Nataka utajiri wa giza, utajiri wa mkataba, utajiri wa mizimu ama majini, naomba connection

Nataka utajiri wa giza, utajiri wa mkataba, utajiri wa mizimu ama majini, naomba connection

Wakuu samahan jamani, Naomba kuelekezwa mahali au chimbo la utajiri wa ndagu au utajiri wa punje za kuku haswa maeneo ya nyanda za juu Kusini huko please
ungekua Mwanza ningekupa chimbo ukaongee na huyu mtaalam..

hapa alipo yupo safarini anakuja Mwanza..

Connection hii nimepewa na Mganga, kwamba huyu ndie mkali wake😅😅😅

Mambo yake yakienda vibaya (kilingeni kwake) anasafiri kwenda kwa huyu kurekebisha mambo
😅😅
RAMLI ZAKE NI ZA KUTUMIA KUKU..
Screenshot_20240929-105149.jpg
 
dkasw
Wakuu samahan jamani, Naomba kuelekezwa mahali au chimbo la utajiri wa ndagu au utajiri wa punje za kuku haswa maeneo ya nyanda za juu Kusini huko please
dah pole sana P dd ndoo kashawekwa nyuma ya nondo ningekushauri ujichange ukamtembelee nyumbani kwake
 
Hii ndio aina ya watu wanaojazana kwa mwamposa
Hata uwaeleze vipi kwamba hiyo miujiza ni feki hawachelewi kumbe wapo tayari hata kuua mama zao kisa pesa
 
ungekua Mwanza ningekupa chimbo ukaongee na huyu mtaalam..

hapa alipo yupo safarini anakuja Mwanza..

Connection hii nimepewa na Mganga, kwamba huyu ndie mkali wake😅😅😅

Mambo yake yakienda vibaya (kilingeni kwake) anasafiri kwenda kwa huyu kurekebisha mambo
😅😅
RAMLI ZAKE NI ZA KUTUMIA KUKU..
View attachment 3110064
Naomba unisaidie ya huyu wa mwanza mkuu
 
Hii ndio aina ya watu wanaojazana kwa mwamposa
Hata uwaeleze vipi kwamba hiyo miujiza ni feki hawachelewi kumbe wapo tayari hata kuua mama zao kisa pesa
Pumbav. Usituchanganye na hao mambulula wa kwa mwamposa. Hata mwamposa alipata konekshen, anainjoi utajiri kwa sasa
 
Mganga atapaka dawa kwenye kichwa cha dudu yake kisha anakuambia uiname upate baraka ya mizimu. Kesi ya didy imetufunua mengi.
Yaani matajiri wengi wa ndumba wameishawekwa mdudu kule nyuma.
Hata kama hupendi atakuwekea kilevi utalewa anageuza makalio anafanye yake ukistuka anakuambia hilo ndio tambiko. Kwa sababu ni tendo baya humuadithii mtu kwa hio mganga anaendeleza ufirauni wake mpaka anazeeka na kifa.
 
Back
Top Bottom