kama vipi anipe dayworker[emoji23]
dah, mke wako muelewa sana ungetakiwa uwe umeachika saiviHa ha ha ha Kuna tego nimeweka ukiweka ukotoa ngoma hailali ndo bye bye
Nikweli matatizo yapo kwakila mwanadamu ndo maana anakua muelewadah, mke wako muelewa sana ungetakiwa uwe umeachika saivi
sali sana kwa mumeo si unaona hali ni tete??Hiyo hataki hata kusikia huoni uko juu anavyokatalia anataka amkaze mwenyewe cha dk 3[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mdogoangu hapo hakuna kazi, jamaa yuko tyr atumie mkongo ahatarishe afya yake lakini sio mkewe agawe utraaamu nje [emoji12]
sali sana kwa mumeo si unaona hali ni tete??
Sjawahi kunywa viagraATA UKINYWA Viagra hali inakuwa ivyo?au hujawahi tumia
duh, pole....Mume gani?? Mwenzio nishaachika nimepewa talaka km zote WhatsApp [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
I’m single again
duh, pole....
wahuni sasa tujisogeze[emoji23]
Jaribu Viagra kwanza ikishindikana ndio kaweke izo implants za mishipaSjawahi kunywa viagra
Hivi kunadawa yakutanua mishipa miembamba kuwa mikubwaJaribu Viagra kwanza ikishindikana ndio kaweke izo implants za mishipa
Sifahamu kwa kweli tafuta UROLOGISTHivi kunadawa yakutanua mishipa miembamba kuwa mikubwa
Ndo nimeonana na specialistSifahamu kwa kweli
Sifahamu kwa kweli tafuta UROLOGIST
Nimeonana na specialist wa urologySifahamu kwa kweli
Sifahamu kwa kweli tafuta UROLOGIST
Mkuu pia nna bawasiri ya mda mrefu takribani miaka8 Sasa..Sasa sjajua kama nayo inachangia mishipa iwe miembambaNi hospitali gani mkuu?
Hata jina tu la hospitali huwezi kulitaja? Nahitaji kufanya comprehensive blood work ndiyo maana naulizia. Yaani wanakutoa damu kwenye mkono halafu wanapima karibu kila kitu - cholesterol, sukari, Triglycerides, protein mbalimbali mpaka zile zinazoashiria baadhi ya kansa n.k
Nataka tu kujua jina la hospitali/lab ulikofanyia hivi vipimo mkuu kama inawezekana
Sijui ila kuna wakati niliwahi kuwa na jipu sikuweza simamisha hadi lilipoponaHivi inahusiana namishipa ya uume kuwa miembamba
Hiki kitu Cha bawasiri daktar nimesahau kabisa kumwambiaSijui ila kuna wakati niliwahi kuwa na jipu sikuweza simamisha hadi lilipopona
Yaan manz umpige round moja aisee[emoji848]Ukiishia round 1 unakuwa hujaridhika unahitaji zaidi mkuu?
Tuanze na self satisfaction unajiskiaje? Haya mahangaiko ni kwa ajili yako binafsi
Au kwa ajili ya mwenzio ambae yeye haridhiki na round 1, tuanzie hapo kwanza.
Testimonial inategemea na bidada uliyenaye Kama ana amsha amsha.... round zote tatu kitu inakuwa mukideeKikubwa umepata suluhisho ila raha ya tendo hasa ni ile round ya kwanza tu. Marudio huwa mbwembwe tu.