MENEMENE TEKERI NA PERESI
JF-Expert Member
- Mar 11, 2022
- 5,392
- 14,646
Mkuu huwezi kuwa hujaelewa tunacholalamikia, ni kutotimiza wajibu bila sababu za msingi. Unasema kuhusu dereva wa lori ambaye ni mgonjwa sasa hapo unahitaji sababu zipi? Hivi kuwa na shida ya uchumi ambazo sio kila mtu anaziona, inakupa kibali cha kutowasiliana na mwenye nyumba?Ujaongelea usafi peke yake, umeongelea kulipa mwaka mzima etc, andiko lazo zuri, ila lina element ya kiburi.
Kuna watu wema wengi sana ila wanapitia wakati mgumu sana, hawawezi kuwa kama wewe kwa sababu hawana fursa.
Na wewe ulivyo ni vyema, ila ni kwa sababu una afya ambayo amekupa Mungu, ungekuwa huna pengine usingewe, kuwa ulivyo.
Siku zote ukiongelea mafanikio, kwanza mshukuru Mungu, then endelea na mengine, nafikiri bado u mdogo ki umri, haya maisha hayana adabu.
Kuna jamaa alikuwa kijana wangu anaendesha lory la mchanga, nilimpenda sana, mstaarabu, analipa lodi kwa wakati etc, mtu mwema sana sana.
Siku moja alikuwa anashuka na lory Ngorongoro, akapata ajali, akaparalyse nusu, anahudumiwa na mke kila kitu, hata ngoma haisimami kabisa.
Kakaa ndani mda sana, akaanza uza vitu, baada ya mda sababu ya kukaa sana, akapata Kisukari, just imagine maisha yake.
Mshukuru Mungu ulivyo, ondoa neno kama mimi, nakupongeza, ila sio kwamba wote ambao hawako kama wewe ni wabaya.
Hata mimi sina kikubwa, hata ningekuwa zero kabisa, kukosa sio sababu ya kutotimiza wajibu wako. Usijifichie kukosa kwako kama sababu ya kutolipa kodi ya watu. Huna jisalimishe.Watanzania wengi tuliopitia msoto na uduni Wa Maisha Mara tu Mungu atubarikipo hua tunajenga vi elements vya kibri na dharau hasa kwa wale ambao muda Wa kubarikiwa haujafika na kuwaona wazembe, wavivu, wachafu, maskini,wajinga, mm binafsi siwezi kudharau hali ya kukosa kwa mtu kiss mm ninacho abadani hasilani.
Wewe una asili ya kutojali vya watu hata kama unavitumia kua msafi, ukalipa vzr sio sifa ni jambo la kiungwana.Usitafute sifa kwa mwenyumba janga yako.
Cha mtu Mavi.
Watu ni kama vidole.Nilihamia kwangu mwaka 2016. Kabla ya hapo nilipanga nyumba ya mama mmoja mstaafu. Yule mama alikiri hakuwahi kupata mpangaji kama mimi.
1. Kodi alitaka nilipe kwa miezi mitatu lakini nilikuwa namlipa kwa mwaka mzima.
2. Mara nyingi nilikuwa nalipa kodi kabla haijaisha. Nikishapata hela isiyo kwenye bajeti naanza kupunguza kodi.
3. Shida ndogo ndogo kama marekebisho ya maji, umeme, milango nilikuwa namaliza mwenyewe. Nyumba ilikuwa inavutia mazingira ya nje. Nilipanda maua na kupaweka katika hali nzuri.
Sasa nashangazwa na wapangaji wengine.
1. Kodi imeisha anajifanya kama hajui, eti mpaka umtafute. Kama hana kodi amepungukiwa si anatakiwa kujisalimisha ili mwenye nyumba awe informed?
2. Nyumba chafu majani yamejaa. Unajiuliza huyu haoni aibu? Au anataka unataka mwenye nyumba aje akulimie majani.
Najiuliza kwa nini wapangaji wengine hawapo kama nilivyokuwa mimi?
Shikamoo kaka...Ujaongelea usafi peke yake, umeongelea kulipa mwaka mzima etc, andiko lazo zuri, ila lina element ya kiburi.
Kuna watu wema wengi sana ila wanapitia wakati mgumu sana, hawawezi kuwa kama wewe kwa sababu hawana fursa.
Na wewe ulivyo ni vyema, ila ni kwa sababu una afya ambayo amekupa Mungu, ungekuwa huna pengine usingewe, kuwa ulivyo.
Siku zote ukiongelea mafanikio, kwanza mshukuru Mungu, then endelea na mengine, nafikiri bado u mdogo ki umri, haya maisha hayana adabu.
Kuna jamaa alikuwa kijana wangu anaendesha lory la mchanga, nilimpenda sana, mstaarabu, analipa lodi kwa wakati etc, mtu mwema sana sana.
Siku moja alikuwa anashuka na lory Ngorongoro, akapata ajali, akaparalyse nusu, anahudumiwa na mke kila kitu, hata ngoma haisimami kabisa.
Kakaa ndani mda sana, akaanza uza vitu, baada ya mda sababu ya kukaa sana, akapata Kisukari, just imagine maisha yake.
Mshukuru Mungu ulivyo, ondoa neno kama mimi, nakupongeza, ila sio kwamba wote ambao hawako kama wewe ni wabaya.
1. Kulipa kodi ya mwaka mmoja siyo kuwa mpangaji mzuri. Kodi inatakiwa kulipwa kila mwezi, tarehe za mwanzoni. Huu utaratibu wa kulipa kodi ya miezi mitatu, sita au mwaka, ni kumuumiza mpangaji.Nilihamia kwangu mwaka 2016. Kabla ya hapo nilipanga nyumba ya mama mmoja mstaafu. Yule mama alikiri hakuwahi kupata mpangaji kama mimi.
1. Kodi alitaka nilipe kwa miezi mitatu lakini nilikuwa namlipa kwa mwaka mzima.
2. Mara nyingi nilikuwa nalipa kodi kabla haijaisha. Nikishapata hela isiyo kwenye bajeti naanza kupunguza kodi.
3. Shida ndogo ndogo kama marekebisho ya maji, umeme, milango nilikuwa namaliza mwenyewe. Nyumba ilikuwa inavutia mazingira ya nje. Nilipanda maua na kupaweka katika hali nzuri.
Sasa nashangazwa na wapangaji wengine.
1. Kodi imeisha anajifanya kama hajui, eti mpaka umtafute. Kama hana kodi amepungukiwa si anatakiwa kujisalimisha ili mwenye nyumba awe informed?
2. Nyumba chafu majani yamejaa. Unajiuliza huyu haoni aibu? Au anataka unataka mwenye nyumba aje akulimie majani.
Najiuliza kwa nini wapangaji wengine hawapo kama nilivyokuwa mimi?
Tatizo la wenye nyumba Tanzania wanadai kodi ya muda mrefu. Kodi inatakiwa ilipwe kila mwezi, mwanzoni, na kunakuwa na fedha za deposit eg kiasi cha kodi ya miezi miwili ili mpangaji akiharibu chochote, zile fedha za deposit zinatumika kulipia.Muhasibu umesema kweli kuna mama mmoja hm ameharbu nyumba kabisa yani kumekua kama jalalani, mwezi uliopita niliweka mazingira fresh nikajua atajifunza lakini wapi. Kuna watu uchafu ni asili yao wakikaa bila kuvuruga vitu wanahisi kuumwa.
[emoji1317]Nilikaa miaka minne Kwa mama mmoja hv mjane kablaa ya mwezi cjaamia Kwenye kibanda changu Cha chumba kimojaa hakijaisha hata vzr nikamwambiaa ,mama ntahama mwezi ujao kwenda huko njee ya mji Kwenye kibanda changu nimejenga niepukane na Kodi angalau .
Akaniambia mwanangu km ujamaliza hcho kibanda Chako vzr nakupa offa ya kukaa hapa mwaka mzima mpk kibanda Chako kikamilike kbs ndio uendee usiwe na wsws kuhusu kodii maana umegeukaa sehemu ya wtt wangu na umenisaidia sana kuwaweka hawa wangu ktk mstari maana walishaangukia Kwenye ulevi wakupindukia na kazi wakawa hawataki kbs ,ila tangu uamie hapa hakikaa umekuwa km malaikaa wakuwakomboa wanangu nakuwa ktk mstari na ss wameweza kusimama tenaa ..
Kiukwel wale watoto wa yulé mama jamii iliwachokaa kutokana na tabia zao za wizi na ulevi na matuc kabla cjakutana nao ilaa baada ya kukaa nao nakuwabadilisha Kwa kuwaweka bize na kazi zangu ninazofanya .Leo jamii na mama Yao Wanawakubali nawamekuwa na uwezo angalau wanafanyaa biashara maana mama alipokea mafao akawapa mtaji Kila mmoja Tena mbele yangu na majamaa hajachezea fursa wanapigana haswaa hata pombe hawajui Tena Wala c wezi Tena.
Hvyo wapangaji wengine wanakuja Kwenye nyumba za kupanga km malaikaa wengine km mashetani[emoji23]
Utalala nje na bia zakoSheria ya mwenye nyumba ni kulipa kwa miezi mitatu eti mimi nimlipe mwaka ? Hapana jamani hiyo hela bora nikainywe bia tu .
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
...Mkuu, umehamia Kwako 2016, lakini Leo Miaka Saba baadae ndio umeona Utujulshe jinsi Ulivyokuwa Mpangaji Mzuri ??? [emoji846]...Nilihamia kwangu mwaka 2016. Kabla ya hapo nilipanga nyumba ya mama mmoja mstaafu. Yule mama alikiri hakuwahi kupata mpangaji kama mimi.
1. Kodi alitaka nilipe kwa miezi mitatu lakini nilikuwa namlipa kwa mwaka mzima.
2. Mara nyingi nilikuwa nalipa kodi kabla haijaisha. Nikishapata hela isiyo kwenye bajeti naanza kupunguza kodi.
3. Shida ndogo ndogo kama marekebisho ya maji, umeme, milango nilikuwa namaliza mwenyewe. Nyumba ilikuwa inavutia mazingira ya nje. Nilipanda maua na kupaweka katika hali nzuri.
Sasa nashangazwa na wapangaji wengine.
1. Kodi imeisha anajifanya kama hajui, eti mpaka umtafute. Kama hana kodi amepungukiwa si anatakiwa kujisalimisha ili mwenye nyumba awe informed?
2. Nyumba chafu majani yamejaa. Unajiuliza huyu haoni aibu? Au anataka unataka mwenye nyumba aje akulimie majani.
Najiuliza kwa nini wapangaji wengine hawapo kama nilivyokuwa mimi?
Mkuu huwezi kuwa hujaelewa tunacholalamikia, ni kutotimiza wajibu bila sababu za msingi. Unasema kuhusu dereva wa lori ambaye ni mgonjwa sasa hapo unahitaji sababu zipi? Hivi kuwa na shida ya uchumi ambazo sio kila mtu anaziona, inakupa kibali cha kutowasiliana na mwenye nyumba?
Tunazungumzia mpangaji asiyetimiza wajibu wake bila sababu za msingi. Usipoteze uelekeo wa hoja.
Hakuna baya aliloongea hapo.. umeamua tu kucatch feelings, busara ya kukosa kadi ni kumpa taarifa muhusika kabla muda haujafika, magumu ni sehemu ya maisha na kama kabla ya magumu ulikua mlipaji mzuri landlord muelewa hawezi kukuharassUjaongelea usafi peke yake, umeongelea kulipa mwaka mzima etc, andiko lazo zuri, ila lina element ya kiburi.
Kuna watu wema wengi sana ila wanapitia wakati mgumu sana, hawawezi kuwa kama wewe kwa sababu hawana fursa.
Na wewe ulivyo ni vyema, ila ni kwa sababu una afya ambayo amekupa Mungu, ungekuwa huna pengine usingewe, kuwa ulivyo.
Siku zote ukiongelea mafanikio, kwanza mshukuru Mungu, then endelea na mengine, nafikiri bado u mdogo ki umri, haya maisha hayana adabu.
Kuna jamaa alikuwa kijana wangu anaendesha lory la mchanga, nilimpenda sana, mstaarabu, analipa lodi kwa wakati etc, mtu mwema sana sana.
Siku moja alikuwa anashuka na lory Ngorongoro, akapata ajali, akaparalyse nusu, anahudumiwa na mke kila kitu, hata ngoma haisimami kabisa.
Kakaa ndani mda sana, akaanza uza vitu, baada ya mda sababu ya kukaa sana, akapata Kisukari, just imagine maisha yake.
Mshukuru Mungu ulivyo, ondoa neno kama mimi, nakupongeza, ila sio kwamba wote ambao hawako kama wewe ni wabaya.
Kwamba hadi uchafu ni masimango?Hebu usitusimange bwana, watu hatufanani.