Nataka niwe mchawi msomi pasipo haya, je inawezekana?

Nataka niwe mchawi msomi pasipo haya, je inawezekana?

Yaani ufanye uchawi bila kumtumikia Shetani?
Mbona sijaelewa hapa
Possible ngoja nikupe mfano internet ya dunia ipo USA yaan chini juu huwezi mkwepa USA submarine cable zote zinazopita baharin ili kuse onternet ya dunia source ni USA lkn zipo nchi km CHINA RUSSIA zina moango wa kufunga internet zao
 
Nakipata wapi mkuu km una link ya pdf nipe English or swahili version
Ni vitabu walikuwa wanatoa hard copy, ni jamaa wa jitambue gazeti la zamani hivi.

Hata hivyo kwa nini usijifunze zaidi kanuni zinazotuongoza tu. Mimi huziita codes, yaani principles we live by.

Ni rahisi zaidi kuzitawala hizo na kuzitumia. Na kuutawala uchawi ni kazi maana itabidi uwashawishi au uwatishe au uwahimize watu kuendana na matakwa yako. Will.
 
Possible ngoja nikupe mfano internet ya dunia ipo USA yaan chini juu huwezi mkwepa USA submarine cable zote zinazopita baharin ili kuse onternet ya dunia source ni USA lkn zipo nchi km CHINA RUSSIA zina moango wa kufunga internet zao
Sasa huo ni uchawi au sayansi?
Hiyo si creativity ya mtu tu bro, watu wana IQ za 200-250 huko , wanafanya mambo makubwa alafu ujue hizo zimejengwa na Wayahudi na wazungu kama Nikola Tesla.
Sema Tesla aliwahi sema ubongo ni kama receiver ya ujumbe KUTOKA ulimwengu usioonekana ambayo yeye aliuita Mungu.
 
Sasa huo ni uchawi au sayansi?
Hiyo si creativity ya mtu tu bro, watu wana IQ za 200-250 huko , wanafanya mambo makubwa alafu ujue hizo zimejengwa na Wayahudi na wazungu kama Nikola Tesla.
Sema Tesla aliwahi sema ubongo ni kama receiver ya ujumbe KUTOKA ulimwengu usioonekana ambayo yeye aliuita Mungu.
Nipe tano mkuu haya ndio mambo nilitaka kusikia zipo shorts inside our brain hazijulikan source zake ni nn ? mm naamin kuna mengi hatuyajui lkn wengi wana uoga wa kutaka kuvijua wanahisi mwisho wa yote lazima utakutana na shetani shida ipo hapo sasa
 
Waganga pia ni wachawi why helps peoples shida sio uchawi shida unautumiaje ? mfano BANGI ni tiba ya kisaikolojia hasa kwa watu waliopata majanga ya kutisha but people change it
Uchawi ni kama ugonjwa mkuu na sio kama uganga. Uganga sio uchawi.. hivi vitu havina ukaribu ila vinafanana sababu ni spiritual power. Uchawi na uganga ni vitu viwili tofauti ingawa vinahisisha ombwe
 
Uchawi unaharibu tu.. kama magonjwa na uganga unatibu.. vyote vinatumia nguvu tusizoziona Kwa mamcho ya kawaida. Maana vinahusisha elimu nyota, utabiri n matumizi ya majini
 
Habar wakuu !!!

heading isiwachanganye taratibu mtanielewa ipo hv maisha ni magumu sn kila siku watu wanatubeep so sad ni kibaya zaid sina bib wala babu ambae ni mganga ila nashukuru MUNGU nimepata elimu sasa nikapata wazo nikichukua elimu niliyonayo plus UCHAWI naweza fanya kitu kikubwa sana sasa sijui nianzie wapi ?

SHARTI NATAKA NIWE MCHAWI MSOMI mchawi aliesomea principle zote za kichawi from beginning nimewah soma bandiko moja linasema shida sio uchawi shida ni unautumiaje mm nataka niitumie kwa faida tu na sio mambo ya ajabu au kukaririshwa vitu au maneno ambayo siyaelewi au kuchanjwa chale Na kupakwa dawa nisizozielewa naomba msaada

SITAKI UCHAWI WA DIZAINI HII
kutoa kafara binadamu wenzangu hata km sio ndugu zangu
kumtumikia shetani
kukufuru
kulazimisha kutamka au kufanya vitu nisivyovielewa
au kufanya jambo lolote lile baya litaloumiza wengine nk

NATAKA UCHAWI HUU
Kutoa kafara wanyama km mbuzi nk real mbuzi sio wafanye mazingaombwe mtu ageuzwe mbuzi
kumtumikia MUNGU
kuwekwa kila kitu wazi kuhusu maneno ishara nk
kuutumia uchawi kufanya maendeleo km kubuni vitu nk
uvumbuzi wa technolojia

asanteni

UPDATESSSSSS !!!!!!!!!!!!
Sijui kwann most of people wanaamini uchawi ni kitu kibaya WHY mm naamin uchawi si shida shida unautumiaje Mshana Jr upo wapi nasubir neno moja kutoka kwako
Extrovert
Unatakiwa vilevile uwe mwanga msomi ukiwa mchawi msomi haitoshi
 
Uchawi lazima uku cost. Ww bure bure hivo aupo
 
Inawwzekana hiyo hakuna shida kuna black magic na white magic mm unavyoniona ni mchawi nafanya conjuring sprit kwa kutumia demon na Angel
Natumia elimu za kichawi za namba kama numerology ambapo mm kuanzia namba yangu ya cm na majina yangu yote ukijumlisha unapata namba zenye nguvu
Natumia elimu ya kichawi ya astrology mfano nikitaka kutafuta demu anikubali kirahisi namuuliza happy birthday yake nikijua tarehe naangalia mfano ktk elimu ya nyota asili yangu maji hivyo nimpate demu asili ya udongo au moto ila hawa upepo wananisumbua
Zipo elimu nyingi za kichawi na nzuri sana ni ww kuamua na uchawi wangu sidhuru mtu wala siui yoyote lakini mm na uchawi dam dam 👍👍👍
 
Habar wakuu !!!

heading isiwachanganye taratibu mtanielewa ipo hv maisha ni magumu sn kila siku watu wanatubeep so sad ni kibaya zaid sina bib wala babu ambae ni mganga ila nashukuru MUNGU nimepata elimu sasa nikapata wazo nikichukua elimu niliyonayo plus UCHAWI naweza fanya kitu kikubwa sana sasa sijui nianzie wapi ?

SHARTI NATAKA NIWE MCHAWI MSOMI mchawi aliesomea principle zote za kichawi from beginning nimewah soma bandiko moja linasema shida sio uchawi shida ni unautumiaje mm nataka niitumie kwa faida tu na sio mambo ya ajabu au kukaririshwa vitu au maneno ambayo siyaelewi au kuchanjwa chale Na kupakwa dawa nisizozielewa naomba msaada

SITAKI UCHAWI WA DIZAINI HII
kutoa kafara binadamu wenzangu hata km sio ndugu zangu
kumtumikia shetani
kukufuru
kulazimisha kutamka au kufanya vitu nisivyovielewa
au kufanya jambo lolote lile baya litaloumiza wengine nk

NATAKA UCHAWI HUU
Kutoa kafara wanyama km mbuzi nk real mbuzi sio wafanye mazingaombwe mtu ageuzwe mbuzi
kumtumikia MUNGU
kuwekwa kila kitu wazi kuhusu maneno ishara nk
kuutumia uchawi kufanya maendeleo km kubuni vitu nk
uvumbuzi wa technolojia

asanteni

UPDATESSSSSS !!!!!!!!!!!!
Sijui kwann most of people wanaamini uchawi ni kitu kibaya WHY mm naamin uchawi si shida shida unautumiaje Mshana Jr upo wapi nasubir neno moja kutoka kwako
Extrovert
Sijui kwann most of people wanaamini uchawi ni kitu kibaya WHY mm naamin uchawi si shida shida unautumiaje[emoji419][emoji375]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habar wakuu !!!

heading isiwachanganye taratibu mtanielewa ipo hv maisha ni magumu sn kila siku watu wanatubeep so sad ni kibaya zaid sina bib wala babu ambae ni mganga ila nashukuru MUNGU nimepata elimu sasa nikapata wazo nikichukua elimu niliyonayo plus UCHAWI naweza fanya kitu kikubwa sana sasa sijui nianzie wapi ?

SHARTI NATAKA NIWE MCHAWI MSOMI mchawi aliesomea principle zote za kichawi from beginning nimewah soma bandiko moja linasema shida sio uchawi shida ni unautumiaje mm nataka niitumie kwa faida tu na sio mambo ya ajabu au kukaririshwa vitu au maneno ambayo siyaelewi au kuchanjwa chale Na kupakwa dawa nisizozielewa naomba msaada

SITAKI UCHAWI WA DIZAINI HII
kutoa kafara binadamu wenzangu hata km sio ndugu zangu
kumtumikia shetani
kukufuru
kulazimisha kutamka au kufanya vitu nisivyovielewa
au kufanya jambo lolote lile baya litaloumiza wengine nk

NATAKA UCHAWI HUU
Kutoa kafara wanyama km mbuzi nk real mbuzi sio wafanye mazingaombwe mtu ageuzwe mbuzi
kumtumikia MUNGU
kuwekwa kila kitu wazi kuhusu maneno ishara nk
kuutumia uchawi kufanya maendeleo km kubuni vitu nk
uvumbuzi wa technolojia

asanteni

UPDATESSSSSS !!!!!!!!!!!!
Sijui kwann most of people wanaamini uchawi ni kitu kibaya WHY mm naamin uchawi si shida shida unautumiaje Mshana Jr upo wapi nasubir neno moja kutoka kwako
Extrovert
Nakushauri fanya kitu kinaitwa fantasy witchcraft ama uchawi wa kkujifurahisha bila kudhuru wengine.. Huu una mpaka vyuo na madesa mitandaoni!
Sikushauri hata siku moja ufanye kafara za damu unajenga madhabahu utakazoshindwa kuzibomoa.. Ikibidi kabisa kufanya kafara la damu basi hakikisha huyo mnyama mwenye damu yake hafi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Km kweli vile lakini tusicomplex mambo ngoja tuchukue mifano hai lets says matajiri ni wachawi ? jibu ni sio wote
na mbona wapo watu wachawi lkn still they are poor WHY ???????? Dunia imebeba siri kubwa ninachoamini mm watu ni waoga wa kufikiri ndo maana nataka nikutane na mtu amesoma na anaujua uchawi deep down tujue one by one sitaki kuamin kuwa UCHAWI unatoka kwa SHETANI NOOOOOOOOO !!!!!!!!

IPO science ya kichawi na hii ni kupitia kuelewa NGUVU TULIZONAZO AS HUMANS MITI NA OTHER SOURCE
Yapo makubwa yaliyofichwa nyuma ya vitu mfano mitishamba, kafara, nk. Pamoja na kwamba mambo ya kiroho yana kanuni zake, lakini kila operation ya kiroho inaongozwa na roho iliyopo nyuma ya jambo hilo kwa faida ya roho hiyo. Watu wanafikiri ni chemistry tu ya kawaida ya kuchanganya mti huu na ule, kuna makubwa nyuma ya hiyo miti na hayo mairizi.
 
Back
Top Bottom