Natamani kila mpangaji angekuwa kama nilivyokuwa mimi

Natamani kila mpangaji angekuwa kama nilivyokuwa mimi

Nilihamia kwangu mwaka 2016. Kabla ya hapo nilipanga nyumba ya mama mmoja mstaafu. Yule mama alikiri hakuwahi kupata mpangaji kama mimi.

1. Kodi alitaka nilipe kwa miezi mitatu lakini nilikuwa namlipa kwa mwaka mzima.

2. Mara nyingi nilikuwa nalipa kodi kabla haijaisha. Nikishapata hela isiyo kwenye bajeti naanza kupunguza kodi.

3. Shida ndogo ndogo kama marekebisho ya maji, umeme, milango nilikuwa namaliza mwenyewe. Nyumba ilikuwa inavutia mazingira ya nje. Nilipanda maua na kupaweka katika hali nzuri.

Sasa nashangazwa na wapangaji wengine.
1. Kodi imeisha anajifanya kama hajui, eti mpaka umtafute. Kama hana kodi amepungukiwa si anatakiwa kujisalimisha ili mwenye nyumba awe informed?

2. Nyumba chafu majani yamejaa. Unajiuliza huyu haoni aibu? Au anataka unataka mwenye nyumba aje akulimie majani.

Najiuliza kwa nini wapangaji wengine hawapo kama nilivyokuwa mimi?
Mkuu,
Hii issue imekaa genetically mshukuru Mungu sana Kwa kua wewe umekua exceptional eg. Mfano mtu anaamua kudanganya hata pasipo staili kudanganya

Mimi pia kipindi Napanga nilikua napendwa sana na wenye nyumba Mimi sipendagi mambo ya uswahili Swahili dats sipendaki kukaa uswahili.....
 
Hakuna baya aliloongea hapo.. umeamua tu kucatch feelings, busara ya kukosa kadi ni kumpa taarifa muhusika kabla muda haujafika, magumu ni sehemu ya maisha na kama kabla ya magumu ulikua mlipaji mzuri landlord muelewa hawezi kukuharass


Kamwe sitamteta mtu au kumsimanga ambaye sijui ana shida gani.
 
Nilihamia kwangu mwaka 2016. Kabla ya hapo nilipanga nyumba ya mama mmoja mstaafu. Yule mama alikiri hakuwahi kupata mpangaji kama mimi.

1. Kodi alitaka nilipe kwa miezi mitatu lakini nilikuwa namlipa kwa mwaka mzima.

2. Mara nyingi nilikuwa nalipa kodi kabla haijaisha. Nikishapata hela isiyo kwenye bajeti naanza kupunguza kodi.

3. Shida ndogo ndogo kama marekebisho ya maji, umeme, milango nilikuwa namaliza mwenyewe. Nyumba ilikuwa inavutia mazingira ya nje. Nilipanda maua na kupaweka katika hali nzuri.

Sasa nashangazwa na wapangaji wengine.
1. Kodi imeisha anajifanya kama hajui, eti mpaka umtafute. Kama hana kodi amepungukiwa si anatakiwa kujisalimisha ili mwenye nyumba awe informed?

2. Nyumba chafu majani yamejaa. Unajiuliza huyu haoni aibu? Au anataka unataka mwenye nyumba aje akulimie majani.

Najiuliza kwa nini wapangaji wengine hawapo kama nilivyokuwa mimi?
Tumetofautiana sana tupo wachache mi nimempandia na Maua mwenye Nyumba usafi napiga kama kwangu
 
Hakuna baya aliloongea hapo.. umeamua tu kucatch feelings, busara ya kukosa kadi ni kumpa taarifa muhusika kabla muda haujafika, magumu ni sehemu ya maisha na kama kabla ya magumu ulikua mlipaji mzuri landlord muelewa hawezi kukuharass
Tupo humu na mpangaji mswahili na msumbufu na mbishi. Eti maisha magumu ndio usitoe taarifa kwa landlord upige kimya tu
 
Kamwe sitamteta mtu au kumsimanga ambaye sijui ana shida gani.
Kwa nini yeye asiseme hiyo shida, ana wajibu wa kufanya hivyo, kama hawezi alipe kodi. Kukaa kimya maana yake kiburi. Kwa post zako inaonyesha wewe ni mpangaji pasua kichwa
 
Wacha kiburi kijana, bado u mdogo, haya maisha hayana adabu. Usiongelee mambo ya mtu kama huyajui.

Kuna watu wanahudumia Wazazi wao huko kijijini na wanaunga unga, haya maisha, wewe acha tu, kuna wazembe sio wote.

Usione watu wanatabasamu, wengine wana shida nyingi sana na hawazisemi, waache tu, kama unayo wewe shukuru Mungu.
Kiburi ni huyo mwenye shida kiasi cha kushindwa kulipa kodi halafu ukakaa kimya.
Kama hasemi anasaidiwaje? Kumbuka anawajibika kwangu kwa hiyo ana machaguo mawili tu kulipa kodi au kujieleza tena kwa kuthibitisha. Tofauti na hapo anaweza kusingizia chochote
 
Nilihamia kwangu mwaka 2016. Kabla ya hapo nilipanga nyumba ya mama mmoja mstaafu. Yule mama alikiri hakuwahi kupata mpangaji kama mimi.

1. Kodi alitaka nilipe kwa miezi mitatu lakini nilikuwa namlipa kwa mwaka mzima.

2. Mara nyingi nilikuwa nalipa kodi kabla haijaisha. Nikishapata hela isiyo kwenye bajeti naanza kupunguza kodi.

3. Shida ndogo ndogo kama marekebisho ya maji, umeme, milango nilikuwa namaliza mwenyewe. Nyumba ilikuwa inavutia mazingira ya nje. Nilipanda maua na kupaweka katika hali nzuri.

Sasa nashangazwa na wapangaji wengine.
1. Kodi imeisha anajifanya kama hajui, eti mpaka umtafute. Kama hana kodi amepungukiwa si anatakiwa kujisalimisha ili mwenye nyumba awe informed?

2. Nyumba chafu majani yamejaa. Unajiuliza huyu haoni aibu? Au anataka unataka mwenye nyumba aje akulimie majani.

Najiuliza kwa nini wapangaji wengine hawapo kama nilivyokuwa mimi?
kiukweli kuna wapangaji akili zao zipo kushoto sana huwa wanadhania wakishalipa kodi basi kodi yao ina thamani zaidi kuliko nyumba, wanaishi kwa uchafu kwenda mbele na kutojali ukiwauliza utasikia sio kwangu hapa. Mke wangu wakati tupo upangaji alitaka kuleta tabia za hivyo ila akakaa sawa, tumehama ile nyumba na tulikaa miaka 6 ila ukiingia ndani hadi chooni unaweza kusema imejengwa jana na haijawahi kukaliwa na watu. Ukithamini cha mwezako na chako utakithamini au kitathaminiwa.
 
Nilihamia kwangu mwaka 2016. Kabla ya hapo nilipanga nyumba ya mama mmoja mstaafu. Yule mama alikiri hakuwahi kupata mpangaji kama mimi.

1. Kodi alitaka nilipe kwa miezi mitatu lakini nilikuwa namlipa kwa mwaka mzima.

2. Mara nyingi nilikuwa nalipa kodi kabla haijaisha. Nikishapata hela isiyo kwenye bajeti naanza kupunguza kodi.

3. Shida ndogo ndogo kama marekebisho ya maji, umeme, milango nilikuwa namaliza mwenyewe. Nyumba ilikuwa inavutia mazingira ya nje. Nilipanda maua na kupaweka katika hali nzuri.

Sasa nashangazwa na wapangaji wengine.
1. Kodi imeisha anajifanya kama hajui, eti mpaka umtafute. Kama hana kodi amepungukiwa si anatakiwa kujisalimisha ili mwenye nyumba awe informed?

2. Nyumba chafu majani yamejaa. Unajiuliza huyu haoni aibu? Au anataka unataka mwenye nyumba aje akulimie majani.

Najiuliza kwa nini wapangaji wengine hawapo kama nilivyokuwa mimi?
Kwamba kama wewe unapenda mwanamke mweupe basi kila mtu awe kama wewe. You forget there is no perfection under this world.
 
kiukweli kuna wapangaji akili zao zipo kushoto sana huwa wanadhania wakishalipa kodi basi kodi yao ina thamani zaidi kuliko nyumba, wanaishi kwa uchafu kwenda mbele na kutojali ukiwauliza utasikia sio kwangu hapa. Mke wangu wakati tupo upangaji alitaka kuleta tabia za hivyo ila akakaa sawa, tumehama ile nyumba na tulikaa miaka 6 ila ukiingia ndani hadi chooni unaweza kusema imejengwa jana na haijawahi kukaliwa na watu. Ukithamini cha mwezako na chako utakithamini au kitathaminiwa.
Haya ndio maneno sasa mkuu. Sidhani kama unaweza kufurahia maisha kama unaishi sehemu chafu au bila amani
 
Kwamba kama wewe unapenda mwanamke mweupe basi kila mtu awe kama wewe. You forget there is no perfection under this world.
Umetoa mfano irrelevant, tunazungumzia kutimiza wajibu sio kuchagua. Hivi unaweza kuchagua kutokuwa msafi? Au kuchagua kutolipa kodi inavyotakiwa?
 
Umetoa mfano irrelevant, tunazungumzia kutimiza wajibu sio kuchagua.
Huko sio kutimiza wajibu, huko ni kujipendekeza unless iwe unamgonga huyo mama that's okey. Umekodi gari ukatembelee halafu ukalipake rangi unayoipenda wewe wapi na wapi shekhe Boban.
 
Nilihamia kwangu mwaka 2016. Kabla ya hapo nilipanga nyumba ya mama mmoja mstaafu. Yule mama alikiri hakuwahi kupata mpangaji kama mimi.

1. Kodi alitaka nilipe kwa miezi mitatu lakini nilikuwa namlipa kwa mwaka mzima.

2. Mara nyingi nilikuwa nalipa kodi kabla haijaisha. Nikishapata hela isiyo kwenye bajeti naanza kupunguza kodi.

3. Shida ndogo ndogo kama marekebisho ya maji, umeme, milango nilikuwa namaliza mwenyewe. Nyumba ilikuwa inavutia mazingira ya nje. Nilipanda maua na kupaweka katika hali nzuri.

Sasa nashangazwa na wapangaji wengine.
1. Kodi imeisha anajifanya kama hajui, eti mpaka umtafute. Kama hana kodi amepungukiwa si anatakiwa kujisalimisha ili mwenye nyumba awe informed?

2. Nyumba chafu majani yamejaa. Unajiuliza huyu haoni aibu? Au anataka unataka mwenye nyumba aje akulimie majani.

Najiuliza kwa nini wapangaji wengine hawapo kama nilivyokuwa mimi?
Huyu ni mimi kabisa
 
Huko sio kutimiza wajibu, huko ni kujipendekeza unless iwe unamgonga huyo mama that's okey. Umekodi gari ukatembelee halafu ukalipake rangi unayoipenda wewe wapi na wapi shekhe Boban.
Shekhe hizo za kulipa kodi zaidi ni kujiwekeza security deposit tu Ila jambo la msingi ni kutimizi wajibu wako kulipa kodi inayotakiwa kwa wakati na kuweka mazingira ya nyumba safi na salama
 
Back
Top Bottom