Kwahiyo wewe umewatafuta freemason Hadi Leo bado haujawapata?Nataka kuukaribia utajiri wa giza, utajiri wa mkataba, utajiri wa mizimu ama majini, connection naombeni, umaskini ni laana wazee mnaelewa?
Au mnataka niwe kama wengine waliojikatia tamaa halafu wanakuja kuwaaga kua wanajiua, halafu wakifa ndio mnawanunulia suti za bei mbaya na jeneza la bei mbayaa, inasaidia nini kwa mfu. Leteni konekshen tujitose, ujasiri ninao nshaamua liwalo na liwe.
Naskia uchungu sana huu umasikini [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Shamba la miti?View attachment 318686011 - 15yrs utajiri utaupata
Ni lzm uwe na sehemu unapoanzia ili nguzo hiyo iandae mazingira ya kumiliki fedha baadaeShamba la miti?
😂nitakuja mukuu nikipata PESA. mana huwez kulima na meno na mbolea pembejeo ziwe mate.
Na mm pia NATAKANa wewe unataka.
😂😂Hapana..nitauza lazima.
NDIOVijana mnataka utajiri wa ghafla kama wa chiefgodlove ama chino wanaman?
Mambo ya freemason ni utapeli. Hamna kitu.Kwahiyo wewe umewatafuta freemason Hadi Leo bado haujawapata?
Au haya mambo ni uongo uongo tu
Nakubali kabisa tena hapa bongo hamna kitu. Unless upate godfather akupeleke..Mambo ya freemason ni utapeli. Hamna kitu.