Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika tunabubujikwa na machozi kwa hili.Tunamshukuru sana Rais Samia kwa kutuwezesha kufuga ndevu
Unataka jelaNataka niweke hao wanyama nyumbani kwangu kuna mtu akaniambia tausi wapo ikulu na labda wanaopewa ni viongozi wakiomba.Nani anajua wapi nitawapa tausi kuhusu kobe nashangaa wameadimika sana mashambani ila nina imani nikitoa offer atafutwe lazima atapatikana.tausi nampataje na bei zake zipoje wakuu.
Nakazia,nilianza kufuga Bata nikiwa na Bata jike mmoja na dume moja,Sasa hivi ninao 50,lengo ni Bata 1000Fuga bata tu wanatosha mkuu
Hapana, tufuge kuku, tukikosa mboga tunakamata mmoja tunachinjaSie tusio na hela ngoja tuendelee kufuga ndevu..🙄