one republic
Member
- Jul 1, 2021
- 79
- 135
Kuna watu wapuuzi humu mtu ameshaeleza amefanya yote mliyomuelekeza na hajapata mafanikio yeyote bado mnang'ang'ania sijui hasikilizi ushauri na bado amechukua hatua nyingine nyie mnamuona mkaidi wabongo tabu sana