Natamani kuipinga Taarifa ya awali juu ya sababu za kudondoka kwa lift ya Millenium Tower

Natamani kuipinga Taarifa ya awali juu ya sababu za kudondoka kwa lift ya Millenium Tower

Haya ndio matatizo ya viongozi wa Idara za Serikali. Kwa wenzetu hapo alitakiwa kusema kwamba bado tunafanya uchunguzi wa kitaalamu kujua chanzo cha ajali ni nini. Taarifa zitatolewa baadae. Nadhani angeeleweka vizuri kuliko kutoa sababu zisizokuwa na kichwa wala miguu.

Technology zote huwa na limitation. Accidents do occur hata kwenye vitu vinavyotengenezwa na watu mahiri na walio bobea. Haya majibu ya tit for tat kwenye ajali za kiufundi kama hizi, ambazo hawana utaalamu nazo, yanavunja heshma ya kikosi kizima cha jeshi la Zimamoto.
 
Poleni sana wakazi wa Dar na wahanga wa ajali, nimeona kwenye mitandao hii habari nikatamani kujua vingi, na ningekuwa Dar ningefika hata eneo la tukio for physical observation.

Nimeona Mtu kutoka jeshi la Zimamoto na Uokoaji akisema kuwa Sababu kuu za kudondoka kwa lift ya jengo la Millenium Tower ni wingi wa watu. BADO KICHWA CHANGU HAKIJAAFIKI. Na hoja ni hizi:

1. Limitation ya Lift haipo kwenye idadi ya watu, ila ipo kwenye uzito. Idadi ya watu huwekwa tu kama makadirio kwamba kila mtu anaweza kuwa na uzito wa wastani kilo 75. Hivyo ikiwa limit ni kilo 750 itaandikwa ni watu 10 kwa maana ya 75 x 10. Sasa Jeshi limehakikisha vipi kuwa idadi ya watu iliyokuwepo imezidi limitation ya uzito?

2. Mechanism ya Lift ilivyo, uzito ukizidi huwa inatoa notification na haiendi, sasa iliendaje? Je haikutoa hata notification? Jeshi hakukuwa na any notification au lift kugoma kufanya kazi? Na kwanini ishuke kama jiwe?

Ifike wakati nadharia zetu ziwe zinachanganua mambo vizuri ili tujue tatizo ni nini, kulikubali tatizo kwa nadharia tu haiwezi kusaidia kuepuka majanga. Lazima tuzishughulishe akili zetu zifanye kazi kitaalamu na tuwe na Majibu ya kitaalamu. SIo yale yatakayokubalika na jamii kwa haraka.

idadi ya watu kuzidi/uzito kuzidi jambo dogo sana kwenye lift kuanguka.

Tunaomba majibu sahihi ili na sehemu zingine waweze kuchukua tahadhari.
Naafikiana na hoja.
Watu 10 ni wachache mno kwa lifti kuporomoka.
Inaelekea waliofanya ukarabati hivi karibuni hawakurudishia vifaa sehemu sahihi, yaani ulipuaji wa kazi.
 
Za miaka mingi mno.
Yaani saanaa..!! Hata majengo ya hall 5 na hall 2..!! Pale hall 2 vizege huwa vinameguka na kudondoka chini..!! Yaani pale tunasubiria tu siku moja lishuke na watu..!! Nadhani ni ya miaka ya 196.... hukoo.
 
Lift za pale ndio sio za kuziamini. Mfano kama za COSS sijawahi kuziona zikiwa nzima mwezi 1 mfululizo.
Huko COSS si ni mpya kabisa..!! Maana wakati namaliza pale hayo majengo hayakuwep..!! Hall 5 na hall 2 ni hatari kabisa..!! Pale mtu/watu watakufa muda wowote..! si kwa lifti tu, bali hata majengo yenyewe..!!
 
Huko COSS si ni mpya kabisa..!! Maana wakati namaliza pale hayo majengo hayakuwep..!! Hall 5 na hall 2 ni hatari kabisa..!! Pale mtu/watu watakufa muda wowote..! si kwa lifti tu, bali hata majengo yenyewe..!!
Yale majengo mimi mwenyewe huwa nayaangalia kwa jicho tofauti. Naonaga kama hakuna uwiano mzuri wa Upana na urefu. Kwa vile sina elimu ya uhandisi inanilazimu niyapuuze mawazo yangu.
Kuna jengo lingine lipo Kinondoni pale mkabala na OPEN University, na lenyewe ukiliangalia upana wake unakuta kama halikustahili kuwa refu vile. Ila ni mambo ya wahandisi haya.
 
Poleni sana wakazi wa Dar na wahanga wa ajali, nimeona kwenye mitandao hii habari nikatamani kujua vingi, na ningekuwa Dar ningefika hata eneo la tukio for physical observation.

Nimeona Mtu kutoka jeshi la Zimamoto na Uokoaji akisema kuwa Sababu kuu za kudondoka kwa lift ya jengo la Millenium Tower ni wingi wa watu. BADO KICHWA CHANGU HAKIJAAFIKI. Na hoja ni hizi:

1. Limitation ya Lift haipo kwenye idadi ya watu, ila ipo kwenye uzito. Idadi ya watu huwekwa tu kama makadirio kwamba kila mtu anaweza kuwa na uzito wa wastani kilo 75. Hivyo ikiwa limit ni kilo 750 itaandikwa ni watu 10 kwa maana ya 75 x 10. Sasa Jeshi limehakikisha vipi kuwa idadi ya watu iliyokuwepo imezidi limitation ya uzito?

2. Mechanism ya Lift ilivyo, uzito ukizidi huwa inatoa notification na haiendi, sasa iliendaje? Je haikutoa hata notification? Jeshi hakukuwa na any notification au lift kugoma kufanya kazi? Na kwanini ishuke kama jiwe?

Ifike wakati nadharia zetu ziwe zinachanganua mambo vizuri ili tujue tatizo ni nini, kulikubali tatizo kwa nadharia tu haiwezi kusaidia kuepuka majanga. Lazima tuzishughulishe akili zetu zifanye kazi kitaalamu na tuwe na Majibu ya kitaalamu. SIo yale yatakayokubalika na jamii kwa haraka.

idadi ya watu kuzidi/uzito kuzidi jambo dogo sana kwenye lift kuanguka.

Tunaomba majibu sahihi ili na sehemu zingine waweze kuchukua tahadhari.
Huyu kilaza sana, body language inamsuta.
 
Huko COSS si ni mpya kabisa..!! Maana wakati namaliza pale hayo majengo hayakuwep..!! Hall 5 na hall 2 ni hatari kabisa..!! Pale mtu/watu watakufa muda wowote..! si kwa lifti tu, bali hata majengo yenyewe..!!
COSS ndo FASS enzi zile?
 
Yale majengo mimi mwenyewe huwa nayaangalia kwa jicho tofauti. Naonaga kama hakuna uwiano mzuri wa Upana na urefu. Kwa vile sina elimu ya uhandisi inanilazimu niyapuuze mawazo yangu.
Kuna jengo lingine lipo Kinondoni pale mkabala na OPEN University, na lenyewe ukiliangalia upana wake unakuta kama halikustahili kuwa refu vile. Ila ni mambo ya wahandisi haya.
Sema nini, wakati mwingine upana, urefu na na kina vinauwawa na ratio za simenti, mchanga, kokoto, nondo na maji..!!
 
Watanzania tunapendaga na kuendekeza sana anasa. Sasa lifti ya nini? Yani unakuta ghorofa ya kumi na nne hadi 20 huko eti watu wanatumia lifti. Unabaki tu kujiuliza are we really serious with our wellbeing [emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35]
We jamaa umeishia la ngapi?
 
Huyo mtoa taarifa sasa! Ni aibu hajui hata anachoongea!
 
Poleni sana wakazi wa Dar na wahanga wa ajali, nimeona kwenye mitandao hii habari nikatamani kujua vingi, na ningekuwa Dar ningefika hata eneo la tukio for physical observation.

Nimeona Mtu kutoka jeshi la Zimamoto na Uokoaji akisema kuwa Sababu kuu za kudondoka kwa lift ya jengo la Millenium Tower ni wingi wa watu. BADO KICHWA CHANGU HAKIJAAFIKI. Na hoja ni hizi:

1. Limitation ya Lift haipo kwenye idadi ya watu, ila ipo kwenye uzito. Idadi ya watu huwekwa tu kama makadirio kwamba kila mtu anaweza kuwa na uzito wa wastani kilo 75. Hivyo ikiwa limit ni kilo 750 itaandikwa ni watu 10 kwa maana ya 75 x 10. Sasa Jeshi limehakikisha vipi kuwa idadi ya watu iliyokuwepo imezidi limitation ya uzito?

2. Mechanism ya Lift ilivyo, uzito ukizidi huwa inatoa notification na haiendi, sasa iliendaje? Je haikutoa hata notification? Jeshi hakukuwa na any notification au lift kugoma kufanya kazi? Na kwanini ishuke kama jiwe?

Ifike wakati nadharia zetu ziwe zinachanganua mambo vizuri ili tujue tatizo ni nini, kulikubali tatizo kwa nadharia tu haiwezi kusaidia kuepuka majanga. Lazima tuzishughulishe akili zetu zifanye kazi kitaalamu na tuwe na Majibu ya kitaalamu. SIo yale yatakayokubalika na jamii kwa haraka.

idadi ya watu kuzidi/uzito kuzidi jambo dogo sana kwenye lift kuanguka.

Tunaomba majibu sahihi ili na sehemu zingine waweze kuchukua tahadhari.
Hapa kuna mtu anatakiwa kuwajibishwa. Kwani
1-Lifti,escalator au hoist au boiler zinatakiwa kukaguliwa kila baada ya miezi 6 na Serikali au wakala wake.
2-Kampuni inafanya service ya hiyo lifti utendaji wake.
3-Kampuni inayomanage hiyo jengo na umakini wake.
4- Mwenye jengo kuhakisha anatekeleza vipi kanuni za umiliki wa hiyo jengo kwa matumizi usalama
 
Poleni sana wakazi wa Dar na wahanga wa ajali, nimeona kwenye mitandao hii habari nikatamani kujua vingi, na ningekuwa Dar ningefika hata eneo la tukio for physical observation.

Nimeona Mtu kutoka jeshi la Zimamoto na Uokoaji akisema kuwa Sababu kuu za kudondoka kwa lift ya jengo la Millenium Tower ni wingi wa watu. BADO KICHWA CHANGU HAKIJAAFIKI. Na hoja ni hizi:

1. Limitation ya Lift haipo kwenye idadi ya watu, ila ipo kwenye uzito. Idadi ya watu huwekwa tu kama makadirio kwamba kila mtu anaweza kuwa na uzito wa wastani kilo 75. Hivyo ikiwa limit ni kilo 750 itaandikwa ni watu 10 kwa maana ya 75 x 10. Sasa Jeshi limehakikisha vipi kuwa idadi ya watu iliyokuwepo imezidi limitation ya uzito?

2. Mechanism ya Lift ilivyo, uzito ukizidi huwa inatoa notification na haiendi, sasa iliendaje? Je haikutoa hata notification? Jeshi hakukuwa na any notification au lift kugoma kufanya kazi? Na kwanini ishuke kama jiwe?

Ifike wakati nadharia zetu ziwe zinachanganua mambo vizuri ili tujue tatizo ni nini, kulikubali tatizo kwa nadharia tu haiwezi kusaidia kuepuka majanga. Lazima tuzishughulishe akili zetu zifanye kazi kitaalamu na tuwe na Majibu ya kitaalamu. SIo yale yatakayokubalika na jamii kwa haraka.

idadi ya watu kuzidi/uzito kuzidi jambo dogo sana kwenye lift kuanguka.

Tunaomba majibu sahihi ili na sehemu zingine waweze kuchukua tahadhari.
Msemaji ndio haieleweki kabisa
 
Back
Top Bottom