Natamani kuhama CCM, kipi chama makini kati ya ACT Wazalendo na CHADEMA?

Natamani kuhama CCM, kipi chama makini kati ya ACT Wazalendo na CHADEMA?

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
Hawa Act Wazalendo wana harufu ya udini. Halafu kama vile hakuna Demokrasia zaidi ya ujuaji wa kiongozi wao wa Chama nasita kuhamia.

CHADEMA walikuwa vizuri enzi za Dkt. Slaa na niliwakubali sana.

Sasa hivi wanatia mashaka kuhamia.

CUF.

Nihamie chama gani? Naombeni msaada wenu.
 
Hawa Act wazalendo wanaharufu ya udini. Alafu kama vile hakuna Demokrasia zaidi ya ujuaji wa kipngozi wao wa Chama nasita kuhamia.

Chadema walikuwa vizuri enzi za Dk Slaa. Na niliwakubali sana.

Sasa hivi wanatia mashaka kuhamia.

Cuf...

Nihamie chama gani? Naombeni msaada wenu.
Usaliti
 
Hawa Act wazalendo wanaharufu ya udini. Alafu kama vile hakuna Demokrasia zaidi ya ujuaji wa kipngozi wao wa Chama nasita kuhamia.

Chadema walikuwa vizuri enzi za Dk Slaa. Na niliwakubali sana.

Sasa hivi wanatia mashaka kuhamia.

Cuf...

Nihamie chama gani? Naombeni msaada wenu.
Umma party itakufaa wewe mataga.
 
Hawa Act wazalendo wanaharufu ya udini. Alafu kama vile hakuna Demokrasia zaidi ya ujuaji wa kipngozi wao wa Chama nasita kuhamia.

Chadema walikuwa vizuri enzi za Dk Slaa. Na niliwakubali sana.

Sasa hivi wanatia mashaka kuhamia.

Cuf...

Nihamie chama gani? Naombeni msaada wenu.
Umetumia kigezo gani kuhitimisha act Wana udini ?..na chadema hawana udini?
 
Hawa Act wazalendo wanaharufu ya udini. Alafu kama vile hakuna Demokrasia zaidi ya ujuaji wa kipngozi wao wa Chama nasita kuhamia.

Chadema walikuwa vizuri enzi za Dk Slaa. Na niliwakubali sana.

Sasa hivi wanatia mashaka kuhamia.

Cuf...

Nihamie chama gani? Naombeni msaada wenu.
Ulipojiunga CCM ulimwomba nani ushauri? Usituchoshe kwa unafiki wako.
 
Kama vyombo vyako sio vingi nina guta litatosha kukuhamisha mkuu
 
Hawa Act Wazalendo wana harufu ya udini. Halafu kama vile hakuna Demokrasia zaidi ya ujuaji wa kiongozi wao wa Chama nasita kuhamia.

CHADEMA walikuwa vizuri enzi za Dkt. Slaa na niliwakubali sana.

Sasa hivi wanatia mashaka kuhamia.

CUF.

Nihamie chama gani? Naombeni msaada wenu.
Usihame CCM ndugu
 
Back
Top Bottom