malembeka18
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 3,266
- 3,698
- Thread starter
- #61
Mkuu sio hivo mtu ukiugua unatapatapa..ila kisaikolojoa ndo miaka9 saikolojia isikae sawaTatizo la jamaa ni la kisakolojia Zaid,,anashindwa hata kuelewa mahusiano ya afya ya akili na tendo la ndoa..tunamshauri kila mara lakini hamalizi wiki analeta uzi