Nataka nianzishe mahusiano na mume wa mtu kwa faida

Nataka nianzishe mahusiano na mume wa mtu kwa faida

Usijali...wee dondosha location kwa pm hapo nakupitia usubuhi. I hope unapandaga bodaboda
[emoji16][emoji16] Boda napanda na ndio usafiri wangu pendwa. Ukawe na usiku mwema usinywe sana ukalewa ushindwe kurudi nyumbani.
 
[emoji16][emoji16] Boda napanda na ndio usafiri wangu pendwa. Ukawe na usiku mwema usinywe sana ukalewa ushindwe kurudi nyumbani.
Basi fresh moja kamili nipo hapo.
Usijali mie na pombe ni kama maji na mafuta....we dnt mix. Nipo naodolea macho warembo ndani ya leggings hapa. Anywas wacha nikalale kesho tusichelewe ibadani. Usiku mwema
 
Basi fresh moja kamili nipo hapo.
Usijali mie na pombe ni kama maji na mafuta....we dnt mix. Nipo naodolea macho warembo ndani ya leggings hapa. Anywas wacha nikalale kesho tusichelewe ibadani. Usiku mwema
Ahsante, usiku mwema pia!!
 
Safari hii nataka ni date na mume wa mtu for benefit,yaani anifungulie biashara,nilisha date na mume wa mtu alikua ananizagamua tu na kunipa chips kuku na viela vidogo!! Vidogo!! Sasa tulishaachana sababu ya kuachana nili shift mkoa otherwise tungekua tuna date hadi Leo.

Sasa kuna mume wa MTU hapa naona anajileta leta tena na ni mi hand some kinoma ani, na ana pesa huyu nataka nimchune jamani, wala sibebi mimba nitakua natumia majira, mume wangu hana hela acha niingie king nipate pesa hapa nataka nimwambie tucheki HIV.

Kama wote tuko poa Mimi ninachotaka anipe ninachotaka biashara tu full stop.
Ungetafuta hata mwanamke hapo mtaani kwako angekusaidia kuandika huu upuuzi jombaa.

Unaona wanawake humu wanavyozingatiwa basi unatami nawe uzingatiwe 😂
 
Safari hii nataka ni date na mume wa mtu for benefit,yaani anifungulie biashara,nilisha date na mume wa mtu alikua ananizagamua tu na kunipa chips kuku na viela vidogo!! Vidogo!! Sasa tulishaachana sababu ya kuachana nili shift mkoa otherwise tungekua tuna date hadi Leo.

Sasa kuna mume wa MTU hapa naona anajileta leta tena na ni mi hand some kinoma ani, na ana pesa huyu nataka nimchune jamani, wala sibebi mimba nitakua natumia majira, mume wangu hana hela acha niingie king nipate pesa hapa nataka nimwambie tucheki HIV.

Kama wote tuko poa Mimi ninachotaka anipe ninachotaka biashara tu full stop.
Utaliwa Sana na kitakachobaki ni mistari ya mazimoro Kwenye mapaja na matako.
 
Safari hii nataka ni date na mume wa mtu for benefit,yaani anifungulie biashara,nilisha date na mume wa mtu alikua ananizagamua tu na kunipa chips kuku na viela vidogo!! Vidogo!! Sasa tulishaachana sababu ya kuachana nili shift mkoa otherwise tungekua tuna date hadi Leo.

Sasa kuna mume wa MTU hapa naona anajileta leta tena na ni mi hand some kinoma ani, na ana pesa huyu nataka nimchune jamani, wala sibebi mimba nitakua natumia majira, mume wangu hana hela acha niingie king nipate pesa hapa nataka nimwambie tucheki HIV.

Kama wote tuko poa Mimi ninachotaka anipe ninachotaka biashara tu full stop.
Yaan wanawake basi tu, wewe unaingia kwenye relation kwa ajili ya kupewa hela na sio kupenda. Jaribu kutumia nguvu na akilizako kutafita jela kuliko kwenda kuwa chombo cha statehe kwa mume wa mwanamke mwenzako.
Kwanza hebu jiulize utasababisha matatizo mangapi kwenye faamilia ya huyu mwanamke mwenzio
 
Sakizia kaka si ndio haya mamalaya tunayoyasema
Siku zote mwanamke anatembea na duka lake,popote pale anaweza fungua duka lake na kuuza akitaka, ndiyo maana kiongozi anae hanging na madada poa namuona kama anajifanyisha tu ila uhalisia wa biashara ya k anaujua vizuri sana!!
 
Back
Top Bottom