jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Anavutia na ni mweupe
Sisi weusi ndio hamtutaki eti
We mnyantuzu??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anavutia na ni mweupe
Sisi weusi ndio hamtutaki eti
Subiri akupige lile limbwata la kihaya Nshumata utabaki historia tu.Naombeni mnipe experience kidogo kwa hawa wanawake wa kinyantuzu jamii ya wasukuma kwa sababu nimempata binti mmoja wa huku Simiyu wilaya ya Bariadi nimempata kabinti ama hakika anavutia na ni mweupeeee.
Nipeni experience kidogo je wanawake wa Kinyantuzu wakoje? Kitabia na mengine kama hayo.
Mauongo ya kiwango cha SGRNasikia asilimia kubwa huwa sio waaminifu katika ndoa.
Hili swala la kukosa uaminifu ni karibu nchi nzima,ingawa kuna baadhi ya mikoa wamezidi,yani hata ukisema unaoa kila mtu anaguna...Nasikia asilimia kubwa huwa sio waaminifu katika ndoa.
Kama huna tatizo na visirani na viburi, kila la kheri MkuuWana vijihasira uchwara
🤔🤔🤔Ukiifanya jf ndo dira ya maisha yako.U fail
Sijasema kwa ubaya kuwasagia kunguni mkuu.Kama huna tatizo na visirani na viburi, kila la kheri Mkuu
Nyie mahali yenu ni kubwa sana, ni wanaume wachache tunaoweza ku-afford.Anavutia na ni mweupe
Sisi weusi ndio hamtutaki eti
Uchawi ni makabila yoteSubiri akupige lile limbwata la kihaya Nshumata utabaki historia tu.
Wachawi sana hao, powa at your own risk usiseme hatukukwambia.
Tumetoka kumzika Massawe juzi tu Bagamoyo na mke na mama yake hawajashiriki mazishi.
Chukua jiko kijana, wako poa sana.Naombeni mnipe experience kidogo kwa hawa wanawake wa kinyantuzu jamii ya wasukuma kwa sababu nimempata binti mmoja wa huku Simiyu wilaya ya Bariadi nimempata kabinti ama hakika anavutia na ni mweupeeee.
Nipeni experience kidogo je wanawake wa Kinyantuzu wakoje? Kitabia na mengine kama hayo.
Uzi bila picha …Naombeni mnipe experience kidogo kwa hawa wanawake wa kinyantuzu jamii ya wasukuma kwa sababu nimempata binti mmoja wa huku Simiyu wilaya ya Bariadi nimempata kabinti ama hakika anavutia na ni mweupeeee.
Nipeni experience kidogo je wanawake wa Kinyantuzu wakoje? Kitabia na mengine kama hayo.