mkali, anaongea nami utafikiri anaongea na house boy.
Mie nikapigwa kibuti.
Siku nimeonana na dada yake bibie, tena ameolewa, ndo nilapata picha nzima, fresh.
Kwanza nikamla dada mtu ambaye kumbe naye anatamani. Adui ya mwanamke ni mwanamke
Bibie original girl hakujua kinachoendelea lakini akaona nimekuwa mpole tu na wala siombi mzigo wala company.
Kifupi nilimshit.
Akajaribu kumtuma mama yake aliyekuwa anajua uhusiano wetu lakini wakanikuta nimepoa.
Kuna siku niliitwa shughuli ambayo bibie alikuwepo. Alipendeza mno na ni mzuri haswa, na slivaa nguo zinaonyeshwa umbo kama lilivyo.
Lakini hilo hslikuniamsha ari wala ashki.
Kifupi bibie hawezi tena pata senti yangu.
😂😂😂😂😂Hausahau tu na ww🤣Hela zenyewe sasa
Nikitoa buku huo ni nusu ya utajiri wangu totoo😂😂😂😂😂
Hizo hizo.
Bora wewe una buku🤣Nikitoa buku huo ni nusu ya utajiri wangu totoo
Hiyo si njia sahihi ya kufnya Ili upate biashara..tafakari njia nyngne!!Safari hii nataka ni date na mume wa mtu for benefit,yaani anifungulie biashara,nilisha date na mume wa mtu alikua ananizagamua tu na kunipa chips kuku na viela vidogo!! Vidogo!! Sasa tulishaachana sababu ya kuachana nili shift mkoa otherwise tungekua tuna date hadi Leo.
Sasa kuna mume wa MTU hapa naona anajileta leta tena na ni mi hand some kinoma ani, na ana pesa huyu nataka nimchune jamani, wala sibebi mimba nitakua natumia majira, mume wangu hana hela acha niingie king nipate pesa hapa nataka nimwambie tucheki HIV.
Kama wote tuko poa Mimi ninachotaka anipe ninachotaka biashara tu full stop.
Naskia huko dar 10k ukichange gafla inaadapt tabia za buku inaisha chapBora wewe una buku🤣
Ulivyokuwa unaandika ulikuwa umekunywa castle light/desperado ngapi?Safari hii nataka ni date na mume wa mtu for benefit,yaani anifungulie biashara,nilisha date na mume wa mtu alikua ananizagamua tu na kunipa chips kuku na viela vidogo!! Vidogo!! Sasa tulishaachana sababu ya kuachana nili shift mkoa otherwise tungekua tuna date hadi Leo.
Sasa kuna mume wa MTU hapa naona anajileta leta tena na ni mi hand some kinoma ani, na ana pesa huyu nataka nimchune jamani, wala sibebi mimba nitakua natumia majira, mume wangu hana hela acha niingie king nipate pesa hapa nataka nimwambie tucheki HIV.
Kama wote tuko poa Mimi ninachotaka anipe ninachotaka biashara tu full stop.
Dar ni mji wa kishetani.Naskia huko dar 10k ukichange gafla inaadapt tabia za buku inaisha chap
heee wewe[emoji53] sio vizuri, si utafte tu wako mpenzi?? usiharibu ndoa ya mtu please[emoji120]Safari hii nataka ni date na mume wa mtu for benefit,yaani anifungulie biashara,nilisha date na mume wa mtu alikua ananizagamua tu na kunipa chips kuku na viela vidogo!! Vidogo!! Sasa tulishaachana sababu ya kuachana nili shift mkoa otherwise tungekua tuna date hadi Leo.
Sasa kuna mume wa MTU hapa naona anajileta leta tena na ni mi hand some kinoma ani, na ana pesa huyu nataka nimchune jamani, wala sibebi mimba nitakua natumia majira, mume wangu hana hela acha niingie king nipate pesa hapa nataka nimwambie tucheki HIV.
Kama wote tuko poa Mimi ninachotaka anipe ninachotaka biashara tu full stop.
Acha kwenda maeneo ya kishetani😁Dar ni mji wa kishetani.
Mara hii utafilisika hadi uhai wee shauri zako [emoji23][emoji23]Untaka biashara gani bby uje tupeane raha. Mil 10 mfuko wa shati hapa. TTT zote zipo?
🤣🤣🤣🤣 Nifilisike hadi uhai 🤣🤣🤣🤣. Asante kwa kunipa tahadhari. Wacha nijiweke pembeniMara hii utafilisika hadi uhai wee shauri zako [emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23] Ahsante kwa kuwa msikivu.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nifilisike hadi uhai [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Asante kwa kunipa tahadhari. Wacha nijiweke pembeni
Kumbe una roho ya huruma...aise andu je amekosa wife material[emoji23][emoji23][emoji23] Ahsante kwa kuwa msikivu.