#COVID19 Natamani kufungua kesi dhidi ya WHO. Kwanini ugonjwa mmoja una chanjo zaidi ya 24?

#COVID19 Natamani kufungua kesi dhidi ya WHO. Kwanini ugonjwa mmoja una chanjo zaidi ya 24?

WHO ni shirika la Umoja wa Mataifa, ambalo hata watumishi wake sio rahisi kushitakiwa kwa sababu wanakuwa na kinga ya kidiplomasia. Sasa kama unafikiri unaweza kuushitaki Umoja wa Mataifa endelea.

Kuna siku utataka kumshitaki balozi wa USA nchini.
Poa hata USA ni balaaa

Sikiliza hapa then chagua kuchanja au hapana

Bonyeza tu:
VACCINATIONS AS A ...
6 days ago — House Bill 4471 PROHIBITS VACCINATIONS AS A CONDITION OF EMPLOYMENT
 
Back
Top Bottom