Nataka nifanye maamuzi magumu ya kutengana na mke wangu

Nataka nifanye maamuzi magumu ya kutengana na mke wangu

Mkuu naomba uelewe kwamba hadi nimechukua uamuzi wa kuandika hapa basi nimejaribu mbinu nyingi nimeshindwa...hapa ni kama sehemu ya kupata ahueni yaani ni sawa na kwenda dunia nyingine nione experience ya watu....nimekwisha muita MTU wa HEKIMA na busara nikamueleza mbele ya mke wangu kama nilivyoeleza hapa hakujibu kitu zaidi ya kuomba msamaha na kulia....lakini akishawasiliana na ndugu zake anarudi hali ile ile ya mwanzo!
Nilimaanisha tungependa kusikia na malalamiko ya mkeo pia.. Tuskilize pande zote mbili.
 
Hili nalo neno...cause nakaa na ndugu zake wa nini wakati wao ndo chanzo?? Nalifikiria
Kwa kawaida mwanamke ndugu zake ndiyo suluhisho, ndugu zake wakimwambia kitu anaelewa zaidi kuliko mtu mwingine yeyote! Sasa huyo keshawapanda na ndugu zake, hana mshauri tena!! Hafai tena coz hata aanzishe tatizo la namna gani ndugu zake watasimama nae.

Cases kama hizi suluhisho ni divorce ya kimya kimya! Unampa mateso, si upo mbali nae? Nenda kazini tulia kimyaaa usimtafute usifanye kitu ikaonekana una kosa yeye kaanza hapoke simu basi kausha, usitoe huduma wala usitake kujua lolote kutoka kwake au kwao! Akikupigia simu mshangae na umuulize we nani coz anajivunia anajua unampenda sana!!

Tafuta demu wako dulia, jenga maisha kivingine!!
 
Mkuu nakushauri kama ulivyoamua vunja ndoa.

Lea mwanao...hiyo hatua aliyofikia huyo mwanamke hapana. Mimi ningeua nikapewa kesi bure.

Toa kwako kaka usije kufa kwa stress.
 
Kweli hela nyoko,unatoa mimba uko kwenye ndoa??!!?![emoji102][emoji102]
Hakuwa amjitayarisha kuingia kwenye ndoa.

And I can tell you...visa vya kuwasaidia ndugu + michepuko ndivyo vitimbwi vya ndoa nyingi.

-Kwa ndugu wa mwanamme ni rahisi kudeal nao wakitaka kuvuruga ila wa mwanamke wakianza hauna ndoa.
 
Huo ni upuuzii yaani naamini asilimia 100% mimi nimezaliwa tofauti na wanaume wengine karibia wote na spiece yangu sijui kama bado ipo hapa sayari ya earth...

Kama Trump aliweza kuvunja mkataba wa Nuclear na Iran, sembuse huyo malaya ushindwe kumfekelea mbali big no...

Kama Magufuli aliweza kuvunja mkataba na ACACIA sembuse ushindwe kumwacha huyo mwanamke malaya?

Kama Uingereza wanaachana na umoja wa ulaya BRIEXT kwako imeshindikana nn kumfekelea mbali huyo mwanamke


Kwani huyo mwanamke ni mama yako?


Aaaaaaaaarrrrrrrgggggg........ Jamani mm nitavumilia mambo yote ila siyo huuu upimbi nafukuza walai kama hii kesi ingewezekana ukaniuzia yaaani nampiga mtu shoka la utozi

we jamaa una akili kama yangu
 
Waongo
Utakuta ni wachepukaji first class

Wakileta madhila humu wanajisafisha kama wao ni wasafi sana
Sioni faida yoyote ya mtu anayetumia ID fake kuleta story ya uongo akiomba msaada wa kumwongoza katika maisha yake.

Sisemi unadanganya ila kisaikolojia haiingii akilini. Otherwise atakuwa na tatizo la kisaikolojia.
 
Jaribu kushirikisha wazazi wapande zote mbili ikibidi viongozi wa Dini wa Imani yenu.
 
Hapa mimi sina ushauri mwingine zaidi ya kukuambia hapo hapakufai, ogopa sana mwanamke wa namna hiyo.
Siku nyingine usioe mtumishi, mother house itapendeza uta enjoy ndoa yako.
 
Members naomba tu niandike kwa ufupi naamini mtanielewa na kama kuna ushauri nakaribisha.

Tumebahatika kupata mtoto mmoja 5yrs now, wote ni watumishi.

2013 akaomba nimsaidie kumtafutia shule mdogo wake wa kiume arudie kidato cha pili baada ya kufeli form four na kukaa nyumbani miaka karibu mitatu nikafanya hivyo, baada ya muda shemeji akaanza dharau na kiburi kwangu tena mbele ya Dada yake, nikilalamika Dada mtu anachukulia poa, nikavumilia baada ya muda mfupi kapigwa suspension akapiga magoti nimsaidie asifukuzwe shule, nilipoona habadiliki nikajitoa kumsaidia but ilikuwa ni baada ya Dada yake kusema kama naona taabu ye atalipa ninamsema sana mdogo wake.

Dogo kamaliza na division 3 point 26, wakaomba chuo cha afya government wakakosa, huruma ikanijia nikamwambia Dada mtu aende private kidato cha tano akakataa akakomalia kuwa anampeleka chuo cha afya private kama 4 million ada na mahitaji mengine nikamwambia haitawezekana hali ni ngumu kiuchumi aende advance.... nikaambulia matusi kuwa nina "gubu" na maendeleo ya mdogo wake na nisijali yeye na ndugu zake watalipa ( by this time tulikuwa tupo mbali sababu za uhamisho), mi nikaona nisiingilie ndugu.

Kumbe hakuna lolote yeye ndo mlipaji wa kila kitu, nikaja jua baadaye kuwa amekopa bank bila kunijulisha na pesa sijajua kafanyia nini kumuuliza anasema anasomesha......sijakaa sawa kumbe alikokuwa mwanzo kakopa pesa za watu million mbili kwa ajili ya jambo hilo na hajarejesha hadi sasa pamoja na riba inafika nearly 4 million.

Ametoa mimba ili aweze kujikeep busy na biashara nje ya kazi ili kuweza kugharamia masomo ya mdogo wake nilipobaini anasema maisha magumu tusubiri kwanza nilipombana anasema bahati mbaya....uwongo...

Nilisafiri nikarudi ghafla bila taarifa nakuta anaongea na mwanaume kwa simu SAA saba usiku tena anamwomba amsaidie pesa alipe ada......

Mbaya zaidi nyumbani kwangu amegoma kusaidia chochote anasema si kazi yake kufanya majukumu ya kifamilia Mimi kama baba natakiwa nitekeleze kila kitu akifanya ni huruma tu.....

Kila linaloendelea kwangu anawajulisha ndugu zake ( baba, mama na Dada zake), nikichukua hatua hata za kumzaba kidogo ili tuheshimiane basi kesho asubuhi kama ilikuwa ni usiku ntapokea simu za hao watu wakinishutumu nikiwaeleza yaliyojili inaonekana mi ndo nakosea....

Amesafir kikazi wiki ya tatu sasa simu hapokei, SMS, hajibu akipokea haongei....

Namsubir arudi niite ndugu pande zote mbili niwambie nimeshindwa....kweli wanaume tumeumbwa mateso!!
Huyo mwanamke mpumbavu!
Sasa upo kwenye ndoa kwann utoe mimba jamani? Dah
Roho imeniuma!

Bora mpeane mda kila mtu aishi mwenyewe kwanza!
 
Unajua hii kitu japo watu wanadharau,lkn kwa sie wengine ambao tuna angalia vitu kwa jicho la 3, sio sawa kabisa!
Unamfanya mwanaume kuwa chini yako ndo maana ht majukmu hawatekelezi.... Mi sitaki kabisa,nitapiga mi magoti! Mwanaume ni kichwa bwana!
Haya ndiyo madhara ya wanaume kupiga magoti wakati wa kuwavisha pete wake zao. Unapandwa kichwani since day one.

Wewe hapo hukuoa uliolewa, fukuza haraka sana uende kanisani ukajichagulie mtoto mbichi mkali sana atakayesuuza moyo wako.
 
Members naomba tu niandike kwa ufupi naamini mtanielewa na kama kuna ushauri nakaribisha.

Tumebahatika kupata mtoto mmoja 5yrs now, wote ni watumishi.

2013 akaomba nimsaidie kumtafutia shule mdogo wake wa kiume arudie kidato cha pili baada ya kufeli form four na kukaa nyumbani miaka karibu mitatu nikafanya hivyo, baada ya muda shemeji akaanza dharau na kiburi kwangu tena mbele ya Dada yake, nikilalamika Dada mtu anachukulia poa, nikavumilia baada ya muda mfupi kapigwa suspension akapiga magoti nimsaidie asifukuzwe shule, nilipoona habadiliki nikajitoa kumsaidia but ilikuwa ni baada ya Dada yake kusema kama naona taabu ye atalipa ninamsema sana mdogo wake.

Dogo kamaliza na division 3 point 26, wakaomba chuo cha afya government wakakosa, huruma ikanijia nikamwambia Dada mtu aende private kidato cha tano akakataa akakomalia kuwa anampeleka chuo cha afya private kama 4 million ada na mahitaji mengine nikamwambia haitawezekana hali ni ngumu kiuchumi aende advance.... nikaambulia matusi kuwa nina "gubu" na maendeleo ya mdogo wake na nisijali yeye na ndugu zake watalipa ( by this time tulikuwa tupo mbali sababu za uhamisho), mi nikaona nisiingilie ndugu.

Kumbe hakuna lolote yeye ndo mlipaji wa kila kitu, nikaja jua baadaye kuwa amekopa bank bila kunijulisha na pesa sijajua kafanyia nini kumuuliza anasema anasomesha......sijakaa sawa kumbe alikokuwa mwanzo kakopa pesa za watu million mbili kwa ajili ya jambo hilo na hajarejesha hadi sasa pamoja na riba inafika nearly 4 million.

Ametoa mimba ili aweze kujikeep busy na biashara nje ya kazi ili kuweza kugharamia masomo ya mdogo wake nilipobaini anasema maisha magumu tusubiri kwanza nilipombana anasema bahati mbaya....uwongo...

Nilisafiri nikarudi ghafla bila taarifa nakuta anaongea na mwanaume kwa simu SAA saba usiku tena anamwomba amsaidie pesa alipe ada......

Mbaya zaidi nyumbani kwangu amegoma kusaidia chochote anasema si kazi yake kufanya majukumu ya kifamilia Mimi kama baba natakiwa nitekeleze kila kitu akifanya ni huruma tu.....

Kila linaloendelea kwangu anawajulisha ndugu zake ( baba, mama na Dada zake), nikichukua hatua hata za kumzaba kidogo ili tuheshimiane basi kesho asubuhi kama ilikuwa ni usiku ntapokea simu za hao watu wakinishutumu nikiwaeleza yaliyojili inaonekana mi ndo nakosea....

Amesafir kikazi wiki ya tatu sasa simu hapokei, SMS, hajibu akipokea haongei....

Namsubir arudi niite ndugu pande zote mbili niwambie nimeshindwa....kweli wanaume tumeumbwa mateso!!
Nasema usirudi nyuma songa mbele maana utasikia kuna mijitu inakushawishi urudi nyuma nasema songa mbele. Mke akikuheshimu huwa zaidi ya mama yako sasa huyo ni ibilisi tema tembea na ukiona anazingua sijui matumizi ya mtoto beba mwanao mwache huyo fisimaji. Wengi huwafanya wanaume mazuzu.
Usikubali kunyanyasika na mwanamke anaringia uchi wake nawe ringia mbolo yako utawapata wenye akili wanaojua maana ya mme. Wanawake wengi watumishi hawajitambui kabisa ndiyo maana mimi nimeishia na hawa hawa la nne ya zamani upumbavu sipendi.
Kuumizwa ni kawaida kwa kila binadamu ila kuamua kuendelea kuvumilia kuumizwa ni uamzi wako mwenyewe.
 
Kaka nyie wawili mnajuana lkn km yote uliyosema ni kweli, basi kuna shida!

Mi ni mwanamke lakini hii so sawa!

Ushauri wangu,mpeane muda,msikae pamoja, then fanya haraka iwezekanavyo ili anaporudi akute ushajiandaa,kila mtu aishi kivyake tena usilalamike utampa kichwa! Ht km unaumia kaa kimyaa.... hawezi kaa wiki zote bla kupokea cm si kuuana huku jmn!

Then, ndugu ita sio kusuluhisha bali kuwaambia uamuzi uliochukua,full stop,sio kusuluhisha!
Sbb wao ni wapumbavu wanatetea ujinga!
Members naomba tu niandike kwa ufupi naamini mtanielewa na kama kuna ushauri nakaribisha.

Tumebahatika kupata mtoto mmoja 5yrs now, wote ni watumishi.

2013 akaomba nimsaidie kumtafutia shule mdogo wake wa kiume arudie kidato cha pili baada ya kufeli form four na kukaa nyumbani miaka karibu mitatu nikafanya hivyo, baada ya muda shemeji akaanza dharau na kiburi kwangu tena mbele ya Dada yake, nikilalamika Dada mtu anachukulia poa, nikavumilia baada ya muda mfupi kapigwa suspension akapiga magoti nimsaidie asifukuzwe shule, nilipoona habadiliki nikajitoa kumsaidia but ilikuwa ni baada ya Dada yake kusema kama naona taabu ye atalipa ninamsema sana mdogo wake.

Dogo kamaliza na division 3 point 26, wakaomba chuo cha afya government wakakosa, huruma ikanijia nikamwambia Dada mtu aende private kidato cha tano akakataa akakomalia kuwa anampeleka chuo cha afya private kama 4 million ada na mahitaji mengine nikamwambia haitawezekana hali ni ngumu kiuchumi aende advance.... nikaambulia matusi kuwa nina "gubu" na maendeleo ya mdogo wake na nisijali yeye na ndugu zake watalipa ( by this time tulikuwa tupo mbali sababu za uhamisho), mi nikaona nisiingilie ndugu.

Kumbe hakuna lolote yeye ndo mlipaji wa kila kitu, nikaja jua baadaye kuwa amekopa bank bila kunijulisha na pesa sijajua kafanyia nini kumuuliza anasema anasomesha......sijakaa sawa kumbe alikokuwa mwanzo kakopa pesa za watu million mbili kwa ajili ya jambo hilo na hajarejesha hadi sasa pamoja na riba inafika nearly 4 million.

Ametoa mimba ili aweze kujikeep busy na biashara nje ya kazi ili kuweza kugharamia masomo ya mdogo wake nilipobaini anasema maisha magumu tusubiri kwanza nilipombana anasema bahati mbaya....uwongo...

Nilisafiri nikarudi ghafla bila taarifa nakuta anaongea na mwanaume kwa simu SAA saba usiku tena anamwomba amsaidie pesa alipe ada......

Mbaya zaidi nyumbani kwangu amegoma kusaidia chochote anasema si kazi yake kufanya majukumu ya kifamilia Mimi kama baba natakiwa nitekeleze kila kitu akifanya ni huruma tu.....

Kila linaloendelea kwangu anawajulisha ndugu zake ( baba, mama na Dada zake), nikichukua hatua hata za kumzaba kidogo ili tuheshimiane basi kesho asubuhi kama ilikuwa ni usiku ntapokea simu za hao watu wakinishutumu nikiwaeleza yaliyojili inaonekana mi ndo nakosea....

Amesafir kikazi wiki ya tatu sasa simu hapokei, SMS, hajibu akipokea haongei....

Namsubir arudi niite ndugu pande zote mbili niwambie nimeshindwa....kweli wanaume tumeumbwa mateso!!
 
Asante....mawazo ya kutokuwaita ndugu zake yameanza kunijia(kumbuka ndugu zangu hawajui japo juzi nimewaeleza kifupi kuwa hatupo sawa).....kwani mali si nilitoa mie then wanataka kunipelekesha anaweza kuta siku anakuja nimetia kufuli
Kaka nyie wawili mnajuana lkn km yote uliyosema ni kweli, basi kuna shida!

Mi ni mwanamke lakini hii so sawa!

Ushauri wangu,mpeane muda,msikae pamoja, then fanya haraka iwezekanavyo ili anaporudi akute ushajiandaa,kila mtu aishi kivyake tena usilalamike utampa kichwa! Ht km unaumia kaa kimyaa.... hawezi kaa wiki zote bla kupokea cm si kuuana huku jmn!

Then, ndugu ita sio kusuluhisha bali kuwaambia uamuzi uliochukua,full stop,sio kusuluhisha!
Sbb wao ni wapumbavu wanatetea ujinga!
 
Members naomba tu niandike kwa ufupi naamini mtanielewa na kama kuna ushauri nakaribisha.

Tumebahatika kupata mtoto mmoja 5yrs now, wote ni watumishi.

2013 akaomba nimsaidie kumtafutia shule mdogo wake wa kiume arudie kidato cha pili baada ya kufeli form four na kukaa nyumbani miaka karibu mitatu nikafanya hivyo, baada ya muda shemeji akaanza dharau na kiburi kwangu tena mbele ya Dada yake, nikilalamika Dada mtu anachukulia poa, nikavumilia baada ya muda mfupi kapigwa suspension akapiga magoti nimsaidie asifukuzwe shule, nilipoona habadiliki nikajitoa kumsaidia but ilikuwa ni baada ya Dada yake kusema kama naona taabu ye atalipa ninamsema sana mdogo wake.

Dogo kamaliza na division 3 point 26, wakaomba chuo cha afya government wakakosa, huruma ikanijia nikamwambia Dada mtu aende private kidato cha tano akakataa akakomalia kuwa anampeleka chuo cha afya private kama 4 million ada na mahitaji mengine nikamwambia haitawezekana hali ni ngumu kiuchumi aende advance.... nikaambulia matusi kuwa nina "gubu" na maendeleo ya mdogo wake na nisijali yeye na ndugu zake watalipa ( by this time tulikuwa tupo mbali sababu za uhamisho), mi nikaona nisiingilie ndugu.

Kumbe hakuna lolote yeye ndo mlipaji wa kila kitu, nikaja jua baadaye kuwa amekopa bank bila kunijulisha na pesa sijajua kafanyia nini kumuuliza anasema anasomesha......sijakaa sawa kumbe alikokuwa mwanzo kakopa pesa za watu million mbili kwa ajili ya jambo hilo na hajarejesha hadi sasa pamoja na riba inafika nearly 4 million.

Ametoa mimba ili aweze kujikeep busy na biashara nje ya kazi ili kuweza kugharamia masomo ya mdogo wake nilipobaini anasema maisha magumu tusubiri kwanza nilipombana anasema bahati mbaya....uwongo...

Nilisafiri nikarudi ghafla bila taarifa nakuta anaongea na mwanaume kwa simu SAA saba usiku tena anamwomba amsaidie pesa alipe ada......

Mbaya zaidi nyumbani kwangu amegoma kusaidia chochote anasema si kazi yake kufanya majukumu ya kifamilia Mimi kama baba natakiwa nitekeleze kila kitu akifanya ni huruma tu.....

Kila linaloendelea kwangu anawajulisha ndugu zake ( baba, mama na Dada zake), nikichukua hatua hata za kumzaba kidogo ili tuheshimiane basi kesho asubuhi kama ilikuwa ni usiku ntapokea simu za hao watu wakinishutumu nikiwaeleza yaliyojili inaonekana mi ndo nakosea....

Amesafir kikazi wiki ya tatu sasa simu hapokei, SMS, hajibu akipokea haongei....

Namsubir arudi niite ndugu pande zote mbili niwambie nimeshindwa....kweli wanaume tumeumbwa mateso!!
Pole sana kaka,kwa ulimwengu wa sasa hawa learned women ni shida sana,juzi tu ndugu yangu pia alikuwa na mkasa kama huu,pole sana mwombe Mungu atakusaidia.
 
Back
Top Bottom