Mrs Thabo Bester
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 3,145
- 7,921
Sasa kwaninu usichukulie kawaida kupungukiwa nguvu za kiume ni kama mtu kuwa na pengo ni ww unajichukuliaje! Kwamba unapengo huwezi kula nyama au unakula nyama unavyoweza wewe usitamani meno ya wengine mradi wote mmekula nyama👊chukulia kawaida