Nataka nitoke na binti niliyemwajiri. Kwa wale mliowahi kutoka na mabinti mliowaajiri kwenye maduka au ofisi zenu, hii itaathiri ufanisi wa kazi?

Nataka nitoke na binti niliyemwajiri. Kwa wale mliowahi kutoka na mabinti mliowaajiri kwenye maduka au ofisi zenu, hii itaathiri ufanisi wa kazi?

So nimepata binti hapa ofisini kwangu niliemwajiri takribani miezi miwili kwa sasa na chemistry zetu zimefanan yani tumezoeana.

Binafsi nipo kwenye 28 binti yupo kwenye 19 flani hivi ambae kiukweli ni binti mwenye ufanisi mkubwa wa kuuza.

Jana kama kawaida nilienda ofisini mida ya jioni kucheki hesabu, binti alikuwa kaketi pembeni yangu, tulikuwa karibu ili panapotokea nahitaji maelezo basi iwe rahisi, ile wakati tunazungumza flani ivi macho yakawa yanagongana alafu tupo wawili tu, geti limeshushwa. kiukweli binti ni mrembo si haba lakini muda wote huu nilikuwa namchukulia kama binti anaenisaidia biashara zangu lakini jana hali ilikuwa tofauti, nikatesti kusomgelea binti akanikwepa flani ivi kama hataki ila anataka, nikamsogelea tena ngoma ikakubali, tulipigana denda mle ndani almost dakika 3, binti nilimpakata nikaanza kumkamua maziwa anahema si kitoto, akili ni kama ilinirudi na kuniambia kwamba huyu ni mfanyakazi wangu naemtegemea hapa hivyo niache.

Kwa tulichofanya jana itoshe kusema kwa namna moja au nyingine tayari tunajua kwamba hisia zetu za kimapenzi sio siri tena na tumeweza kufanya romance, hivyo hata suala la kuomba sex sidhani kama litakuwa gumu lakini hapa inabidi niwaombe wazoefu ushauri kabla ya kufanya maamuzi.

Hatujaongea chochote hadi sasa maana huwa naenda tu kucheki hesabu mida ya jioni.

Hapa inakuwaje wakuu katika kubalance mzani wa mapenzi na biashara katika angle ya binti, Je nikimla ataweza kuendelea na kazi kama kawaida ? au nipotezee kabisa ?
Ukishamla jua kua na yeye ni sehemu yako na hio biashara sio yako tena ila ni yenu. Nadhan unajua madhara ya biashara kuwa yenu na sio yako. Goodluck
 
kwa ulipofikia inabidi ule hiyo papuchi,halaf uwe na maamuzi ya mwanaume kamili asieyumba yumba kimaamuzi kisa machozi ya mwanamke,inabidi umtimue huyo bint ikiwa hajajipanga kivyovyote yaani kabla hajatia hasara yoyote unakua ushatafuta kijisababu cha kumtimua hapo dukani/ofisini kwako na hutakiwi kumuonea huruma kwa uamuzi wako huo ili kuepusha kipato chako kwenda na maji...ukinogewa na papuchi shauri yako maana utapewa yooote umwage hadi ubongo...na karibu ktk list ya wanaume ni mbwa
 
So nimepata binti hapa ofisini kwangu niliemwajiri takribani miezi miwili kwa sasa na chemistry zetu zimefanan yani tumezoeana.

Binafsi nipo kwenye 28 binti yupo kwenye 19 flani hivi ambae kiukweli ni binti mwenye ufanisi mkubwa wa kuuza.

Jana kama kawaida nilienda ofisini mida ya jioni kucheki hesabu, binti alikuwa kaketi pembeni yangu, tulikuwa karibu ili panapotokea nahitaji maelezo basi iwe rahisi, ile wakati tunazungumza flani ivi macho yakawa yanagongana alafu tupo wawili tu, geti limeshushwa. kiukweli binti ni mrembo si haba lakini muda wote huu nilikuwa namchukulia kama binti anaenisaidia biashara zangu lakini jana hali ilikuwa tofauti, nikatesti kusomgelea binti akanikwepa flani ivi kama hataki ila anataka, nikamsogelea tena ngoma ikakubali, tulipigana denda mle ndani almost dakika 3, binti nilimpakata nikaanza kumkamua maziwa anahema si kitoto, akili ni kama ilinirudi na kuniambia kwamba huyu ni mfanyakazi wangu naemtegemea hapa hivyo niache.

Kwa tulichofanya jana itoshe kusema kwa namna moja au nyingine tayari tunajua kwamba hisia zetu za kimapenzi sio siri tena na tumeweza kufanya romance, hivyo hata suala la kuomba sex sidhani kama litakuwa gumu lakini hapa inabidi niwaombe wazoefu ushauri kabla ya kufanya maamuzi.

Hatujaongea chochote hadi sasa maana huwa naenda tu kucheki hesabu mida ya jioni.

Hapa inakuwaje wakuu katika kubalance mzani wa mapenzi na biashara katika angle ya binti, Je nikimla ataweza kuendelea na kazi kama kawaida ? au nipotezee kabisa ?

Yerewiiiiiiii duka lishafilisika tayari
 
So nimepata binti hapa ofisini kwangu niliemwajiri takribani miezi miwili kwa sasa na chemistry zetu zimefanan yani tumezoeana.

Binafsi nipo kwenye 28 binti yupo kwenye 19 flani hivi ambae kiukweli ni binti mwenye ufanisi mkubwa wa kuuza.

Jana kama kawaida nilienda ofisini mida ya jioni kucheki hesabu, binti alikuwa kaketi pembeni yangu, tulikuwa karibu ili panapotokea nahitaji maelezo basi iwe rahisi, ile wakati tunazungumza flani ivi macho yakawa yanagongana alafu tupo wawili tu, geti limeshushwa. kiukweli binti ni mrembo si haba lakini muda wote huu nilikuwa namchukulia kama binti anaenisaidia biashara zangu lakini jana hali ilikuwa tofauti, nikatesti kusomgelea binti akanikwepa flani ivi kama hataki ila anataka, nikamsogelea tena ngoma ikakubali, tulipigana denda mle ndani almost dakika 3, binti nilimpakata nikaanza kumkamua maziwa anahema si kitoto, akili ni kama ilinirudi na kuniambia kwamba huyu ni mfanyakazi wangu naemtegemea hapa hivyo niache.

Kwa tulichofanya jana itoshe kusema kwa namna moja au nyingine tayari tunajua kwamba hisia zetu za kimapenzi sio siri tena na tumeweza kufanya romance, hivyo hata suala la kuomba sex sidhani kama litakuwa gumu lakini hapa inabidi niwaombe wazoefu ushauri kabla ya kufanya maamuzi.

Hatujaongea chochote hadi sasa maana huwa naenda tu kucheki hesabu mida ya jioni.

Hapa inakuwaje wakuu katika kubalance mzani wa mapenzi na biashara katika angle ya binti, Je nikimla ataweza kuendelea na kazi kama kawaida ? au nipotezee kabisa ?
Kitu kingine niunganishe hapa kuwa, tabia hizi ndio zinatuletea single mothers kibao mtaani. Mfano, huyo binti inawezekana ana mtu wake amabae wana malengo. Wewe na yy mmekutanishwa na biashara miezi miwili tu. Sasa inawezekana binti anawaza kabisa akitembea na wewe atakua sehemu yako na biashara itakua yenu, in short anaiona future hii hapa. So, anaanza kuwaza kumtosa jamaa yake ili awe nawe.

Wakati huo wewe kitendo cha kutuliza tu inamaanisha unataka kula na kumwacha maana ungekua na malengo nae usingetuuliza tukupe ushauri. Maana inaonesha wazi hofu yako ipo kwenye biashara yako tu na sio mustakabali wa huyo binti.

Sasa binti akiona kuna future anaweza kukutegeshea, mimba hii hapa na wewe huna mpango nae. Hujamwambia azae mtalea? Tayari umemfanya kuwa single mother kwenye umri wa 20y tu na ww single dady.

Wakuu kuweni makini na haya mambo. Binafi huwa inaniuma sana nikimuona binti mrembo na umri wa kuolewa kabisa ila ukimtokea unagundua ana mtoto yaan ni single mother. Wadada amkeni sana, ukishazaa soko lako linashuka kwa zaidi ya 50%.

Mwisho nakuomba usimle mkuu, nipe namba yake mm ntafuta mke wa kuoa nadhan atanifaa sana maana na mm nafanya biashara.

🤌🤌🤌
 
Back
Top Bottom