Natamani kila mpangaji angekuwa kama nilivyokuwa mimi

Natamani kila mpangaji angekuwa kama nilivyokuwa mimi

Ujaongelea usafi peke yake, umeongelea kulipa mwaka mzima etc, andiko lazo zuri, ila lina element ya kiburi.

Kuna watu wema wengi sana ila wanapitia wakati mgumu sana, hawawezi kuwa kama wewe kwa sababu hawana fursa.

Na wewe ulivyo ni vyema, ila ni kwa sababu una afya ambayo amekupa Mungu, ungekuwa huna pengine usingewe, kuwa ulivyo.

Siku zote ukiongelea mafanikio, kwanza mshukuru Mungu, then endelea na mengine, nafikiri bado u mdogo ki umri, haya maisha hayana adabu.

Kuna jamaa alikuwa kijana wangu anaendesha lory la mchanga, nilimpenda sana, mstaarabu, analipa lodi kwa wakati etc, mtu mwema sana sana.

Siku moja alikuwa anashuka na lory Ngorongoro, akapata ajali, akaparalyse nusu, anahudumiwa na mke kila kitu, hata ngoma haisimami kabisa.

Kakaa ndani mda sana, akaanza uza vitu, baada ya mda sababu ya kukaa sana, akapata Kisukari, just imagine maisha yake.

Mshukuru Mungu ulivyo, ondoa neno kama mimi, nakupongeza, ila sio kwamba wote ambao hawako kama wewe ni wabaya.
Umeongea pointi sana
 
Hata mimi nitapewa maua yangu nikihama hapa ninapoishi... Alafu hiyo ni tabia ambayo wala sio ya kujifunza bali ipogo automatic tu. Sisi ni watu fulani tunaochukuliwa kama tunaojitambua sana na tupogo wachache, Waweza kupata watu wawili kwenye mtaa mzima.
 
Nimeipenda sana hii
Natamani watu fulani wangeiona hii post maana inawahusu sana
 
Back
Top Bottom