Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SUKUMA GANG kina kufaa sanaHawa Act Wazalendo wana harufu ya udini. Halafu kama vile hakuna Demokrasia zaidi ya ujuaji wa kiongozi wao wa Chama nasita kuhamia.
CHADEMA walikuwa vizuri enzi za Dkt. Slaa na niliwakubali sana.
Sasa hivi wanatia mashaka kuhamia.
CUF.
Nihamie chama gani? Naombeni msaada wenu.
Chama Cha MafisadiHakuna Chama zaidi ya CCM hapa Tanzania
Huoni aibu kuwadanganya maccm wenzako?sio lazma uwe na chama.
Binafsi Sina chama.wala itikadi ya chama ila naangalia HAKI IPO WAPI
haya mavyama yaliishatuchelewesha sana ni wakati sasa wa kubadilika na kufuata sera za wakenya wao huchagua mtu na sera si mavyama ya kipuuzi haya.Hawa Act Wazalendo wana harufu ya udini. Halafu kama vile hakuna Demokrasia zaidi ya ujuaji wa kiongozi wao wa Chama nasita kuhamia.
CHADEMA walikuwa vizuri enzi za Dkt. Slaa na niliwakubali sana.
Sasa hivi wanatia mashaka kuhamia.
CUF.
Nihamie chama gani? Naombeni msaada wenu
tuambie sababu ya kuhama CCM ili tuone ni chama gani tutakushauri uhamie!!!Hawa Act Wazalendo wana harufu ya udini. Halafu kama vile hakuna Demokrasia zaidi ya ujuaji wa kiongozi wao wa Chama nasita kuhamia.
CHADEMA walikuwa vizuri enzi za Dkt. Slaa na niliwakubali sana.
Sasa hivi wanatia mashaka kuhamia.
CUF.
Nihamie chama gani? Naombeni msaada wenu.
anzisha chako na Dr. slaaHawa Act Wazalendo wana harufu ya udini. Halafu kama vile hakuna Demokrasia zaidi ya ujuaji wa kiongozi wao wa Chama nasita kuhamia.
CHADEMA walikuwa vizuri enzi za Dkt. Slaa na niliwakubali sana.
Sasa hivi wanatia mashaka kuhamia.
CUF.
Nihamie chama gani? Naombeni msaada wenu.
Hamia Chadema ili na wewe uwe Kamanda kama uvccm mwenzako johnthebaptist.Hawa Act Wazalendo wana harufu ya udini. Halafu kama vile hakuna Demokrasia zaidi ya ujuaji wa kiongozi wao wa Chama nasita kuhamia.
CHADEMA walikuwa vizuri enzi za Dkt. Slaa na niliwakubali sana.
Sasa hivi wanatia mashaka kuhamia.
CUF.
Nihamie chama gani? Naombeni msaada wenu.
Sisi ndio tuliasisi Bavicha pale Kisutu majamatini kwa Ndesa na muhamasishaji Mkuu alikuwa FreemanHamia Chadema ili na wewe uwe Kamanda kama uvccm mwenzako johnthebaptist.
Mshamba utamjua kwa matendo yake.Kula supu ya samaki acha kula panya
[emoji116]View attachment 2263463
Mkuu, zimwi likujualo halikuli likakwisha. Kuwa mvumilivu ndani ya chama chako, ikiwezekana jiunge na jitihada za wapenda mabadiliko ndani ya chama chako ili nawe uwe sehemu ya mchakato wa mabadiliko unayoyahitaji.Hawa Act Wazalendo wana harufu ya udini. Halafu kama vile hakuna Demokrasia zaidi ya ujuaji wa kiongozi wao wa Chama nasita kuhamia.
CHADEMA walikuwa vizuri enzi za Dkt. Slaa na niliwakubali sana.
Sasa hivi wanatia mashaka kuhamia.
CUF.
Nihamie chama gani? Naombeni msaada wenu.