Nataka niwe mchawi msomi pasipo haya, je inawezekana?

Hayo yoote yanawezekana kwa kuokoka! Wokovu utakuwezesha kutoa sandaka ya damu ya Yesu kuliko sandaka na kafara za upande wa shetani! Hapo usomi wako utakupa added advantage ya kusoma neno na kulitumia ipasavyo! Hila angalizo! Huenda ikakuchukua muda mrefu kufanikiwa kwasababu nguvu za Mungu zinajengwa katika msingi wa Haki! Itabidi ubomoe misingi ya uchumi na elimu uliyonayo iliyokufikisha hapo ndo ujenge msingi (iliyowekwa kwa neno la Mungu kupitia mitume na manabii) wa Mungu! Hapo ujue vita unavyotangaza sio vya kitoto! Utatengwa na ndugu, jamaa na marafiki! Njia zako za kipato zitakatwa! Utaanza kuishi kwa neema mpaka ujenge misingi sio leo! Kama utafanikiwa kujenga misingi watakaofaidika na ndoto za ushindi katika Kristo basi uenda ni watoto au wajukuu! Huu ndo ukweli whether you like it or not!
 
Daaah 🤣 🤣🤣🤣
 
Kwa bahati mbaya hakuna uchawi usiotoka kwa shetani. Kafara za mbuzi ni geresha tu, watu ndio hutolewa kafara. Unafikiri kama kungekuwepo na uchawi msafi na usio na shida kungekuwa na maskini dunia hii?
 
Mkuu MUNGU ndo kaumba kila kitu sema tu binadamu huwa wanabadili matumizi mm naamin hata uchawi aliuumba yeye kumuwezesha binadamu kufanya BIG THINGS zipo simulizi zinadai wapo wachawi uko MISRI akina abramelini walikuwa na nguvu kiasi waliweza kupata maomo directly from GOD that is what i want to learn

ANGALIZO VIPO VITABU BAADHI VYA KICHAWI HURUHUSIWI KUSOMA UKIKISOMA NA KUKIELEWA LAZIMA UFE
 
Kwa bahati mbaya hakuna uchawi usiotoka kwa shetani. Kafara za mbuzi ni geresha tu, watu ndio hutolewa kafara. Unafikiri kama kungekuwepo na uchawi msafi na usio na shida kungekuwa na maskini dunia hii?
Km kweli vile lakini tusicomplex mambo ngoja tuchukue mifano hai lets says matajiri ni wachawi ? jibu ni sio wote
na mbona wapo watu wachawi lkn still they are poor WHY ???????? Dunia imebeba siri kubwa ninachoamini mm watu ni waoga wa kufikiri ndo maana nataka nikutane na mtu amesoma na anaujua uchawi deep down tujue one by one sitaki kuamin kuwa UCHAWI unatoka kwa SHETANI NOOOOOOOOO !!!!!!!!

IPO science ya kichawi na hii ni kupitia kuelewa NGUVU TULIZONAZO AS HUMANS MITI NA OTHER SOURCE
 
We can't speak about witchcraft or occult without start think Envy... Hakuna mchawi wa kiafrika mwenye roho nzuri.. hili tulijue kwanza unless awe nfanya mazingaombwe
Waganga pia ni wachawi why helps peoples shida sio uchawi shida unautumiaje ? mfano BANGI ni tiba ya kisaikolojia hasa kwa watu waliopata majanga ya kutisha but people change it
 
Kile kitabu cha Munga Tehenan cha UCHAWI ushakisoma?
 
Yaani ufanye uchawi bila kumtumikia Shetani?
Mbona sijaelewa hapa
 
Kinahusiana na nini?
Ni uchawi in general. Jamaa ni kama alikuwa anaclarify uchawi ni nini.

So huyu mwamba kitamsaidia kujua hata hicho anachokitafuta haswa ni kipi.

Nataka nimshauri azitafute kanuni, aitafute sayansi yenyewe haina usumbufu kama uchawi.
 
Humu jf hakuna jukwaa na wachawi nenda peleka upuuzi wako huko huko pimbi weeeee!
 
Anhaa nakipata wapi?
Ni uchawi in general. Jamaa ni kama alikuwa anaclarify uchawi ni nini.

So huyu mwamba kitamsaidia kujua hata hicho anachokitafuta haswa ni kipi.

Nataka nimshauri azitafute kanuni, aitafute sayansi yenyewe haina usumbufu kama uchawi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…