Nataka nianzishe mahusiano na mume wa mtu kwa faida

Si wewe ulileta Uzi mchana kuwa boyfriend wako amekudanganya umri wewe ndio mkubwa kwake mara hii unamume maskini haya keep on entertaining us 🥂
Masijala mshafika 😹😹😹
 
Tako lilikuwa linamdanganya 😹😹😹
Sponsor pole kwa yaliyokukuta, muwe mnajali familia zenu mtawapa magonjwa wake zenu kwa tamaa.!!
 
Hiyo si njia sahihi ya kufnya Ili upate biashara..tafakari njia nyngne!!
 
Ulivyokuwa unaandika ulikuwa umekunywa castle light/desperado ngapi?
 
heee wewe[emoji53] sio vizuri, si utafte tu wako mpenzi?? usiharibu ndoa ya mtu please[emoji120]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nifilisike hadi uhai [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Asante kwa kunipa tahadhari. Wacha nijiweke pembeni
[emoji23][emoji23][emoji23] Ahsante kwa kuwa msikivu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…