Nataka nifanye maamuzi magumu ya kutengana na mke wangu

Nataka nifanye maamuzi magumu ya kutengana na mke wangu

Write your reply...kinachouma hapo ni Damu yako tu, ujue ana Mtoto nae
 
H
Mkuu mimi siwezi kushauri muachane kwa kuwa sijui vema dhamira yenu ya kuoana.. ila nadhani mnachopishana hapo ni kiburi... mwanamke kiburi na mwanaume kiburi... angalien namna ya kumaliza tofaut zenu, msiishi kama maadui, haipendez, kila mmoja atambue wajibu wake na kuutimiza kwa kadri ya uwezo wake. Lakini pia, kila moja ajue msingi wa ndoa na kuzingatia...

Usione wazee wetu wanaishi kwenye ndoa kwa miaka 40, ukadhani hawana matatizo.. suluhsho la tatizo syo kulikimbia
hawa Wa sasa wamezidi kilasiku wanaomba msamaha lakini wanarudia makosa Yale yale
 
Haya ndiyo madhara ya wanaume kupiga magoti wakati wa kuwavisha pete wake zao. Unapandwa kichwani since day one.

Wewe hapo hukuoa uliolewa, fukuza haraka sana uende kanisani ukajichagulie mtoto mbichi mkali sana atakayesuuza moyo wako.
Hata mm hii ya mwanaume kupiga magoti kumvisha pete mdada naona ya kipuuzi mnoo kwanza mm mwanaume amekuja kukuvisha pete akapiga goti wajomba na makaka zangu wangefyonya na kuamka na uchumba kwishney
 
Ni kweli wao ndo vinara wa kuchepuka wakilipiziwa wanakuja kuanza kulia lia humu
Hilo kama na liafiki na wengine anakuwa yupo na ndugu zake tu kama ni msaada ni kwake tu sasa mke naye anaamua hela zake kusaidia kwao ili waendane sawa, naye akisema yake mtashangaa
 
Nimekutana nayo sana
Tena utakuta mwanaume anaongea kwa ushupavu sana

Ila wanawake huwa wanasema basi bwana ndo imeshatokea (malipo yake sasa!)
Malipo yake yakung'oa miti na mizizi yake[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Wanaume ndo huanza kuharibu hamna mwanamke timamu anayependa mji wake uharibikiwe. Tena wanaume wengi hupenda ndugu zao na kujali kuliko mke wake
Hilo kama na liafiki na wengine anakuwa yupo na ndugu zake tu kama ni msaada ni kwake tu sasa mke naye anaamua hela zake kusaidia kwao ili waendane sawa, naye akisema yake mtashangaa
 
Members naomba tu niandike kwa ufupi naamini mtanielewa na kama kuna ushauri nakaribisha.

Tumebahatika kupata mtoto mmoja 5yrs now, wote ni watumishi.

2013 akaomba nimsaidie kumtafutia shule mdogo wake wa kiume arudie kidato cha pili baada ya kufeli form four na kukaa nyumbani miaka karibu mitatu nikafanya hivyo, baada ya muda shemeji akaanza dharau na kiburi kwangu tena mbele ya Dada yake, nikilalamika Dada mtu anachukulia poa, nikavumilia baada ya muda mfupi kapigwa suspension akapiga magoti nimsaidie asifukuzwe shule, nilipoona habadiliki nikajitoa kumsaidia but ilikuwa ni baada ya Dada yake kusema kama naona taabu ye atalipa ninamsema sana mdogo wake.

Dogo kamaliza na division 3 point 26, wakaomba chuo cha afya government wakakosa, huruma ikanijia nikamwambia Dada mtu aende private kidato cha tano akakataa akakomalia kuwa anampeleka chuo cha afya private kama 4 million ada na mahitaji mengine nikamwambia haitawezekana hali ni ngumu kiuchumi aende advance.... nikaambulia matusi kuwa nina "gubu" na maendeleo ya mdogo wake na nisijali yeye na ndugu zake watalipa ( by this time tulikuwa tupo mbali sababu za uhamisho), mi nikaona nisiingilie ndugu.

Kumbe hakuna lolote yeye ndo mlipaji wa kila kitu, nikaja jua baadaye kuwa amekopa bank bila kunijulisha na pesa sijajua kafanyia nini kumuuliza anasema anasomesha......sijakaa sawa kumbe alikokuwa mwanzo kakopa pesa za watu million mbili kwa ajili ya jambo hilo na hajarejesha hadi sasa pamoja na riba inafika nearly 4 million.

Ametoa mimba ili aweze kujikeep busy na biashara nje ya kazi ili kuweza kugharamia masomo ya mdogo wake nilipobaini anasema maisha magumu tusubiri kwanza nilipombana anasema bahati mbaya....uwongo...

Nilisafiri nikarudi ghafla bila taarifa nakuta anaongea na mwanaume kwa simu SAA saba usiku tena anamwomba amsaidie pesa alipe ada......

Mbaya zaidi nyumbani kwangu amegoma kusaidia chochote anasema si kazi yake kufanya majukumu ya kifamilia Mimi kama baba natakiwa nitekeleze kila kitu akifanya ni huruma tu.....

Kila linaloendelea kwangu anawajulisha ndugu zake ( baba, mama na Dada zake), nikichukua hatua hata za kumzaba kidogo ili tuheshimiane basi kesho asubuhi kama ilikuwa ni usiku ntapokea simu za hao watu wakinishutumu nikiwaeleza yaliyojili inaonekana mi ndo nakosea....

Amesafir kikazi wiki ya tatu sasa simu hapokei, SMS, hajibu akipokea haongei....

Namsubir arudi niite ndugu pande zote mbili niwambie nimeshindwa....kweli wanaume tumeumbwa mateso!!
Dah....[emoji41]
Msaada: Mama yangu mzazi na baadhi ya ndugu wananifanyia haya - JamiiForums
 
Nadhani kila mtu hupewa mke kwa kadri na yeye alivyo, mimi nilivyo najeuriu siwez pelekwa pelekwa kizembe na mtu tuu frm no whr nimekutana nae ukubwani then aanze kuniletea mapicha picha, kwani ndoa ni kitu gan hasa unajua wanawake wakishaolewa wakiwa na ule mkaratasi huwa wanajiona maisha yashaisha tayari so huna cha kufanya!!! Mimi kwangu hio ni No! Wife nilishamwambia kabisa ndoa kwangu sio mvyeti siku tukishindwana tu kila mtu aangalie ustaarabu wake maana ndoa ni faraja na amani ya moyo uipate kutoka kwa mwenza wako sasa kung'ang'ana na mtu mzima anaejielewa anachokifanya eti sijui kisa mtt au kisa ndoa ni ujuha! Mie nsingeweza asee maana maisha yalivo magumu bado mwanadamu mwenzio akupe stresi
 
Back
Top Bottom