Nataka nifanye maamuzi magumu ya kutengana na mke wangu

Nyumba hujengwa na Mke, Mume husimamia tu ndiyomaana hata Mungu hutukumbusha "MWANAMKE MPUMBAVU HUIBOMOA NYUMBA YAKE KWA MIKONO YAKE MWENYEWE".

Acha kushindana na Mwanaume Cariha kwa kiburi cha HAKI SAWA maana bado Mume ni kichwa cha familia katika usimamizi wa kila kitu.
Mie nimejibu kulingana na comments ya niliye mu quote mkuu. Nyie wanaume ni vinara wakujiliza hamuheshimiwi, sasa ka nyie hamujielewi mnataka nani awaheshimu sasa
 
Shida ni kwamba tuna "udume" ndani yetu; ukiwa legelege imekula kwako, ukileta mfumo dume ndo dooh umeharibu kabisa hahaha. Ila mimi ni katika wale wapole sasa
Huna lolote, asili ya mtu ni asili yake tu hata iweje hawezi kubadilika kamwe zaidi ya kupunguza ule ukakasi wake.
 
Hadithi ya kitunga. Futilia mbali
 
Haya mambo ya ndoa haya kila mtu anaugulia kivyake

Mkuu usikurupuke kwanza kumuacha mkeo ebu kaeni chini kwanza mmalize tofauti zenu

Tatizo kwenye ndoa yenu kila mmoja yupo juu hilo ndio tatizo kubwa mwanamke ana sauti kumzidi baba
Unajua shida ya hizi ndoa ni pale mawasiliano yanapovunjika na kiburi na dharau kutawala baina ya wanandoa, hivyo kupelekea tofauti ndogo ndogo kushindwa kutatuliwa biana yao wenyewe.

Kama hawa walipofika inakuwa ngumu kwa mmoja wao au wote kujishusha maana hapo kila mmoja anataka kuonesha umwamba kwa mwenzie.
 
Kitu tall black, kono hilo, guu kama tembo; akikushushia banzi unazima mbona hahw
[emoji23][emoji23][emoji23]wamama wakinyaki rqha sana kwanza wamepanda hewan wanene..ukimsukuma tu mumeo chaliii[emoji23][emoji23][emoji23]... ni mwendo wa ndindindi tu
 
Kitu tall black, kono hilo, guu kama tembo; akikushushia banzi unazima mbona hahw
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ i like them..khaa ..wale sio aiseeπŸ˜‚..sasa njoo kwa wasukuma..anasemwa amepiga magoti😏😏😏..anaonewa anatazama tu kicjwa chini tena ukimaliza unashukuru kwa kutusiwa na mume😏😏😏
 
Kaka haribu Leo uishi kwa Amani kesho! Fyekelea mbali mapicha picha anayocheza huyo sio mke
 
Mkuu tunasubiri MREJESHO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…