Nataka nianzishe mahusiano na mume wa mtu kwa faida

Kwahiyo mwanaume mzima umeamua kujitangaza shoga mbele ya Great Thinkers wa JF?
 
We huna tamaa?,wewe pia si mke wa mtu?,mnatofauti gani?,yeye anataka K,wewe unataka duka,tena umewaza mbali mpaka kuzaa lakini nafsi imekusuta ukaona umchune tuu,natamani na wewe ungepata undani wake anavyokuwazia...na jaribu kumuwazia "yule nikishamla tuu nna mbwaga"
NB:Ukisanukiwa tambua kwa upande wako ndoa imefikia ukomo na ndo utakua mwanamke mjinga kuliko wote duniani(aliyechagua kiduka juu ya mume na familia yake),IDIOT
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…