Natakiwa kuwekewa vipandikizi kwenye uume, mirija ni miembamba haipitishi damu nyingi

Natakiwa kuwekewa vipandikizi kwenye uume, mirija ni miembamba haipitishi damu nyingi

Nilishakaa nae nikamuelezea kwa uwazi kabisa kuwa ndie daktar..ila anaishia kuwa anakuambia unakua namawazo yanin Sasa chukulia kawaida
Anatakiwa afanye zaidi ya hapo,aanzie kwenye mapishi, akupe kampani mazoezini,kisha mmalizie chumbani.
Kitu chengine uwe na tu " hela kidogo".
Unapona mbona,kwakuwa ukiwa vyema kiuchumi muda unakuwa nao
 
Anatakiwa afanye zaidi ya hapo,aanzie kwenye mapishi, akupe kampani mazoezini,kisha mmalizie chumbani.
Kitu chengine uwe na tu " hela kidogo".
Unapona mbona,kwakuwa ukiwa vyema kiuchumi muda unakuwa nao
Ila la mazoezi naona litanisaidia sana kama Niko poa Kila kitu kasoro mishipa tu naimani mazoezi yatanisaidia sana
 
Sasa mke sikunakuachika au kugongewa kama simtombi vizur simridhishi
Hata wanaot**mba vizuri wanagongewa sana tu,huwezi kumuelewa mwanamke anataka nini katika mahusiano,wewe unataka kurudia round mbili ili ugundue nini? Tosheka na hali yako,unataka kushindana na papuchi!?
 
Najua ni mke ndo maana nikasema hayo mapungufu yanamfaa kabisa kuvumilia, ila kama unataka masuala ya surgery basi haya
Maswala ya surgery yananiogopesha kwakweli..maana sehemu yakiungo kinachofanyiwa surgery ni very sensitive wakibugi kidgo kilema Cha maisha hiki apa
 
Nimekuelewa mkuu kweli kama Ganda mke atafanya huo ujinga kama anajielewa hatofanya..Sasa wakwangu anaonyesha dhahiri jinsi amabavyo hafurahii tendo navyofeli uwanjani ananungunika na kutuumia hapati Ile nafsi Yake inataka
huyo tayari anachepuka ndio maana anakulinganisha fungua macho
 
Hata wanaot**mba vizuri wanakongewa sana tu,huwezi kumuelewa mwanamke anataka mini katika mahusiano,wewe unataka kurudia round mbili ili ugundue nini? Tosheka na hali yako,unataka kushindana na papuchi!?
Nikweli kabisa mkuu mtu huwezi shindana na papuchi
 
Maswala ya surgery yananiogopesha kwakweli..maana sehemu yakiungo kinachofanyiwa surgery ni very sensitive wakibugi kidgo kilema Cha maisha hiki apa
Maswala ya surgery yananiogopesha kwakweli..maana sehemu yakiungo kinachofanyiwa surgery ni very sensitive wakibugi kidgo kilema Cha maisha hiki apa
na ndo mkeo anakuacha laivlaiv sasa
 
Nami kunawakati nilikonekt dot mbona anazungumzia vitu kwa performance kubwa yaan kama Kuna experience mpya kaipata maana mtu anakuambia kama hujanifanya mda mrefu ukinifanya unisugue kweli kweli
kikubwa mpuuze,pia hicho kitu unataka kukifanya ni vyema ukafanya chini ya watalamu haswa vinginevo unaweza kuishia kua nyuki wa mashine
 
Back
Top Bottom