Nataka niwe mchawi msomi pasipo haya, je inawezekana?

Nataka niwe mchawi msomi pasipo haya, je inawezekana?

renamaizo

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2014
Posts
2,134
Reaction score
3,064
Habar wakuu !!!

heading isiwachanganye taratibu mtanielewa ipo hv maisha ni magumu sn kila siku watu wanatubeep so sad ni kibaya zaid sina bib wala babu ambae ni mganga ila nashukuru MUNGU nimepata elimu sasa nikapata wazo nikichukua elimu niliyonayo plus UCHAWI naweza fanya kitu kikubwa sana sasa sijui nianzie wapi ?

SHARTI NATAKA NIWE MCHAWI MSOMI mchawi aliesomea principle zote za kichawi from beginning nimewah soma bandiko moja linasema shida sio uchawi shida ni unautumiaje mm nataka niitumie kwa faida tu na sio mambo ya ajabu au kukaririshwa vitu au maneno ambayo siyaelewi au kuchanjwa chale Na kupakwa dawa nisizozielewa naomba msaada

SITAKI UCHAWI WA DIZAINI HII
kutoa kafara binadamu wenzangu hata km sio ndugu zangu
kumtumikia shetani
kukufuru
kulazimisha kutamka au kufanya vitu nisivyovielewa
au kufanya jambo lolote lile baya litaloumiza wengine nk

NATAKA UCHAWI HUU
Kutoa kafara wanyama km mbuzi nk real mbuzi sio wafanye mazingaombwe mtu ageuzwe mbuzi
kumtumikia MUNGU
kuwekwa kila kitu wazi kuhusu maneno ishara nk
kuutumia uchawi kufanya maendeleo km kubuni vitu nk
uvumbuzi wa technolojia

asanteni

UPDATESSSSSS !!!!!!!!!!!!
Sijui kwann most of people wanaamini uchawi ni kitu kibaya WHY mm naamin uchawi si shida shida unautumiaje Mshana Jr upo wapi nasubir neno moja kutoka kwako
Extrovert
 
Wachawi wote lazima
Kumkufuru mungu
Kutoa sadaka
Kumuabudu shetani
Hakuna mchawi smart bro
hao hawajasomea ni wamekaririshwa na kupewq mikoba kisha wqmepewa nguvu ambazo hawazilewi zinatoka wap ? zinaenda wap ? mwisho wa siku gar inaishq mafuta njian wanaaanguka wanakamatea

mimi nataka uchawi wa astrql projection
time travel
 
Habar wakuu !!!

heading isiwachanganye taratibu mtanielewa ipo hv maisha ni magumu sn kila siku watu wanatubeep so sad ni kibaya zaid sina bib wala babu ambae ni mganga ila nashukuru MUNGU nimepata elimu sasa nikapata wazo nikichukua elimu niliyonayo plus UCHAWI naweza fanya kitu kikubwa sana sasa sijui nianzie wapi ?

SHARTI NATAKA NIWE MCHAWI MSOMI mchawi aliesomea principle zote za kichawi from beginning nimewah soma bandiko moja linasema shida sio uchawi shida ni unautumiaje mm nataka niitumie kwa faida tu na sio mambo ya ajabu au kukaririshwa vitu au maneno ambayo siyaelewi au kuchanjwa chale Na kupakwa dawa nisizozielewa naomba msaada

SITAKI UCHAWI WA DIZAINI HII
kutoa kafara binadamu wenzangu hata km sio ndugu zangu
kumtumikia shetani
kukufuru
kulazimisha kutamka au kufanya vitu nisivyovielewa
au kufanya jambo lolote lile baya litaloumiza wengine nk

NATAKA UCHAWI HUU
Kutoa kafara wanyama km mbuzi nk real mbuzi sio wafanye mazingaombwe mtu ageuzwe mbuzi
kumtumikia MUNGU
kuwekwa kila kitu wazi kuhusu maneno ishara nk
kuutumia uchawi kufanya maendeleo km kubuni vitu nk
uvumbuzi wa technolojia

asanteni
uchawi ni chama, na kina masharti yake na lazima shetani awe mshauri wako mkuu, hivyo lazima umkufuru Mungu
 
uchawi ni chama, na kina masharti yake na lazima shetani awe mshauri wako mkuu, hivyo lazima umkufuru Mungu
mbona zipo simuliz zinasema uchawi ulianzia babylone na ulifundishwa na malaika chengine waganga wote ni wachawi mbona wqpo waganga hawana upuuzi mbona io miti shamba ina nguvu za asili mm naamin upo uwezekano wa kuwa mchawi smart
 
mbona zipo simuliz zinasema uchawi ulianzia babylone na ulifundishwa na malaika chengine waganga wote ni wachawi mbona wqpo waganga hawana upuuzi mbona io miti shamba ina nguvu za asili mm naamin upo uwezekano wa kuwa mchawi smart
Ni kweli
 
Habar wakuu !!!

heading isiwachanganye taratibu mtanielewa ipo hv maisha ni magumu sn kila siku watu wanatubeep so sad ni kibaya zaid sina bib wala babu ambae ni mganga ila nashukuru MUNGU nimepata elimu sasa nikapata wazo nikichukua elimu niliyonayo plus UCHAWI naweza fanya kitu kikubwa sana sasa sijui nianzie wapi ?

SHARTI NATAKA NIWE MCHAWI MSOMI mchawi aliesomea principle zote za kichawi from beginning nimewah soma bandiko moja linasema shida sio uchawi shida ni unautumiaje mm nataka niitumie kwa faida tu na sio mambo ya ajabu au kukaririshwa vitu au maneno ambayo siyaelewi au kuchanjwa chale Na kupakwa dawa nisizozielewa naomba msaada

SITAKI UCHAWI WA DIZAINI HII
kutoa kafara binadamu wenzangu hata km sio ndugu zangu
kumtumikia shetani
kukufuru
kulazimisha kutamka au kufanya vitu nisivyovielewa
au kufanya jambo lolote lile baya litaloumiza wengine nk

NATAKA UCHAWI HUU
Kutoa kafara wanyama km mbuzi nk real mbuzi sio wafanye mazingaombwe mtu ageuzwe mbuzi
kumtumikia MUNGU
kuwekwa kila kitu wazi kuhusu maneno ishara nk
kuutumia uchawi kufanya maendeleo km kubuni vitu nk
uvumbuzi wa technolojia

asanteni
Usichokujua kuhusu uchawi ndo imekiongea hapo
 
Huo uchawi unaoutaka labda uwende huko kwa kina Harry Potter.
Lakin kibongo bongo lazima uwe kitukuu cha shetani.
(Roho mbaya, wivu, ukatili nk)
Mkuu hv vitu huwa ni siri hata ukitaka kwenda uko ughaibun lazima ujue unafikia wapi na nan na nan watakupa msaada km hujui pa kuanzia ata upande pipa ni kazi bure tu chengine ukishajua kanuni za kichawi ulaya karibu unaenda class usiku fasta tu kisha unarud home bongo mm nataka nijue naanzia wapi ?

pili nimefurah sana ulivyotaja jina la harry poter uo ndio uchawi ninaotaka kuujua uchawi ulioenda shule na vitimbi uku ukipewa mashart makali ikiwemo kulala kwenye nyumba ya udongo
 
Habar wakuu !!!

heading isiwachanganye taratibu mtanielewa ipo hv maisha ni magumu sn kila siku watu wanatubeep so sad ni kibaya zaid sina bib wala babu ambae ni mganga ila nashukuru MUNGU nimepata elimu sasa nikapata wazo nikichukua elimu niliyonayo plus UCHAWI naweza fanya kitu kikubwa sana sasa sijui nianzie wapi ?

SHARTI NATAKA NIWE MCHAWI MSOMI mchawi aliesomea principle zote za kichawi from beginning nimewah soma bandiko moja linasema shida sio uchawi shida ni unautumiaje mm nataka niitumie kwa faida tu na sio mambo ya ajabu au kukaririshwa vitu au maneno ambayo siyaelewi au kuchanjwa chale Na kupakwa dawa nisizozielewa naomba msaada

SITAKI UCHAWI WA DIZAINI HII
kutoa kafara binadamu wenzangu hata km sio ndugu zangu
kumtumikia shetani
kukufuru
kulazimisha kutamka au kufanya vitu nisivyovielewa
au kufanya jambo lolote lile baya litaloumiza wengine nk

NATAKA UCHAWI HUU
Kutoa kafara wanyama km mbuzi nk real mbuzi sio wafanye mazingaombwe mtu ageuzwe mbuzi
kumtumikia MUNGU
kuwekwa kila kitu wazi kuhusu maneno ishara nk
kuutumia uchawi kufanya maendeleo km kubuni vitu nk
uvumbuzi wa technolojia

asanteni
Maendeleo uliyo nayo wewe kwa aachawi ni umaskini. Wao wana mambo yao a mbayo ndo utajiri kwao. Mfano ukimiliki misukule mingi huo ndo utajiri kwa wachawi
 
Kwa humu JF hakuna wa kukusaidia kwa sababu hao watu unaowatafuta hawana ujuzi wa kutumia JF ila ukihitaji tembelea vijijini hasa kwa wandengeleko wachawi sana na vijiji vingine
mkuu wachawi ambao umekutana nao kisela hawakujui lazima watataka kukupelekesha mm nataka mchawi angalau kasoma kidogo anipe technique A-Z ata km ni basic Ntamlipa na anieleze uo uchawi ninaoutaka naweza kuupata wapi na vitabu vipi na vipi nivisome kuongeza maarifa wachawi ambao hawajitambui km hao wa vijijin mh itakuwa shida kidogo sababu unakuta unamuuliza vitu yeye anakulazimisha vitu
 
Maendeleo uliyo nayo wewe kwa aachawi ni umaskini. Wao wana mambo yao a mbayo ndo utajiri kwao. Mfano ukimiliki misukule mingi huo ndo utajiri kwa wachawi
huo ndio uchawi siutaki mm nahitaji uchawi wa kuscan au ku X ray vitu ili nifanye uvumbuzi uchawi utakao niwezesha nifike popote dunian hata USA au AREA 51 maeneo ambayo binadamy haruhusiwi kukanyaga nk nia ni kuresearch ili nilete uvumbuzi in our real world kusaidia watu
 
Back
Top Bottom