Nataka utajiri wa giza, utajiri wa mkataba, utajiri wa mizimu ama majini, naomba connection

Nataka utajiri wa giza, utajiri wa mkataba, utajiri wa mizimu ama majini, naomba connection

Nataka kuukaribia utajiri wa giza, utajiri wa mkataba, utajiri wa mizimu ama majini, connection naombeni, umaskini ni laana wazee mnaelewa?

Au mnataka niwe kama wengine waliojikatia tamaa halafu wanakuja kuwaaga kua wanajiua, halafu wakifa ndio mnawanunulia suti za bei mbaya na jeneza la bei mbayaa, inasaidia nini kwa mfu. Leteni konekshen tujitose, ujasiri ninao nshaamua liwalo na liwe.

Naskia uchungu sana huu umasikini [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Kwahiyo wewe umewatafuta freemason Hadi Leo bado haujawapata?
Au haya mambo ni uongo uongo tu
 
Hakuna utajiri wowote ambao hauna maagano. Hata kama ni mlokole ujue kuna maagano yaliyofanyika. Hayo maagano ni siri, ndio maana utajiri ni siri. Ila ujikaze kwani kuna maagano ya aibu. Mf. Tajiri ila ana kidonda mgongoni ambacho hakiponi, ni maagano, kidonda kikipona na utajiri kwisha. Kuna utajiri wa kutesa wengine na wewe unakaa kwenye viti virefu baa.
 
Back
Top Bottom