Nataka nifanye maamuzi magumu ya kutengana na mke wangu

Write your reply...kinachouma hapo ni Damu yako tu, ujue ana Mtoto nae
 
H
hawa Wa sasa wamezidi kilasiku wanaomba msamaha lakini wanarudia makosa Yale yale
 
Haya ndiyo madhara ya wanaume kupiga magoti wakati wa kuwavisha pete wake zao. Unapandwa kichwani since day one.

Wewe hapo hukuoa uliolewa, fukuza haraka sana uende kanisani ukajichagulie mtoto mbichi mkali sana atakayesuuza moyo wako.
Hata mm hii ya mwanaume kupiga magoti kumvisha pete mdada naona ya kipuuzi mnoo kwanza mm mwanaume amekuja kukuvisha pete akapiga goti wajomba na makaka zangu wangefyonya na kuamka na uchumba kwishney
 
Ni kweli wao ndo vinara wa kuchepuka wakilipiziwa wanakuja kuanza kulia lia humu
Hilo kama na liafiki na wengine anakuwa yupo na ndugu zake tu kama ni msaada ni kwake tu sasa mke naye anaamua hela zake kusaidia kwao ili waendane sawa, naye akisema yake mtashangaa
 
Nimekutana nayo sana
Tena utakuta mwanaume anaongea kwa ushupavu sana

Ila wanawake huwa wanasema basi bwana ndo imeshatokea (malipo yake sasa!)
Malipo yake yakung'oa miti na mizizi yake[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Wanaume ndo huanza kuharibu hamna mwanamke timamu anayependa mji wake uharibikiwe. Tena wanaume wengi hupenda ndugu zao na kujali kuliko mke wake
Hilo kama na liafiki na wengine anakuwa yupo na ndugu zake tu kama ni msaada ni kwake tu sasa mke naye anaamua hela zake kusaidia kwao ili waendane sawa, naye akisema yake mtashangaa
 
Dah....[emoji41]
Msaada: Mama yangu mzazi na baadhi ya ndugu wananifanyia haya - JamiiForums
 
Nadhani kila mtu hupewa mke kwa kadri na yeye alivyo, mimi nilivyo najeuriu siwez pelekwa pelekwa kizembe na mtu tuu frm no whr nimekutana nae ukubwani then aanze kuniletea mapicha picha, kwani ndoa ni kitu gan hasa unajua wanawake wakishaolewa wakiwa na ule mkaratasi huwa wanajiona maisha yashaisha tayari so huna cha kufanya!!! Mimi kwangu hio ni No! Wife nilishamwambia kabisa ndoa kwangu sio mvyeti siku tukishindwana tu kila mtu aangalie ustaarabu wake maana ndoa ni faraja na amani ya moyo uipate kutoka kwa mwenza wako sasa kung'ang'ana na mtu mzima anaejielewa anachokifanya eti sijui kisa mtt au kisa ndoa ni ujuha! Mie nsingeweza asee maana maisha yalivo magumu bado mwanadamu mwenzio akupe stresi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…