Natamani kuifanya familia yangu kuwa kama ya Bakhresa na ya akina Mo Dewji, nipeni muongozo

Natamani kuifanya familia yangu kuwa kama ya Bakhresa na ya akina Mo Dewji, nipeni muongozo

1. Hapana walishafariki
2. 5 aliopata nao watoto
3. 15, ni mtoto wa pili kutoka mwisho
4. Hapana
5. Somehow ipo shwari masikilizano yapo
6. Ndio na kikao tumekaa
Kwa majibu hayo nashauri achana na mali za familia na washauri muuze then kila mmoja achukue chake akafanye vile itakavyo mpendeza.
Yawezekana mnaona utulivu kwasababu mafanikio hayajaonekana, lakini ikija tokea ukapata mafanikio kwa kupitia mali za mzee wenu hakuna rangi utaacha kuiona.
 
Kwa majibu hayo nashauri achana na mali za familia na washauri muuze then kila mmoja achukue chake akafanye vile itakavyo mpendeza.
Yawezekana mnaona utulivu kwasababu mafanikio hayajaonekana, lakini ikija tokea ukapata mafanikio kwa kupitia mali za mzee wenu hakuna rangi utaacha kuiona.
Kwa ninavyofikiria kama ni mafanikio tutapata wote kwa pamoja maana tutakuwa na

Account ya familia

Miradi ya kifamilia

Na mipango endelevu ya kifamilia

Hii itatofautisha kabisa na haso za mmoja mmoja katika kupambania kipato chake ile ya familia itakuwa kama backup katika kukwamuana baina yetu
 
Mleta mada Resouce zote unazo financialy na people(ndugu zko)
Kinachokosekan n bussines Ideas utakazo invest ili u diversify.
NOW YOU ARE ASSET RICH BUT CASHFLOW POOR
Inahitaj utafte Idea na strategies both long term and short term kabla missunderstanding bain ya ndugu hazijaanz kuibuka. Waite wote mkae muweke goals.

Unaonekana unapenda n kulazimisha family Bussines IF U WANT TO GO FAST GO ALONE IF UWANT TO GO FAR GO TOGETHER.
Wewe ukiona ndugu Haeleweki unamkataa kaa karibu tu wenye MINDSET ulionayo wewe, hao wengi unaotak kushirikiana nao wengne hawana malengo na mindset kama yko,

ushawauliza wana malengo gani?. You only need Right people ndugu wengi watakurudisha nyuma. Punguza circle yko kwanza ata hao kina MO sio ndugu wote wapo kwenye biashara only the selected Few.
Ukikaa na watu waliofanikiwa watakuambia siri ni kuwa na Roho ngumu na mbaya yenye kuchukua maamuzi magumu iwezekanavyo ili kuwafikisha kwenye ndoto zao..
Ukiniitaji kwa mentorship, bussiness plan na ushauri am available
 
Mleta mada Resouce zote unazo financialy na people(ndugu zko)
Kinachokosekan n bussines Ideas utakazo invest ili u diversify.
NOW YOU ARE ASSET RICH BUT CASHFLOW POOR
Inahitaj utafte Idea na strategies both long term and short term kabla missunderstanding bain ya ndugu hazijaanz kuibuka. Waite wote mkae muweke goals.

Unaonekana unapenda n kulazimisha family Bussines IF U WANT TO GO FAST GO ALONE IF UWANT TO GO FAR GO TOGETHER.
Wewe ukiona ndugu Haeleweki unamkataa kaa karibu tu wenye MINDSET ulionayo wewe, hao wengi unaotak kushirikiana nao wengne hawana malengo na mindset kama yko,

ushawauliza wana malengo gani?. You only need Right people ndugu wengi watakurudisha nyuma. Punguza circle yko kwanza ata hao kina MO sio ndugu wote wapo kwenye biashara only the selected Few.
Ukikaa na watu waliofanikiwa watakuambia siri ni kuwa na Roho ngumu na mbaya yenye kuchukua maamuzi magumu iwezekanavyo ili kuwafikisha kwenye ndoto zao..
Ukiniitaji kwa mentorship, bussiness plan na ushauri am available
Ushauri wako ni mzuri sana mkuu ila ningeomba unifafanulie kitu kimoja hapo

Umesema hata hao akina mo hawapo wote, je ni kuwa wamegawanyika kiuwekezaji? Kama ndio wamegawanyikaje

Maana nilikuwa naelewa kuwa Mo anaendesha biashara za familia kama msimamizi mkuu aliedhinishwa na familia japo nae ana utajiri wake lakini utajiri wa familia ndio uliomtambulisha hebu niweke sawa mkuu
 
Wakuu kwenye familia yetu tuna asset muhimu kama ardhi, mashamba na nyumba kadhaa ila usimamizi ndio hakuna.

Kama mtoto niliesomeshwa na kuhitimu elimu ya juu natamani siku moja familia yangu iwe familia kubwa na yenye miradi endelevu kwa manufaa ya familia na jamii kwa ujumla.

Wakuu, kwa heshima na taadhima naomba mnipe muongozo na mawazo kipi nifanye ili kufikia malengo yangu ya kufaifanya familia iwe kama ya Bakhresa.

Natanguliza shukrani.
Mwongozo utakuwa nao wewe.
 
Back
Top Bottom