Kazanazo
JF-Expert Member
- Aug 16, 2023
- 2,582
- 4,554
- Thread starter
- #41
Dah! mkuu kama wewe ni mwanafamilia yani, sijui kwanini wanaamini katika kuajiriwa wakati mzazi wetu alikuwa mfanyabiashara mkubwa tuIshu Inaanza kwenye mentality. Wa Africa wanategea sana kusoma waajiriwe ndo watoboe maisha sasa unapo leta ixhu ya family wealth au generation wealth ndugu hawatakuelewa watatak usome uajiriwe uwasaidie. Hawa amini kutoboa kwa kufanya biashara.
Lengo ni kutoka kweny financial struggle to financial stable to financial freedom
Ukianza n miradi kama real esate au investment inayo toa service kam shule, afya Iitakupa urahis kwenye usimamizi
Ukiwa na mentality hio, Right people , Information, sacrifice na support utafika hko
Nilikuwa na mawazo hayo ya real estate lakini uchumi uko chini lazima tuanzie chini ndio tuwekeze zaidi