Nataka niwe mchawi msomi pasipo haya, je inawezekana?

Nataka niwe mchawi msomi pasipo haya, je inawezekana?

Yapo makubwa yaliyofichwa nyuma ya vitu mfano mitishamba, kafara, nk. Pamoja na kwamba mambo ya kiroho yana kanuni zake, lakini kila operation ya kiroho inaongozwa na roho iliyopo nyuma ya jambo hilo kwa faida ya roho hiyo. Watu wanafikiri ni chemistry tu ya kawaida ya kuchanganya mti huu na ule, kuna makubwa nyuma ya hiyo miti na hayo mairizi.
big point ayo ndio nsyotaks kujifunza ila sasa naanzia wap ? matapel weng
 

Nakushauri fanya kitu kinaitwa fantasy witchcraft ama uchawi wa kkujifurahisha bila kudhuru wengine.. Huu una mpaka vyuo na madesa mitandaoni!
Sikushauri hata siku moja ufanye kafara za damu unajenga madhabahu utakazoshindwa kuzibomoa.. Ikibidi kabisa kufanya kafara la damu basi hakikisha huyo mnyama mwenye damu yake hafi

Sent using Jamii Forums mobile app
fantasy witchcraft naomba unipe link ya kuaminika nianzie hapo
 
Mshana Jr nasubir unipe link mkuu nianze kazi

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Sent using Jamii Forums mobile app
asante mkuu ila itakuwa poa katika huu uzi km ukitoa real example watu waamin uchawi upo na si lazima umtumikie shetani unaweza kuutumia kufanya mazuri
 
Habar wakuu !!!

heading isiwachanganye taratibu mtanielewa ipo hv maisha ni magumu sn kila siku watu wanatubeep so sad ni kibaya zaid sina bib wala babu ambae ni mganga ila nashukuru MUNGU nimepata elimu sasa nikapata wazo nikichukua elimu niliyonayo plus UCHAWI naweza fanya kitu kikubwa sana sasa sijui nianzie wapi ?

SHARTI NATAKA NIWE MCHAWI MSOMI mchawi aliesomea principle zote za kichawi from beginning nimewah soma bandiko moja linasema shida sio uchawi shida ni unautumiaje mm nataka niitumie kwa faida tu na sio mambo ya ajabu au kukaririshwa vitu au maneno ambayo siyaelewi au kuchanjwa chale Na kupakwa dawa nisizozielewa naomba msaada

SITAKI UCHAWI WA DIZAINI HII
kutoa kafara binadamu wenzangu hata km sio ndugu zangu
kumtumikia shetani
kukufuru
kulazimisha kutamka au kufanya vitu nisivyovielewa
au kufanya jambo lolote lile baya litaloumiza wengine nk

NATAKA UCHAWI HUU
Kutoa kafara wanyama km mbuzi nk real mbuzi sio wafanye mazingaombwe mtu ageuzwe mbuzi
kumtumikia MUNGU
kuwekwa kila kitu wazi kuhusu maneno ishara nk
kuutumia uchawi kufanya maendeleo km kubuni vitu nk
uvumbuzi wa technolojia

asanteni

UPDATESSSSSS !!!!!!!!!!!!
Sijui kwann most of people wanaamini uchawi ni kitu kibaya WHY mm naamin uchawi si shida shida unautumiaje Mshana Jr upo wapi nasubir neno moja kutoka kwako
Extrovert
Mchawi msomi ni anayeweza kutimia vizuri programming languages, coding & ethical hacking
 
asante mkuu ila itakuwa poa katika huu uzi km ukitoa real example watu waamin uchawi upo na si lazima umtumikie shetani unaweza kuutumia kufanya mazuri
Watu wengine wanachekesha! Wanadhani uchawi ni mpaka uende kwa waganga wa kienyeji! Nikwambie kitu: mila na desturi ya jamii, koo, kabila mbalimbali ni uchawi tosha! Waulize wazee wa koo watakwambia! Unashirikishwa bila kujua kwa mazindiko na matambiko hata wewe kukuchukua au kuwapa mwana awe kiti cha enzi cha mazimu! Kama utafikiri natania tangaza umeokoka (japo huwezi kuokoka bila msaada wa Mungu). Hila nakwambia ukipata neema ya kuokoka ndo utajua na wewe ni mchawi (mwanga) na usiku unachukuliwa kuwangia watu! 😁😅😅😄😄
 
Habar wakuu !!!

heading isiwachanganye taratibu mtanielewa ipo hv maisha ni magumu sn kila siku watu wanatubeep so sad ni kibaya zaid sina bib wala babu ambae ni mganga ila nashukuru MUNGU nimepata elimu sasa nikapata wazo nikichukua elimu niliyonayo plus UCHAWI naweza fanya kitu kikubwa sana sasa sijui nianzie wapi ?

SHARTI NATAKA NIWE MCHAWI MSOMI mchawi aliesomea principle zote za kichawi from beginning nimewah soma bandiko moja linasema shida sio uchawi shida ni unautumiaje mm nataka niitumie kwa faida tu na sio mambo ya ajabu au kukaririshwa vitu au maneno ambayo siyaelewi au kuchanjwa chale Na kupakwa dawa nisizozielewa naomba msaada

SITAKI UCHAWI WA DIZAINI HII
kutoa kafara binadamu wenzangu hata km sio ndugu zangu
kumtumikia shetani
kukufuru
kulazimisha kutamka au kufanya vitu nisivyovielewa
au kufanya jambo lolote lile baya litaloumiza wengine nk

NATAKA UCHAWI HUU
Kutoa kafara wanyama km mbuzi nk real mbuzi sio wafanye mazingaombwe mtu ageuzwe mbuzi
kumtumikia MUNGU
kuwekwa kila kitu wazi kuhusu maneno ishara nk
kuutumia uchawi kufanya maendeleo km kubuni vitu nk
uvumbuzi wa technolojia

asanteni

UPDATESSSSSS !!!!!!!!!!!!
Sijui kwann most of people wanaamini uchawi ni kitu kibaya WHY mm naamin uchawi si shida shida unautumiaje Mshana Jr upo wapi nasubir neno moja kutoka kwako
Extrovert
Waliookoka HAWAROGEKI, njo ujisajili.

Mganga na mchawi ni sawa na mtu na binamu yake.
 
Back
Top Bottom