big point ayo ndio nsyotaks kujifunza ila sasa naanzia wap ? matapel wengYapo makubwa yaliyofichwa nyuma ya vitu mfano mitishamba, kafara, nk. Pamoja na kwamba mambo ya kiroho yana kanuni zake, lakini kila operation ya kiroho inaongozwa na roho iliyopo nyuma ya jambo hilo kwa faida ya roho hiyo. Watu wanafikiri ni chemistry tu ya kawaida ya kuchanganya mti huu na ule, kuna makubwa nyuma ya hiyo miti na hayo mairizi.
Asante angalia post no #55afadhali umekuja mkuu nianzie wap mkuu nataka kuwa mchawi safi !!!!
fantasy witchcraft naomba unipe link ya kuaminika nianzie hapoNakushauri fanya kitu kinaitwa fantasy witchcraft ama uchawi wa kkujifurahisha bila kudhuru wengine.. Huu una mpaka vyuo na madesa mitandaoni!
Sikushauri hata siku moja ufanye kafara za damu unajenga madhabahu utakazoshindwa kuzibomoa.. Ikibidi kabisa kufanya kafara la damu basi hakikisha huyo mnyama mwenye damu yake hafi
Sent using Jamii Forums mobile app
Mshana Jr nasubir unipe link mkuu nianze kazi
asante mkuu ila itakuwa poa katika huu uzi km ukitoa real example watu waamin uchawi upo na si lazima umtumikie shetani unaweza kuutumia kufanya mazuriWitchcraft for Beginners: A Simple Introduction to Magic for the Modern Witch by Bridget Bishop (Ebook) - Read free for 30 days
Make Your Life Magical With This Essential Book For New Witches There is so much more wonder and magic in this world than most people ever experience, but if you've decided to check out this book, than you already suspect there's something more. Witchcraft is the doorway into that new world...www.scribd.com
Sent using Jamii Forums mobile app
I see! Watu wako giza tololo! NDIO TENA NDIO KUBWA! Alafu wategemea nguvu za giza wakiona unafanikiwa kibiashara wanajiaminisha nimepata mganga mwenye nguvu zaidi kumbe ni MunguHivi kwa ulimwengu huu inawezekana ukafanya biashara ukimtegemea Mungu pekee pasipo featuring na ukatoboa vizuri mkuu Mshana Jr?
Mchawi msomi ni anayeweza kutimia vizuri programming languages, coding & ethical hackingHabar wakuu !!!
heading isiwachanganye taratibu mtanielewa ipo hv maisha ni magumu sn kila siku watu wanatubeep so sad ni kibaya zaid sina bib wala babu ambae ni mganga ila nashukuru MUNGU nimepata elimu sasa nikapata wazo nikichukua elimu niliyonayo plus UCHAWI naweza fanya kitu kikubwa sana sasa sijui nianzie wapi ?
SHARTI NATAKA NIWE MCHAWI MSOMI mchawi aliesomea principle zote za kichawi from beginning nimewah soma bandiko moja linasema shida sio uchawi shida ni unautumiaje mm nataka niitumie kwa faida tu na sio mambo ya ajabu au kukaririshwa vitu au maneno ambayo siyaelewi au kuchanjwa chale Na kupakwa dawa nisizozielewa naomba msaada
SITAKI UCHAWI WA DIZAINI HII
kutoa kafara binadamu wenzangu hata km sio ndugu zangu
kumtumikia shetani
kukufuru
kulazimisha kutamka au kufanya vitu nisivyovielewa
au kufanya jambo lolote lile baya litaloumiza wengine nk
NATAKA UCHAWI HUU
Kutoa kafara wanyama km mbuzi nk real mbuzi sio wafanye mazingaombwe mtu ageuzwe mbuzi
kumtumikia MUNGU
kuwekwa kila kitu wazi kuhusu maneno ishara nk
kuutumia uchawi kufanya maendeleo km kubuni vitu nk
uvumbuzi wa technolojia
asanteni
UPDATESSSSSS !!!!!!!!!!!!
Sijui kwann most of people wanaamini uchawi ni kitu kibaya WHY mm naamin uchawi si shida shida unautumiaje Mshana Jr upo wapi nasubir neno moja kutoka kwako
Extrovert
Sijakuelewa kidogo. Unamaanisha nini?I see! Watu wako giza tololo! NDIO TENA NDIO KUBWA! Alafu wategemea nguvu za giza wakiona unafanikiwa kibiashara wanajiaminisha nimepata mganga mwenye nguvu zaidi kumbe ni Mungu
Watu wengine wanachekesha! Wanadhani uchawi ni mpaka uende kwa waganga wa kienyeji! Nikwambie kitu: mila na desturi ya jamii, koo, kabila mbalimbali ni uchawi tosha! Waulize wazee wa koo watakwambia! Unashirikishwa bila kujua kwa mazindiko na matambiko hata wewe kukuchukua au kuwapa mwana awe kiti cha enzi cha mazimu! Kama utafikiri natania tangaza umeokoka (japo huwezi kuokoka bila msaada wa Mungu). Hila nakwambia ukipata neema ya kuokoka ndo utajua na wewe ni mchawi (mwanga) na usiku unachukuliwa kuwangia watu! ππ π ππasante mkuu ila itakuwa poa katika huu uzi km ukitoa real example watu waamin uchawi upo na si lazima umtumikie shetani unaweza kuutumia kufanya mazuri
Mafanikio kutegemea Mungu ni makubwa saana na dhahiri kuliko uchawiSijakuelewa kidogo. Unamaanisha nini?
Kwamba ukitegemea Mungu utafanya kazi kwa kutumia akili na maarifa? Naamini. Una usafiri?Mafanikio kutegemea Mungu ni makubwa saana na dhahiri kuliko uchawi
Usafiri wa nini mkuu? Una maanisha nina gari?Kwamba ukitegemea Mungu utafanya kazi kwa kutumia akili na maarifa? Naamini. Una usafiri?
Ndiyo mkuu. Na aina ya gari pia, ukiwiwa kuniambia.Usafiri wa nini mkuu? Una maanisha nina gari?
Waliookoka HAWAROGEKI, njo ujisajili.Habar wakuu !!!
heading isiwachanganye taratibu mtanielewa ipo hv maisha ni magumu sn kila siku watu wanatubeep so sad ni kibaya zaid sina bib wala babu ambae ni mganga ila nashukuru MUNGU nimepata elimu sasa nikapata wazo nikichukua elimu niliyonayo plus UCHAWI naweza fanya kitu kikubwa sana sasa sijui nianzie wapi ?
SHARTI NATAKA NIWE MCHAWI MSOMI mchawi aliesomea principle zote za kichawi from beginning nimewah soma bandiko moja linasema shida sio uchawi shida ni unautumiaje mm nataka niitumie kwa faida tu na sio mambo ya ajabu au kukaririshwa vitu au maneno ambayo siyaelewi au kuchanjwa chale Na kupakwa dawa nisizozielewa naomba msaada
SITAKI UCHAWI WA DIZAINI HII
kutoa kafara binadamu wenzangu hata km sio ndugu zangu
kumtumikia shetani
kukufuru
kulazimisha kutamka au kufanya vitu nisivyovielewa
au kufanya jambo lolote lile baya litaloumiza wengine nk
NATAKA UCHAWI HUU
Kutoa kafara wanyama km mbuzi nk real mbuzi sio wafanye mazingaombwe mtu ageuzwe mbuzi
kumtumikia MUNGU
kuwekwa kila kitu wazi kuhusu maneno ishara nk
kuutumia uchawi kufanya maendeleo km kubuni vitu nk
uvumbuzi wa technolojia
asanteni
UPDATESSSSSS !!!!!!!!!!!!
Sijui kwann most of people wanaamini uchawi ni kitu kibaya WHY mm naamin uchawi si shida shida unautumiaje Mshana Jr upo wapi nasubir neno moja kutoka kwako
Extrovert