Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,564
- 34,341
Nakupenda rafiki yangu ndio mana nakusanua mapema [emoji2957]Kumbe una roho ya huruma...aise andu je amekosa wife material
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakupenda rafiki yangu ndio mana nakusanua mapema [emoji2957]Kumbe una roho ya huruma...aise andu je amekosa wife material
Basi vizuri kumbe hapa jf kuna marafiki wanaojali sana. Wewe na Midekoo ndio mnaonitakiaga mema always. I appreciateNakupenda rafiki yangu ndio mana nakusanua mapema [emoji2957]
Nipo zangu huku tabata kwa wala bata. Mwenzagu upo wapiKaribu [emoji179]
Wapi unajidai leo weekend?
Nyumbani tu hapa naangalia movie. Wape hi sana Tabata.Nipo zangu huku tabata kwa wala bata. Mwenzagu upo wapi
Ah safi salamu zimefika. Ukalale sasa kesho usubuhi ibadani muhimuNyumbani tu hapa naangalia movie. Wape hi sana Tabata.
Unipitie twende wote.Ah safi salamu zimefika. Ukalale sasa kesho usubuhi ibadani muhimu
Usijali...wee dondosha location kwa pm hapo nakupitia usubuhi. I hope unapandaga bodabodaUnipitie twende wote.
[emoji16][emoji16] Boda napanda na ndio usafiri wangu pendwa. Ukawe na usiku mwema usinywe sana ukalewa ushindwe kurudi nyumbani.Usijali...wee dondosha location kwa pm hapo nakupitia usubuhi. I hope unapandaga bodaboda
Basi fresh moja kamili nipo hapo.[emoji16][emoji16] Boda napanda na ndio usafiri wangu pendwa. Ukawe na usiku mwema usinywe sana ukalewa ushindwe kurudi nyumbani.
Ahsante, usiku mwema pia!!Basi fresh moja kamili nipo hapo.
Usijali mie na pombe ni kama maji na mafuta....we dnt mix. Nipo naodolea macho warembo ndani ya leggings hapa. Anywas wacha nikalale kesho tusichelewe ibadani. Usiku mwema
Tumejaa tele😂Masijala mshafika 😹😹😹
Ungetafuta hata mwanamke hapo mtaani kwako angekusaidia kuandika huu upuuzi jombaa.Safari hii nataka ni date na mume wa mtu for benefit,yaani anifungulie biashara,nilisha date na mume wa mtu alikua ananizagamua tu na kunipa chips kuku na viela vidogo!! Vidogo!! Sasa tulishaachana sababu ya kuachana nili shift mkoa otherwise tungekua tuna date hadi Leo.
Sasa kuna mume wa MTU hapa naona anajileta leta tena na ni mi hand some kinoma ani, na ana pesa huyu nataka nimchune jamani, wala sibebi mimba nitakua natumia majira, mume wangu hana hela acha niingie king nipate pesa hapa nataka nimwambie tucheki HIV.
Kama wote tuko poa Mimi ninachotaka anipe ninachotaka biashara tu full stop.
Utaliwa Sana na kitakachobaki ni mistari ya mazimoro Kwenye mapaja na matako.Safari hii nataka ni date na mume wa mtu for benefit,yaani anifungulie biashara,nilisha date na mume wa mtu alikua ananizagamua tu na kunipa chips kuku na viela vidogo!! Vidogo!! Sasa tulishaachana sababu ya kuachana nili shift mkoa otherwise tungekua tuna date hadi Leo.
Sasa kuna mume wa MTU hapa naona anajileta leta tena na ni mi hand some kinoma ani, na ana pesa huyu nataka nimchune jamani, wala sibebi mimba nitakua natumia majira, mume wangu hana hela acha niingie king nipate pesa hapa nataka nimwambie tucheki HIV.
Kama wote tuko poa Mimi ninachotaka anipe ninachotaka biashara tu full stop.
Yaan wanawake basi tu, wewe unaingia kwenye relation kwa ajili ya kupewa hela na sio kupenda. Jaribu kutumia nguvu na akilizako kutafita jela kuliko kwenda kuwa chombo cha statehe kwa mume wa mwanamke mwenzako.Safari hii nataka ni date na mume wa mtu for benefit,yaani anifungulie biashara,nilisha date na mume wa mtu alikua ananizagamua tu na kunipa chips kuku na viela vidogo!! Vidogo!! Sasa tulishaachana sababu ya kuachana nili shift mkoa otherwise tungekua tuna date hadi Leo.
Sasa kuna mume wa MTU hapa naona anajileta leta tena na ni mi hand some kinoma ani, na ana pesa huyu nataka nimchune jamani, wala sibebi mimba nitakua natumia majira, mume wangu hana hela acha niingie king nipate pesa hapa nataka nimwambie tucheki HIV.
Kama wote tuko poa Mimi ninachotaka anipe ninachotaka biashara tu full stop.
Una dada wa kiume kijana?Nikikuita mjasiriauchi nitakuwa nakosea jamani dada yangu?
Maisha si tambarare, sasa hivi hilo tako sina hamu!Tako lilikuwa linamdanganya 😹😹😹
Sponsor pole kwa yaliyokukuta, muwe mnajali familia zenu mtawapa magonjwa wake zenu kwa tamaa.!!
Siku zote mwanamke anatembea na duka lake,popote pale anaweza fungua duka lake na kuuza akitaka, ndiyo maana kiongozi anae hanging na madada poa namuona kama anajifanyisha tu ila uhalisia wa biashara ya k anaujua vizuri sana!!Sakizia kaka si ndio haya mamalaya tunayoyasema