Natakakusoma hesabu chuo kikuu bila kupitia form iv

Natakakusoma hesabu chuo kikuu bila kupitia form iv

kijimsela@
Mkuu O'level umesoma Additional Maths? Pamoja na hayo kama unadhamira ya kusoma hesabu chuo kikuu ni better usome tu hiyo Advanced Maths ya A'level. Maana nafikiri itakusaidia sana huko mbeleni kwenye field yako.Pia utakapo soma Adv.maths itakuongezea uwezo wako wa kusolve maths...

Alafu nafikiri Dipl. kuna Distiction na Degree ndio kuna First class!
 
utadisco hadi kuishi Dar, ulisoma Add maths o- llevel?
 
Mkuu Hesabu ina kitu kinaitwa formular itakayokisaidia kupata jibu la swali lolote la hesabu.
Exception ni kwa mambo machache ndo hayana formular zinahitaji logic tu.

Huwezi kushindwa kitu ukijua formular yake.

Kasome wasikutishe..Hesabu ni kitu rahisi sana..walishaandaa namna ya kufikia jibu so wewe ni kufuata tu.
 
hutakubaliwa,mie nikitaka kusoma.options za.kemia walikataa kabisa, sikusoma kemia a level.

Labda vyuo vya kamkanyageni.

Ahsante sana kaka kwa ushauri wako,umenifariji sana ingawa nimekatishwa tamaa na ushauri niliopewa na baadhi ya wajumbe, sasa nafikilia kuchukua barchelor of education in comerce. nako hapo sijui mnanishaurije.
 
Kama hujui uhusiano wa coet na math unabisha nn? Teena hata hiyo ya BAED bado hujui wanapga nn! mtu hajui kujumlisha eti una ng'ang'ania asome zidisha wap na wap? tuache tunaojua uhusiano tumueleweshe ajue c sawa anachotaka kufanya
Sijaongopa sehemu yeyote. Sijasema najua uhusiano wa Coet na Math na pia nilisema kule juu sijui aina ya Math inayofundishwa BAED ila pia nilisema kama ni pure basi jitihada za ziada zinahitajika. Sioni umuhimu wa kulumbana hapa kwa sababu wewe kama unaona hesabu ni ngumu hiyo ni juu yako huwezi kulazimisha na mimi nione hesabu ngumu!!! chukulia unakutana na mtu anakwambia kuimba ni rahisi sana kwa kuwa yeye anaweza na anaamini hivyo halafu wewe uanze kumbishia eti ni ngumu hivi atakuelewa. FYI mwaka niliomaliza mimi A-level niliongoza kwenye Advanced Mathematics Bongo nzima so go figure na nimesoma hesabu kwenye nchi ambazo hesabu ni kama chai tu.
 
Kama hujui uhusiano wa coet na math unabisha nn? Teena hata hiyo ya BAED bado hujui wanapga nn! mtu hajui kujumlisha eti una ng'ang'ania asome zidisha wap na wap? tuache tunaojua uhusiano tumueleweshe ajue c sawa anachotaka kufanya
Haya mkuu umeshinda.
 
Mkuu mimi ni mhitimu wa Bsc. Mathematics. Si kweli kuwa hesabu za form six na chuo hazina tofauti sana. Kule ni deep sana. Nikupe mfano, kwenye complex number tulikuwa na lecture sessions 15 ila kwenye session ya kwanza tulimaliza complex ya six, zilizobaki balaa, tuli integrate mpaka complex number!! Kuna topology, functional analysis, ambazo hazipo six. Elimu ya form six ni muhimu sana. Bila form six asijidanganye kufanya maths chuo kikuu.
Inawezekana uko sahihi mkuu..mimi nilisoma PCM then chuo nikasoma Engineering, Ninavyosema hazina tofauti sana namaanisha ni kama muendelezo, ukiwa na msingi mzuri wa A-level chuo unaelewa zaidi kutokana na njia za ufundishaji. Hiyo integration ya complex number ipo hata A-level mkuu. Kama ulisoma Numerical analysis nadhani hutakuwa surprised na hizo terms.
All in all wote tuko same track kwani hata mimi nilisema form six ni muhimu labda hukuelewa nlichoandika hapo mwanzo. Aksante
 
Ungesoma Pure mathematics hata kitaani ili ikusaidie sababu msingi wa Basic maths ya O'level hautoshi kabisa na unaweza usisaidie, maana hesabu ya huku chuo ni pure maths na muendelezo wake...
 
kijimsela@
Mkuu O'level umesoma Additional Maths? Pamoja na hayo kama unadhamira ya kusoma hesabu chuo kikuu ni better usome tu hiyo Advanced Maths ya A'level. Maana nafikiri itakusaidia sana huko mbeleni kwenye field yako.Pia utakapo soma Adv.maths itakuongezea uwezo wako wa kusolve maths...

Alafu nafikiri Dipl. kuna Distiction na Degree ndio kuna First class!

Hapana mkuu ckusoma add.mth o-level, bado nachambua maoni na kuuyapima naweza kubadili mawazo au nikatumia hiyo njia ndefua.

Nacte mbona ndo waliotoa huo utaratibu kwa waliomaliza NTA-LEVAL 6 unaandikiwa kama ni 1st au 2nd... Kwani mimi mbona imeandikwa hiyo 1st katika cheti changu.
 
Ungesoma Pure mathematics hata kitaani ili ikusaidie sababu msingi wa Basic maths ya O'level hautoshi kabisa na unaweza usisaidie, maana hesabu ya huku chuo ni pure maths na muendelezo wake...

Ndiyo maana nikaomba ushauri humu ckuyajua haho yote mkuu,ntayafanyia kazi ahsante sana.
 
Kama hujui uhusiano wa coet na math unabisha nn? Teena hata hiyo ya BAED bado hujui wanapga nn! mtu hajui kujumlisha eti una ng'ang'ania asome zidisha wap na wap? tuache tunaojua uhusiano tumueleweshe ajue c sawa anachotaka kufanya

Nashukuru mkuu kbmk, kwani asingebisha mawazo yako nisingeyaona kwangu,hivyo wote mnaumuhimu kwangu. Sasa hebu nisaidie kunitajia kama ntashindwa maths ni masomo gani ya ualimu yatanifaa yenye hesabu kidogo?
 
Mkuu Hesabu ina kitu kinaitwa formular itakayokisaidia kupata jibu la swali lolote la hesabu.
Exception ni kwa mambo machache ndo hayana formular zinahitaji logic tu.

Huwezi kushindwa kitu ukijua formular yake.

Kasome wasikutishe..Hesabu ni kitu rahisi sana..walishaandaa namna ya kufikia jibu so wewe ni kufuata tu.
Ahsante mkuu!
 
Back
Top Bottom