Natamani kuifanya familia yangu kuwa kama ya Bakhresa na ya akina Mo Dewji, nipeni muongozo

Natamani kuifanya familia yangu kuwa kama ya Bakhresa na ya akina Mo Dewji, nipeni muongozo

Kama ni mali za urithi kuziendeleza peke yako kwa familia zetu za kiswahili ni ngumu sijui ninyi mlilelewa vipi na vipato vya ndgu zako.

Komaa mwenyewe jombaa
Nilitaka nijaribu kuleta mifumo baina yetu ila kuendeleza tutaendeleza wote huku kila mtu akipambana na mishe zake uchumi wa familia ukisalia kama backup

Mimi nakomaa sana mkuu na wala sijawahi waza kutegemea cha urithi ila nina shauku ya kuendeleza mapambano aliyoishia mzee
 
Nipe mbinu mkuu ushauri wako ni muhimu
Mbinu ya kwanza tayari unayo, ni hayo mawazo yako positive ya kutaka kuwa hivyo

Mbinu ya pili ni uthubutu. Hapa unapaswa kuthubutu kufanya
Unathubutu kufanya nini? Kwani hao utajiri wao unaotokana na nini? Basi hapo ndio unapaswa kuthubutu

Kama wanauza maji au juice au unga, basi nawe zama deep tafuta connection kubwa(inawezekana), suka mipango yako vizuri upate kukutana na wafanyabiashara wakubwa anza nao kwenye mambo madogo wakuamini alafu mengine utajiongeza. Sio rahisi kuwakaribia Ila inawezekana
 
Wakuu kwenye familia yetu tuna asset muhimu kama ardhi, mashamba na nyumba kadhaa ila usimamizi ndio hakuna.

Kama mtoto niliesomeshwa na kuhitimu elimu ya juu natamani siku moja familia yangu iwe familia kubwa na yenye miradi endelevu kwa manufaa ya familia na jamii kwa ujumla.

Wakuu, kwa heshima na taadhima naomba mnipe muongozo na mawazo kipi nifanye ili kufikia malengo yangu ya kufaifanya familia iwe kama ya Bakhresa.

Natanguliza shukrani.
Anza na kazi ya kushona viatu kwanza kwenye kibaraza. Bakresa alianza hivyo.
 
Mbinu ya kwanza tayari unayo, ni hayo mawazo yako positive ya kutaka kuwa hivyo

Mbinu ya pili ni uthubutu. Hapa unapaswa kuthubutu kufanya
Unathubutu kufanya nini? Kwani hao utajiri wao unaotokana na nini? Basi hapo ndio unapaswa kuthubutu

Kama wanauza maji au juice au unga, basi nawe zama deep tafuta connection kubwa(inawezekana), suka mipango yako vizuri upate kukutana na wafanyabiashara wakubwa anza nao kwenye mambo madogo wakuamini alafu mengine utajiongeza. Sio rahisi kuwakaribia Ila inawezekana
Big up sana nimekupata vilivyo mkuu
 
Wakuu kwenye familia yetu tuna asset muhimu kama ardhi, mashamba na nyumba kadhaa ila usimamizi ndio hakuna.

Kama mtoto niliesomeshwa na kuhitimu elimu ya juu natamani siku moja familia yangu iwe familia kubwa na yenye miradi endelevu kwa manufaa ya familia na jamii kwa ujumla.

Wakuu, kwa heshima na taadhima naomba mnipe muongozo na mawazo kipi nifanye ili kufikia malengo yangu ya kufaifanya familia iwe kama ya Bakhresa.
Hili ni lengo kubwa na la kufurahisha sana, na ni muhimu kuwa na mkakati wa muda mrefu kwa ajili ya kulifanya litimie. Hapa kuna hatua kadhaa unazoweza kufuata ili kufanikisha mpango wako wa kufanya familia yako iwe na miradi endelevu kama familia ya Bakhresa:

1. Tathmini Mali Zilizopo

Anza kwa kufanya tathmini ya rasilimali zenu, kama ardhi, mashamba, na nyumba. Fahamu ukubwa wa mali, hali yake, na uwezo wa kuzitumia kwa miradi mbalimbali. Hii itakusaidia kuamua ni mali gani inaweza kuendelezwa kwanza na namna bora ya kuzitumia.

2. Pata Elimu ya Usimamizi wa Miradi

Kuanzisha miradi mikubwa inahitaji ujuzi wa usimamizi wa rasilimali na miradi. Kwa kuwa una elimu ya juu, jaribu kujiendeleza zaidi katika masuala ya usimamizi wa biashara na ujasiriamali. Hii itakusaidia kusimamia mali na miradi kwa ufanisi zaidi.

3. Unda Mpango wa Biashara

Baada ya kutathmini mali, tengeneza mpango wa biashara wa muda mrefu. Angalia ni sekta gani unaweza kuwekeza na ambayo ina faida zaidi kutokana na rasilimali ulizonazo. Ikiwa una ardhi na mashamba, unaweza kuzingatia kilimo cha kisasa, ufugaji, au hata kuanzisha viwanda vidogo.

4. Wekeza Katika Teknolojia na Ubunifu

Miradi mingi mikubwa yenye mafanikio hutegemea matumizi ya teknolojia. Anza kuangalia jinsi ya kutumia teknolojia ili kuongeza uzalishaji, kama kilimo cha kisasa, ufugaji wa kisasa, au hata majengo yenye mifumo ya kisasa. Teknolojia inaweza kuleta tija zaidi kwa miradi yako.

5. Tafuta Ushirikiano wa Familia

Mafanikio ya familia kubwa kama ya Bakhresa hutegemea mshikamano wa familia. Hakikisha familia yako inaelewa malengo yako na kuwashirikisha katika maamuzi muhimu. Wakati mwingine, unaweza kuhitaji kuwa na vikao vya mara kwa mara ili kupanga na kujadili maendeleo.

6. Tafuta Ushauri wa Kitaalamu

Katika masuala makubwa kama haya, usisite kutafuta ushauri kutoka kwa wataalamu wa biashara, kilimo, au masuala mengine yanayohusiana na miradi unayotaka kuanzisha. Wataalamu watakusaidia kujua ni hatua gani za kuchukua na namna ya kuzitekeleza kwa ufanisi.

7. Fanya Ufuatiliaji na Tathmini

Kila baada ya muda, fanya tathmini ya maendeleo ya miradi yako. Hakikisha kuwa unafuatilia matumizi ya mali, mapato, na maendeleo kwa ujumla ili kuboresha maeneo yenye changamoto.

Kwa mpango mzuri na uvumilivu, unaweza kufanikisha malengo yako ya kuifanya familia yako kuwa na miradi mikubwa na yenye manufaa. Pia kumbuka kwamba mabadiliko makubwa hayaji mara moja, bali ni matokeo ya juhudi za muda mrefu.
 
Wakuu kwenye familia yetu tuna asset muhimu kama ardhi, mashamba na nyumba kadhaa ila usimamizi ndio hakuna.

Kama mtoto niliesomeshwa na kuhitimu elimu ya juu natamani siku moja familia yangu iwe familia kubwa na yenye miradi endelevu kwa manufaa ya familia na jamii kwa ujumla.

Wakuu, kwa heshima na taadhima naomba mnipe muongozo na mawazo kipi nifanye ili kufikia malengo yangu ya kufaifanya familia iwe kama ya Bakhresa.

Natanguliza shukrani.

Hizô Mali umechaguliwa wewe kuwa Kiongozi katika kuhakikisha zinaongezeka au ni kuzimezea mate tuu Mali Ambazo hazikuhusu kwani hujahusishwa?
 
Hili ni lengo kubwa na la kufurahisha sana, na ni muhimu kuwa na mkakati wa muda mrefu kwa ajili ya kulifanya litimie. Hapa kuna hatua kadhaa unazoweza kufuata ili kufanikisha mpango wako wa kufanya familia yako iwe na miradi endelevu kama familia ya Bakhresa:

1. Tathmini Mali Zilizopo

Anza kwa kufanya tathmini ya rasilimali zenu, kama ardhi, mashamba, na nyumba. Fahamu ukubwa wa mali, hali yake, na uwezo wa kuzitumia kwa miradi mbalimbali. Hii itakusaidia kuamua ni mali gani inaweza kuendelezwa kwanza na namna bora ya kuzitumia.

2. Pata Elimu ya Usimamizi wa Miradi

Kuanzisha miradi mikubwa inahitaji ujuzi wa usimamizi wa rasilimali na miradi. Kwa kuwa una elimu ya juu, jaribu kujiendeleza zaidi katika masuala ya usimamizi wa biashara na ujasiriamali. Hii itakusaidia kusimamia mali na miradi kwa ufanisi zaidi.

3. Unda Mpango wa Biashara

Baada ya kutathmini mali, tengeneza mpango wa biashara wa muda mrefu. Angalia ni sekta gani unaweza kuwekeza na ambayo ina faida zaidi kutokana na rasilimali ulizonazo. Ikiwa una ardhi na mashamba, unaweza kuzingatia kilimo cha kisasa, ufugaji, au hata kuanzisha viwanda vidogo.

4. Wekeza Katika Teknolojia na Ubunifu

Miradi mingi mikubwa yenye mafanikio hutegemea matumizi ya teknolojia. Anza kuangalia jinsi ya kutumia teknolojia ili kuongeza uzalishaji, kama kilimo cha kisasa, ufugaji wa kisasa, au hata majengo yenye mifumo ya kisasa. Teknolojia inaweza kuleta tija zaidi kwa miradi yako.

5. Tafuta Ushirikiano wa Familia

Mafanikio ya familia kubwa kama ya Bakhresa hutegemea mshikamano wa familia. Hakikisha familia yako inaelewa malengo yako na kuwashirikisha katika maamuzi muhimu. Wakati mwingine, unaweza kuhitaji kuwa na vikao vya mara kwa mara ili kupanga na kujadili maendeleo.

6. Tafuta Ushauri wa Kitaalamu

Katika masuala makubwa kama haya, usisite kutafuta ushauri kutoka kwa wataalamu wa biashara, kilimo, au masuala mengine yanayohusiana na miradi unayotaka kuanzisha. Wataalamu watakusaidia kujua ni hatua gani za kuchukua na namna ya kuzitekeleza kwa ufanisi.

7. Fanya Ufuatiliaji na Tathmini

Kila baada ya muda, fanya tathmini ya maendeleo ya miradi yako. Hakikisha kuwa unafuatilia matumizi ya mali, mapato, na maendeleo kwa ujumla ili kuboresha maeneo yenye changamoto.

Kwa mpango mzuri na uvumilivu, unaweza kufanikisha malengo yako ya kuifanya familia yako kuwa na miradi mikubwa na yenye manufaa. Pia kumbuka kwamba mabadiliko makubwa hayaji mara moja, bali ni matokeo ya juhudi za muda mrefu.
Ahsante sana umenipa challenge nzuri nitaifanyia kazi
 
Kuna baadhi ya foundation mzee wetu kashaanzisha lengo langu ni kuendeleza sio kuanza kama alivyoanza Bakhresa bali nahitaji mbinu za kuendeleza mali za kifamilia
Wewe tayari umeshafeli kwa kuja na huu uzi hapa. Washindi huwa hawaongei sana. Washindi bora wakosee kwenye kufanya ila sio kuongea ongea.
 
Hizô Mali umechaguliwa wewe kuwa Kiongozi katika kuhakikisha zinaongezeka au ni kuzimezea mate tuu Mali Ambazo hazikuhusu kwani hujahusishwa?
Ni mali za familia mimi nikiwa miongoni mwao

Toka nihitimu nipo na biashara zangu na sijawahi tegemea urithi

Kilichonisukuma ni baada ya kuona kaka zangu wamezitelekeza (inafika kipindi mtu baki anaingiza mpangaji na hela anachukua na hakuna wa kumhoji)

Pia baada ya kumaliza elimu yangu tumaini la baadhi ya kaka zangu likawa lipo kwangu ( mimi pekee ndio niliosoma hadi elimu ya juu wengi wao hasa wakubwa wetu hawakusoma kabisa na wengine waliishia form4)

Kingine ni uchungu wa kuona familia ipo kwenye umasikini mkubwa wakati rasilimali zipo za kutosha n.k
 
Wakuu kwenye familia yetu tuna asset muhimu kama ardhi, mashamba na nyumba kadhaa ila usimamizi ndio hakuna.

Kama mtoto niliesomeshwa na kuhitimu elimu ya juu natamani siku moja familia yangu iwe familia kubwa na yenye miradi endelevu kwa manufaa ya familia na jamii kwa ujumla.

Wakuu, kwa heshima na taadhima naomba mnipe muongozo na mawazo kipi nifanye ili kufikia malengo yangu ya kufaifanya familia iwe kama ya Bakhresa.

Natanguliza shukrani.
Kamaa tungekuwa na miongozo unayoomba, ungeziona familia zetu zikikaa meza moja na kina Bakhresa. Ila kwasababu hatuna ujanja, ndio maa a wote tumefanana.
 
Wakuu kwenye familia yetu tuna asset muhimu kama ardhi, mashamba na nyumba kadhaa ila usimamizi ndio hakuna.

Kama mtoto niliesomeshwa na kuhitimu elimu ya juu natamani siku moja familia yangu iwe familia kubwa na yenye miradi endelevu kwa manufaa ya familia na jamii kwa ujumla.

Wakuu, kwa heshima na taadhima naomba mnipe muongozo na mawazo kipi nifanye ili kufikia malengo yangu ya Akufaifanya familia iwe kama ya Bakhresa.

Natanguliza shukrani.
Anza kwa kuishi kama Bakhresa na Mo.

Hawaachi sala zao 5 kwa siku.
 
Sisi waswahili bhana kipindi tupo wadogo wazazi walishatuambia kuwa nyumba ni yake yeye na mkewe sisi tutafute vyetu magari ni yake yete na mkewe sisi watoto tutafute vyetu. Hii kitu inatufanya tusiamini katika kufanikiwa kwa mali za kifamilia.
So anza kubadilisha mindset muwe kama hao wahindi
 
Wakuu kwenye familia yetu tuna asset muhimu kama ardhi, mashamba na nyumba kadhaa ila usimamizi ndio hakuna.

Kama mtoto niliesomeshwa na kuhitimu elimu ya juu natamani siku moja familia yangu iwe familia kubwa na yenye miradi endelevu kwa manufaa ya familia na jamii kwa ujumla.

Wakuu, kwa heshima na taadhima naomba mnipe muongozo na mawazo kipi nifanye ili kufikia malengo yangu ya kufaifanya familia iwe kama ya Bakhresa.

Natanguliza shukrani.
Kama familia ya Mo na Bakhresa zipo humu utapata majibu ya uhakika ila wengine watakupa porojo tu
 
Wakuu kwenye familia yetu tuna asset muhimu kama ardhi, mashamba na nyumba kadhaa ila usimamizi ndio hakuna.

Kama mtoto niliesomeshwa na kuhitimu elimu ya juu natamani siku moja familia yangu iwe familia kubwa na yenye miradi endelevu kwa manufaa ya familia na jamii kwa ujumla.

Wakuu, kwa heshima na taadhima naomba mnipe muongozo na mawazo kipi nifanye ili kufikia malengo yangu ya kufaifanya familia iwe kama ya Bakhresa.

Natanguliza shukrani.
Mkuu njia nyepesi ni kwa kujiumga na vyama vya kisiri na uanze kumsujudia na kumuabudu Ibilisi.

Lakini kumbuka jambo hili,

You'll be used, misused, abused, and then confused.

LUKA 4:5-8

"Kisha Ibilisi akamchukua hadi mahali pa juu, akamwonesha kwa mara moja falme zote za ulimwengu. Huyo Shetani akamwambia, “Nitakupa uwezo juu ya falme zote hizi na fahari zake, kwa maana nimepewa hivi vyote; nikitaka kumpa mtu ninaweza. Hivi vyote vitakuwa mali yako wewe, kama ukiniabudu.” Yesu akamjibu, “Imeandikwa: ‘Utamwabudu Bwana Mungu wako, na kumtumikia yeye peke yake"
 
Back
Top Bottom