Katkit
JF-Expert Member
- Mar 12, 2023
- 1,893
- 4,641
Kuna siku nilifanya jaribio kushuka from 32th floor mpaka ground on foot, nilifika miguu inatetemeka.Aise! Ghorofa 14 sio makalio aise.....hivi umewahi kujaribu kupanda hata flow 10 tu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna siku nilifanya jaribio kushuka from 32th floor mpaka ground on foot, nilifika miguu inatetemeka.Aise! Ghorofa 14 sio makalio aise.....hivi umewahi kujaribu kupanda hata flow 10 tu?
Utafia kwenye lift bora uhame [emoji23]Bongo sihami[emoji419][emoji375][emoji23]
Za miaka mingi mno.Umeshawahi kutumia lift ya Hall 5 pale UDSM?
Kaka unaelekea kua mwehu hii nchi ukiifwatilia kama unavyofanya utawehuka bila mlipo ulivyo sema ni sahihi kabisa na hujasema vyote ila kwa ulivyo vitaja hapo vinatosha kuwaelewesha watu wenye uelewa.Poleni sana wakazi wa Dar na wahanga wa ajali, nimeona kwenye mitandao hii habari nikatamani kujua vingi, na ningekuwa Dar ningefika hata eneo la tukio for physical observation.
Nimeona Mtu kutoka jeshi la Zimamoto na Uokoaji akisema kuwa Sababu kuu za kudondoka kwa lift ya jengo la Millenium Tower ni wingi wa watu. BADO KICHWA CHANGU HAKIJAAFIKI. Na hoja ni hizi:
1. Limitation ya Lift haipo kwenye idadi ya watu, ila ipo kwenye uzito. Idadi ya watu huwekwa tu kama makadirio kwamba kila mtu anaweza kuwa na uzito wa wastani kilo 75. Hivyo ikiwa limit ni kilo 750 itaandikwa ni watu 10 kwa maana ya 75 x 10. Sasa Jeshi limehakikisha vipi kuwa idadi ya watu iliyokuwepo imezidi limitation ya uzito?
2. Mechanism ya Lift ilivyo, uzito ukizidi huwa inatoa notification na haiendi, sasa iliendaje? Je haikutoa hata notification? Jeshi hakukuwa na any notification au lift kugoma kufanya kazi? Na kwanini ishuke kama jiwe?
Ifike wakati nadharia zetu ziwe zinachanganua mambo vizuri ili tujue tatizo ni nini, kulikubali tatizo kwa nadharia tu haiwezi kusaidia kuepuka majanga. Lazima tuzishughulishe akili zetu zifanye kazi kitaalamu na tuwe na Majibu ya kitaalamu. SIo yale yatakayokubalika na jamii kwa haraka.
idadi ya watu kuzidi/uzito kuzidi jambo dogo sana kwenye lift kuanguka.
Tunaomba majibu sahihi ili na sehemu zingine waweze kuchukua tahadhari.
Kama unavyojua huku kwetu hivi vitu ni adimu sasa hua tunatamani sana kupanda humo wala hatujali usama nikama watoto wa kijijini kuwekewa pilau na kuku yenye sumu watakufa wengi kakaWatanzania tunapendaga na kuendekeza sana anasa. Sasa lifti ya nini? Yani unakuta ghorofa ya kumi na nne hadi 20 huko eti watu wanatumia lifti. Unabaki tu kujiuliza are we really serious with our wellbeing [emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35]
Ni vigumu mgambo kumkamata polisiLift mbovu na inaruhusiwa watu kuitumia...
Ajabu ni kwamba hadi sasa hakuna mtu aliyewekwa mbaroni kwa jaribio la mauaji...
Mhh mengi mungu ana tunusuruKuna jengo la ukumbi wa sherehe maeneo ya Mbezi beach dar, nilishuhudia lift ikidondoka kama jiwe. Mungu mkubwa, hakukuwa na watu humo ndani.
Wamesema walikua kwenye matengenezo ila kiuhalisia walikua kwenye kuharibuMbona wamejieleza vizuri kuwa ilikuwa kwenye matengenezo
Msemaji mwenyewe hajui kuongeaPoleni sana wakazi wa Dar na wahanga wa ajali, nimeona kwenye mitandao hii habari nikatamani kujua vingi, na ningekuwa Dar ningefika hata eneo la tukio for physical observation.
Nimeona Mtu kutoka jeshi la Zimamoto na Uokoaji akisema kuwa Sababu kuu za kudondoka kwa lift ya jengo la Millenium Tower ni wingi wa watu. BADO KICHWA CHANGU HAKIJAAFIKI. Na hoja ni hizi:
1. Limitation ya Lift haipo kwenye idadi ya watu, ila ipo kwenye uzito. Idadi ya watu huwekwa tu kama makadirio kwamba kila mtu anaweza kuwa na uzito wa wastani kilo 75. Hivyo ikiwa limit ni kilo 750 itaandikwa ni watu 10 kwa maana ya 75 x 10. Sasa Jeshi limehakikisha vipi kuwa idadi ya watu iliyokuwepo imezidi limitation ya uzito?
2. Mechanism ya Lift ilivyo, uzito ukizidi huwa inatoa notification na haiendi, sasa iliendaje? Je haikutoa hata notification? Jeshi hakukuwa na any notification au lift kugoma kufanya kazi? Na kwanini ishuke kama jiwe?
Ifike wakati nadharia zetu ziwe zinachanganua mambo vizuri ili tujue tatizo ni nini, kulikubali tatizo kwa nadharia tu haiwezi kusaidia kuepuka majanga. Lazima tuzishughulishe akili zetu zifanye kazi kitaalamu na tuwe na Majibu ya kitaalamu. SIo yale yatakayokubalika na jamii kwa haraka.
idadi ya watu kuzidi/uzito kuzidi jambo dogo sana kwenye lift kuanguka.
Tunaomba majibu sahihi ili na sehemu zingine waweze kuchukua tahadhari.
Umeelezea kitaalamu afande kaelezea kisiasaPoleni sana wakazi wa Dar na wahanga wa ajali, nimeona kwenye mitandao hii habari nikatamani kujua vingi, na ningekuwa Dar ningefika hata eneo la tukio for physical observation.
Nimeona Mtu kutoka jeshi la Zimamoto na Uokoaji akisema kuwa Sababu kuu za kudondoka kwa lift ya jengo la Millenium Tower ni wingi wa watu. BADO KICHWA CHANGU HAKIJAAFIKI. Na hoja ni hizi:
1. Limitation ya Lift haipo kwenye idadi ya watu, ila ipo kwenye uzito. Idadi ya watu huwekwa tu kama makadirio kwamba kila mtu anaweza kuwa na uzito wa wastani kilo 75. Hivyo ikiwa limit ni kilo 750 itaandikwa ni watu 10 kwa maana ya 75 x 10. Sasa Jeshi limehakikisha vipi kuwa idadi ya watu iliyokuwepo imezidi limitation ya uzito?
2. Mechanism ya Lift ilivyo, uzito ukizidi huwa inatoa notification na haiendi, sasa iliendaje? Je haikutoa hata notification? Jeshi hakukuwa na any notification au lift kugoma kufanya kazi? Na kwanini ishuke kama jiwe?
Ifike wakati nadharia zetu ziwe zinachanganua mambo vizuri ili tujue tatizo ni nini, kulikubali tatizo kwa nadharia tu haiwezi kusaidia kuepuka majanga. Lazima tuzishughulishe akili zetu zifanye kazi kitaalamu na tuwe na Majibu ya kitaalamu. SIo yale yatakayokubalika na jamii kwa haraka.
idadi ya watu kuzidi/uzito kuzidi jambo dogo sana kwenye lift kuanguka.
Tunaomba majibu sahihi ili na sehemu zingine waweze kuchukua tahadhari.
Nakubaliana na maoni yako kabisa. Mara nyingi hawa jamaa wanatoa sababu za kushangaza ili kuonekanabeanaijua kazi yao. Hawajaekeza idadi ya watu waliokuwemo kwenye lift wakati inadondoka toka juu. Hilo la lift kuwa kwenye matengenezo laweza kuwa na mashiko zaidi kuliko hili la uzito. Sasa tusubiri ya moto wa Jambo pale Vingunguti watakavyojikanyaga.Poleni sana wakazi wa Dar na wahanga wa ajali, nimeona kwenye mitandao hii habari nikatamani kujua vingi, na ningekuwa Dar ningefika hata eneo la tukio for physical observation.
Nimeona Mtu kutoka jeshi la Zimamoto na Uokoaji akisema kuwa Sababu kuu za kudondoka kwa lift ya jengo la Millenium Tower ni wingi wa watu. BADO KICHWA CHANGU HAKIJAAFIKI. Na hoja ni hizi:
1. Limitation ya Lift haipo kwenye idadi ya watu, ila ipo kwenye uzito. Idadi ya watu huwekwa tu kama makadirio kwamba kila mtu anaweza kuwa na uzito wa wastani kilo 75. Hivyo ikiwa limit ni kilo 750 itaandikwa ni watu 10 kwa maana ya 75 x 10. Sasa Jeshi limehakikisha vipi kuwa idadi ya watu iliyokuwepo imezidi limitation ya uzito?
2. Mechanism ya Lift ilivyo, uzito ukizidi huwa inatoa notification na haiendi, sasa iliendaje? Je haikutoa hata notification? Jeshi hakukuwa na any notification au lift kugoma kufanya kazi? Na kwanini ishuke kama jiwe?
Ifike wakati nadharia zetu ziwe zinachanganua mambo vizuri ili tujue tatizo ni nini, kulikubali tatizo kwa nadharia tu haiwezi kusaidia kuepuka majanga. Lazima tuzishughulishe akili zetu zifanye kazi kitaalamu na tuwe na Majibu ya kitaalamu. SIo yale yatakayokubalika na jamii kwa haraka.
idadi ya watu kuzidi/uzito kuzidi jambo dogo sana kwenye lift kuanguka.
Tunaomba majibu sahihi ili na sehemu zingine waweze kuchukua tahadhari.
Mungu anaikandakanda serikali kwa style ya kipekee sanaPoleni sana wakazi wa Dar na wahanga wa ajali, nimeona kwenye mitandao hii habari nikatamani kujua vingi, na ningekuwa Dar ningefika hata eneo la tukio for physical observation.
Nimeona Mtu kutoka jeshi la Zimamoto na Uokoaji akisema kuwa Sababu kuu za kudondoka kwa lift ya jengo la Millenium Tower ni wingi wa watu. BADO KICHWA CHANGU HAKIJAAFIKI. Na hoja ni hizi:
1. Limitation ya Lift haipo kwenye idadi ya watu, ila ipo kwenye uzito. Idadi ya watu huwekwa tu kama makadirio kwamba kila mtu anaweza kuwa na uzito wa wastani kilo 75. Hivyo ikiwa limit ni kilo 750 itaandikwa ni watu 10 kwa maana ya 75 x 10. Sasa Jeshi limehakikisha vipi kuwa idadi ya watu iliyokuwepo imezidi limitation ya uzito?
2. Mechanism ya Lift ilivyo, uzito ukizidi huwa inatoa notification na haiendi, sasa iliendaje? Je haikutoa hata notification? Jeshi hakukuwa na any notification au lift kugoma kufanya kazi? Na kwanini ishuke kama jiwe?
Ifike wakati nadharia zetu ziwe zinachanganua mambo vizuri ili tujue tatizo ni nini, kulikubali tatizo kwa nadharia tu haiwezi kusaidia kuepuka majanga. Lazima tuzishughulishe akili zetu zifanye kazi kitaalamu na tuwe na Majibu ya kitaalamu. SIo yale yatakayokubalika na jamii kwa haraka.
idadi ya watu kuzidi/uzito kuzidi jambo dogo sana kwenye lift kuanguka.
Tunaomba majibu sahihi ili na sehemu zingine waweze kuchukua tahadhari.
Umeshawahi kutumia lift ya Hall 5 pale UDSM?
Hii inaitwa funika kombe mwanaharamu apite! Ifike mahali mwenye jengo ashotakiwe!Poleni sana wakazi wa Dar na wahanga wa ajali, nimeona kwenye mitandao hii habari nikatamani kujua vingi, na ningekuwa Dar ningefika hata eneo la tukio for physical observation.
Nimeona Mtu kutoka jeshi la Zimamoto na Uokoaji akisema kuwa Sababu kuu za kudondoka kwa lift ya jengo la Millenium Tower ni wingi wa watu. BADO KICHWA CHANGU HAKIJAAFIKI. Na hoja ni hizi:
1. Limitation ya Lift haipo kwenye idadi ya watu, ila ipo kwenye uzito. Idadi ya watu huwekwa tu kama makadirio kwamba kila mtu anaweza kuwa na uzito wa wastani kilo 75. Hivyo ikiwa limit ni kilo 750 itaandikwa ni watu 10 kwa maana ya 75 x 10. Sasa Jeshi limehakikisha vipi kuwa idadi ya watu iliyokuwepo imezidi limitation ya uzito?
2. Mechanism ya Lift ilivyo, uzito ukizidi huwa inatoa notification na haiendi, sasa iliendaje? Je haikutoa hata notification? Jeshi hakukuwa na any notification au lift kugoma kufanya kazi? Na kwanini ishuke kama jiwe?
Ifike wakati nadharia zetu ziwe zinachanganua mambo vizuri ili tujue tatizo ni nini, kulikubali tatizo kwa nadharia tu haiwezi kusaidia kuepuka majanga. Lazima tuzishughulishe akili zetu zifanye kazi kitaalamu na tuwe na Majibu ya kitaalamu. SIo yale yatakayokubalika na jamii kwa haraka.
idadi ya watu kuzidi/uzito kuzidi jambo dogo sana kwenye lift kuanguka.
Tunaomba majibu sahihi ili na sehemu zingine waweze kuchukua tahadhari.