Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi vipimo vya Cholesterol na vingine umefanyia hospitali/maabara gani kwa hapa mkuu ambapo wanaweza kufanya comprehensive bloodwork?Nimehangaika nayo kwa miaka9 Kila daktar alikua anasema Niko sawa ni ishu yakisaikilojia zaid..so huyu wasasa alipendekeza vipimo vyote kuanzia hormone,cholesterol,t3,t4,TSH,BP,sugar,testosterone.lh fertility hormones,penile Doppler uss na kuangalia mishipa ktk uume kama Iko vizur ndo kuja kuona kuwa mishipa nimiembamba kwaiyo damu ni ndogo inayokuwa ktk uume sababu ya mishipa miembamba hivo kufanya uume uiswe strong nakuweza kurudia round nyingine ndani ya mda mfupi
Kwani hakuna dawa ya kutanua mirija?Sio lazima ila hata hiyo roud kwanza huwa naweza kufanikiwa kuifanya Tena kwa dk chache sana au nkashindwa kabisa kufanikiwa kuifanya
Pole mkuuNimehangaika nayo kwa miaka9 Kila daktar alikua anasema Niko sawa ni ishu yakisaikilojia zaid..so huyu wasasa alipendekeza vipimo vyote kuanzia hormone,cholesterol,t3,t4,TSH,BP,sugar,testosterone.lh fertility hormones,penile Doppler uss na kuangalia mishipa ktk uume kama Iko vizur ndo kuja kuona kuwa mishipa nimiembamba kwaiyo damu ni ndogo inayokuwa ktk uume sababu ya mishipa miembamba hivo kufanya uume uiswe strong nakuweza kurudia round nyingine ndani ya mda mfupi
Mwenzi wangu haridhiki na round moja.. Tena Bora ingekuwa niroud anagalau Ni ya dk10+ ila ni round ya chini ya dakika 5ukiishia round 1 unakua hujaridhika unahitaji zaidi mkuu?
tuanze na self satisfaction unajiskiaje? haya mahangaiko n kwa ajili yako binafsi
au kwa ajili ya mwenzio ambae yeye haridhiki na round 1,tuanzie hapo kwanza.
Unakunywa mbichi au ya kupikwa?Nimekuelewa ila tangawizi nshakunywa sana tu
Nimefanyia vipimo vyote hospital..na daktar nilieonana nae urology specialistHivi vipimo vya Cholesterol na vingine umefanyia hospitali/maabara gani kwa hapa mkuu ambapo wanaweza kufanya comprehensive bloodwork?
Natanguliza shukrani zangu [emoji1545]
Nakunywa ya kupika, mbichi inatwanga inawekwa ktk maji inachemkaUnakunywa mbichi au ya kupikwa?
Inahitajika mbichi kabisa
Sjajua kama ipo au haipo..ila daktar kwa maelezo yake kanambia tiba yake huwa nikuwekewa vipandikizi hakuna tiba Zaid ya hiyo kwamaelezo yakeKwani hakuna dawa ya kutanua mirija?
Ndo nataka kujua tiba mbadala yakutanua mishipa hiyo iliyo miembamba ya kwenye uume inayohusika na kuleta damuJaribu tiba mbadala
Jaribu kuwaona wazee wa zamaniNdo nataka kujua tiba mbadala yakutanua mishipa iyo iliyo miembamba yakwenye uume inayohusika nakuleta damu
Ndio nimekuja kwenu kupata uzoefu wa hii kitupole sana mkuu mungu ata kusaidia kuondokana na hilo tatizo,kabla ya kutumia matibabu hayo angalia na madhara yake kimwili ,usije ukaongeza tatizo juu ya tatizo
Hawa madoctors uangalie unaweza katwa mishipa na biashara ikaishia hapo.
Pole
Wewe kama wewe je huwa unaridhika baada ya hiyo round 1?Mwenzi wangu haridhiki na round moja..Tena Bora ingekua niroud anagalau Niya dk10+ ila niround ya chini yadakika5
Ndo nimekuja kwenu kupata uzoefu wa hii kitu