Kama thread inavojionesha ! Kama tunavojua ,sisi sote ni ndugu!! Basi naomba tusaidiane kwa hili!! Ndoto yangu ni kufanya kazi chini ya kampuni langu, ndiyo furaha nayoiwazia saana saana kwani naimani ya kua ,nikifanikisha kua na kampuni ,basi nitaweza KUJINYIMA USINGIZI kwa ajili ya kampuni na kutengeneza fursa kwa watu wengine kupitia Mimi.
Hivyo basi ,naombeni mawazo yenu (Objectively) , bidhaa ipi itanisaidia kukuza kampuni na kupelekea kuanzisha bidha nyingine na nyingine na nyingine ? (Under the same brand)
NB! Itapendeza ukitoa wazo ambalo huenda likawa faida na kwa wasomaji wengine ;;Hivyo basi ,tujenge hoja pasipokujali Mtaji wa muanzilishi wa hii thread.
#When you get!! reach back ,then pull someone else#
Hivyo basi ,naombeni mawazo yenu (Objectively) , bidhaa ipi itanisaidia kukuza kampuni na kupelekea kuanzisha bidha nyingine na nyingine na nyingine ? (Under the same brand)
NB! Itapendeza ukitoa wazo ambalo huenda likawa faida na kwa wasomaji wengine ;;Hivyo basi ,tujenge hoja pasipokujali Mtaji wa muanzilishi wa hii thread.
#When you get!! reach back ,then pull someone else#