Nataka nianzishe mahusiano na mume wa mtu kwa faida

Usijali...wee dondosha location kwa pm hapo nakupitia usubuhi. I hope unapandaga bodaboda
[emoji16][emoji16] Boda napanda na ndio usafiri wangu pendwa. Ukawe na usiku mwema usinywe sana ukalewa ushindwe kurudi nyumbani.
 
[emoji16][emoji16] Boda napanda na ndio usafiri wangu pendwa. Ukawe na usiku mwema usinywe sana ukalewa ushindwe kurudi nyumbani.
Basi fresh moja kamili nipo hapo.
Usijali mie na pombe ni kama maji na mafuta....we dnt mix. Nipo naodolea macho warembo ndani ya leggings hapa. Anywas wacha nikalale kesho tusichelewe ibadani. Usiku mwema
 
Basi fresh moja kamili nipo hapo.
Usijali mie na pombe ni kama maji na mafuta....we dnt mix. Nipo naodolea macho warembo ndani ya leggings hapa. Anywas wacha nikalale kesho tusichelewe ibadani. Usiku mwema
Ahsante, usiku mwema pia!!
 
Ungetafuta hata mwanamke hapo mtaani kwako angekusaidia kuandika huu upuuzi jombaa.

Unaona wanawake humu wanavyozingatiwa basi unatami nawe uzingatiwe ๐Ÿ˜‚
 
Utaliwa Sana na kitakachobaki ni mistari ya mazimoro Kwenye mapaja na matako.
 
Yaan wanawake basi tu, wewe unaingia kwenye relation kwa ajili ya kupewa hela na sio kupenda. Jaribu kutumia nguvu na akilizako kutafita jela kuliko kwenda kuwa chombo cha statehe kwa mume wa mwanamke mwenzako.
Kwanza hebu jiulize utasababisha matatizo mangapi kwenye faamilia ya huyu mwanamke mwenzio
 
Tako lilikuwa linamdanganya ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น
Sponsor pole kwa yaliyokukuta, muwe mnajali familia zenu mtawapa magonjwa wake zenu kwa tamaa.!!
Maisha si tambarare, sasa hivi hilo tako sina hamu!
 
Sakizia kaka si ndio haya mamalaya tunayoyasema
Siku zote mwanamke anatembea na duka lake,popote pale anaweza fungua duka lake na kuuza akitaka, ndiyo maana kiongozi anae hanging na madada poa namuona kama anajifanyisha tu ila uhalisia wa biashara ya k anaujua vizuri sana!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ