Unatamani mimba tu au na jinsi ya kuipata?mbona inawezekana dadangu
Nimechungulia kidogo profile yakoView attachment 780266View attachment 780267
Sheria kuu za mungu,sheria ya 5; usiue basi ww ni mkosefu zaidi yangu
Ahahahahahnatamani mimba tu sio kingine
na ww uliyechangia nchi kuwa tajili umeandikwa kwenye kitabu gan kwa ajili ya kukumbukwa?