Chemiker
JF-Expert Member
- Jun 19, 2013
- 506
- 108
kijimsela@
Mkuu O'level umesoma Additional Maths? Pamoja na hayo kama unadhamira ya kusoma hesabu chuo kikuu ni better usome tu hiyo Advanced Maths ya A'level. Maana nafikiri itakusaidia sana huko mbeleni kwenye field yako.Pia utakapo soma Adv.maths itakuongezea uwezo wako wa kusolve maths...
Alafu nafikiri Dipl. kuna Distiction na Degree ndio kuna First class!
Mkuu O'level umesoma Additional Maths? Pamoja na hayo kama unadhamira ya kusoma hesabu chuo kikuu ni better usome tu hiyo Advanced Maths ya A'level. Maana nafikiri itakusaidia sana huko mbeleni kwenye field yako.Pia utakapo soma Adv.maths itakuongezea uwezo wako wa kusolve maths...
Alafu nafikiri Dipl. kuna Distiction na Degree ndio kuna First class!