Natamani kuhama CCM, kipi chama makini kati ya ACT Wazalendo na CHADEMA?

Natamani kuhama CCM, kipi chama makini kati ya ACT Wazalendo na CHADEMA?

Hawa Act Wazalendo wana harufu ya udini. Halafu kama vile hakuna Demokrasia zaidi ya ujuaji wa kiongozi wao wa Chama nasita kuhamia.

CHADEMA walikuwa vizuri enzi za Dkt. Slaa na niliwakubali sana.

Sasa hivi wanatia mashaka kuhamia.

CUF.

Nihamie chama gani? Naombeni msaada wenu.
SUKUMA GANG kina kufaa sana
 
Hawa Act Wazalendo wana harufu ya udini. Halafu kama vile hakuna Demokrasia zaidi ya ujuaji wa kiongozi wao wa Chama nasita kuhamia.

CHADEMA walikuwa vizuri enzi za Dkt. Slaa na niliwakubali sana.

Sasa hivi wanatia mashaka kuhamia.

CUF.

Nihamie chama gani? Naombeni msaada wenu
haya mavyama yaliishatuchelewesha sana ni wakati sasa wa kubadilika na kufuata sera za wakenya wao huchagua mtu na sera si mavyama ya kipuuzi haya.
 
Hawa Act Wazalendo wana harufu ya udini. Halafu kama vile hakuna Demokrasia zaidi ya ujuaji wa kiongozi wao wa Chama nasita kuhamia.

CHADEMA walikuwa vizuri enzi za Dkt. Slaa na niliwakubali sana.

Sasa hivi wanatia mashaka kuhamia.

CUF.

Nihamie chama gani? Naombeni msaada wenu.
tuambie sababu ya kuhama CCM ili tuone ni chama gani tutakushauri uhamie!!!
 
Hawa Act Wazalendo wana harufu ya udini. Halafu kama vile hakuna Demokrasia zaidi ya ujuaji wa kiongozi wao wa Chama nasita kuhamia.

CHADEMA walikuwa vizuri enzi za Dkt. Slaa na niliwakubali sana.

Sasa hivi wanatia mashaka kuhamia.

CUF.

Nihamie chama gani? Naombeni msaada wenu.
anzisha chako na Dr. slaa
 
Hilo chawa tangu Jiwe alipo mwachia majonzi sasa hana wa kumshika mkono.
Kula supu ya samaki acha kula panya
👇
IMG_20220617_092128_844.jpg
 
Hawa Act Wazalendo wana harufu ya udini. Halafu kama vile hakuna Demokrasia zaidi ya ujuaji wa kiongozi wao wa Chama nasita kuhamia.

CHADEMA walikuwa vizuri enzi za Dkt. Slaa na niliwakubali sana.

Sasa hivi wanatia mashaka kuhamia.

CUF.

Nihamie chama gani? Naombeni msaada wenu.
Hamia Chadema ili na wewe uwe Kamanda kama uvccm mwenzako johnthebaptist.
 
Unasema ACT hakuna Demokrasia wapi ipo hiyo Demokrasia ? CCM au?
 
Hawa Act Wazalendo wana harufu ya udini. Halafu kama vile hakuna Demokrasia zaidi ya ujuaji wa kiongozi wao wa Chama nasita kuhamia.

CHADEMA walikuwa vizuri enzi za Dkt. Slaa na niliwakubali sana.

Sasa hivi wanatia mashaka kuhamia.

CUF.

Nihamie chama gani? Naombeni msaada wenu.
Mkuu, zimwi likujualo halikuli likakwisha. Kuwa mvumilivu ndani ya chama chako, ikiwezekana jiunge na jitihada za wapenda mabadiliko ndani ya chama chako ili nawe uwe sehemu ya mchakato wa mabadiliko unayoyahitaji.

Natambua ukifanya uamuzi wa pupa hivi sasa na ukahamia chama chochote kile cha upinzani, muda si mrefu ujutia uamuzi huo na kuamua kurudi ulikotoka. Hapo utarudi tena zizini ukiwa umekatwa mkia.
 
Back
Top Bottom