Na ukitaka kujua kama unaumwa au huumwi siku jaribu kukwea floor 10 na ngaz jibu utalipata ka unahitaj medical check up ama vipi? [emoji16]Aise! Ghorofa 14 sio makalio aise.....hivi umewahi kujaribu kupanda hata flow 10 tu?
Ikikosa control, hasa breaking iwe magnetic breaking au kama za kwenye gari, inakuwa kwenye free fall..!!Niondoeni ujinga..kwani Lifti ikidondoka..si ina Reli zake..au hushuka kwa kasi sana?
Naafikiana na hoja.Poleni sana wakazi wa Dar na wahanga wa ajali, nimeona kwenye mitandao hii habari nikatamani kujua vingi, na ningekuwa Dar ningefika hata eneo la tukio for physical observation.
Nimeona Mtu kutoka jeshi la Zimamoto na Uokoaji akisema kuwa Sababu kuu za kudondoka kwa lift ya jengo la Millenium Tower ni wingi wa watu. BADO KICHWA CHANGU HAKIJAAFIKI. Na hoja ni hizi:
1. Limitation ya Lift haipo kwenye idadi ya watu, ila ipo kwenye uzito. Idadi ya watu huwekwa tu kama makadirio kwamba kila mtu anaweza kuwa na uzito wa wastani kilo 75. Hivyo ikiwa limit ni kilo 750 itaandikwa ni watu 10 kwa maana ya 75 x 10. Sasa Jeshi limehakikisha vipi kuwa idadi ya watu iliyokuwepo imezidi limitation ya uzito?
2. Mechanism ya Lift ilivyo, uzito ukizidi huwa inatoa notification na haiendi, sasa iliendaje? Je haikutoa hata notification? Jeshi hakukuwa na any notification au lift kugoma kufanya kazi? Na kwanini ishuke kama jiwe?
Ifike wakati nadharia zetu ziwe zinachanganua mambo vizuri ili tujue tatizo ni nini, kulikubali tatizo kwa nadharia tu haiwezi kusaidia kuepuka majanga. Lazima tuzishughulishe akili zetu zifanye kazi kitaalamu na tuwe na Majibu ya kitaalamu. SIo yale yatakayokubalika na jamii kwa haraka.
idadi ya watu kuzidi/uzito kuzidi jambo dogo sana kwenye lift kuanguka.
Tunaomba majibu sahihi ili na sehemu zingine waweze kuchukua tahadhari.
Yaani saanaa..!! Hata majengo ya hall 5 na hall 2..!! Pale hall 2 vizege huwa vinameguka na kudondoka chini..!! Yaani pale tunasubiria tu siku moja lishuke na watu..!! Nadhani ni ya miaka ya 196.... hukoo.Za miaka mingi mno.
Huko COSS si ni mpya kabisa..!! Maana wakati namaliza pale hayo majengo hayakuwep..!! Hall 5 na hall 2 ni hatari kabisa..!! Pale mtu/watu watakufa muda wowote..! si kwa lifti tu, bali hata majengo yenyewe..!!Lift za pale ndio sio za kuziamini. Mfano kama za COSS sijawahi kuziona zikiwa nzima mwezi 1 mfululizo.
Yale majengo mimi mwenyewe huwa nayaangalia kwa jicho tofauti. Naonaga kama hakuna uwiano mzuri wa Upana na urefu. Kwa vile sina elimu ya uhandisi inanilazimu niyapuuze mawazo yangu.Huko COSS si ni mpya kabisa..!! Maana wakati namaliza pale hayo majengo hayakuwep..!! Hall 5 na hall 2 ni hatari kabisa..!! Pale mtu/watu watakufa muda wowote..! si kwa lifti tu, bali hata majengo yenyewe..!!
Huyu kilaza sana, body language inamsuta.Poleni sana wakazi wa Dar na wahanga wa ajali, nimeona kwenye mitandao hii habari nikatamani kujua vingi, na ningekuwa Dar ningefika hata eneo la tukio for physical observation.
Nimeona Mtu kutoka jeshi la Zimamoto na Uokoaji akisema kuwa Sababu kuu za kudondoka kwa lift ya jengo la Millenium Tower ni wingi wa watu. BADO KICHWA CHANGU HAKIJAAFIKI. Na hoja ni hizi:
1. Limitation ya Lift haipo kwenye idadi ya watu, ila ipo kwenye uzito. Idadi ya watu huwekwa tu kama makadirio kwamba kila mtu anaweza kuwa na uzito wa wastani kilo 75. Hivyo ikiwa limit ni kilo 750 itaandikwa ni watu 10 kwa maana ya 75 x 10. Sasa Jeshi limehakikisha vipi kuwa idadi ya watu iliyokuwepo imezidi limitation ya uzito?
2. Mechanism ya Lift ilivyo, uzito ukizidi huwa inatoa notification na haiendi, sasa iliendaje? Je haikutoa hata notification? Jeshi hakukuwa na any notification au lift kugoma kufanya kazi? Na kwanini ishuke kama jiwe?
Ifike wakati nadharia zetu ziwe zinachanganua mambo vizuri ili tujue tatizo ni nini, kulikubali tatizo kwa nadharia tu haiwezi kusaidia kuepuka majanga. Lazima tuzishughulishe akili zetu zifanye kazi kitaalamu na tuwe na Majibu ya kitaalamu. SIo yale yatakayokubalika na jamii kwa haraka.
idadi ya watu kuzidi/uzito kuzidi jambo dogo sana kwenye lift kuanguka.
Tunaomba majibu sahihi ili na sehemu zingine waweze kuchukua tahadhari.
COSS ndo FASS enzi zile?Huko COSS si ni mpya kabisa..!! Maana wakati namaliza pale hayo majengo hayakuwep..!! Hall 5 na hall 2 ni hatari kabisa..!! Pale mtu/watu watakufa muda wowote..! si kwa lifti tu, bali hata majengo yenyewe..!!
Hata sijuiCOSS ndo FASS enzi zile?
Sema nini, wakati mwingine upana, urefu na na kina vinauwawa na ratio za simenti, mchanga, kokoto, nondo na maji..!!Yale majengo mimi mwenyewe huwa nayaangalia kwa jicho tofauti. Naonaga kama hakuna uwiano mzuri wa Upana na urefu. Kwa vile sina elimu ya uhandisi inanilazimu niyapuuze mawazo yangu.
Kuna jengo lingine lipo Kinondoni pale mkabala na OPEN University, na lenyewe ukiliangalia upana wake unakuta kama halikustahili kuwa refu vile. Ila ni mambo ya wahandisi haya.
College of vs Faculty of.Hata sijui
We jamaa umeishia la ngapi?Watanzania tunapendaga na kuendekeza sana anasa. Sasa lifti ya nini? Yani unakuta ghorofa ya kumi na nne hadi 20 huko eti watu wanatumia lifti. Unabaki tu kujiuliza are we really serious with our wellbeing [emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35]
Hapa kuna mtu anatakiwa kuwajibishwa. KwaniPoleni sana wakazi wa Dar na wahanga wa ajali, nimeona kwenye mitandao hii habari nikatamani kujua vingi, na ningekuwa Dar ningefika hata eneo la tukio for physical observation.
Nimeona Mtu kutoka jeshi la Zimamoto na Uokoaji akisema kuwa Sababu kuu za kudondoka kwa lift ya jengo la Millenium Tower ni wingi wa watu. BADO KICHWA CHANGU HAKIJAAFIKI. Na hoja ni hizi:
1. Limitation ya Lift haipo kwenye idadi ya watu, ila ipo kwenye uzito. Idadi ya watu huwekwa tu kama makadirio kwamba kila mtu anaweza kuwa na uzito wa wastani kilo 75. Hivyo ikiwa limit ni kilo 750 itaandikwa ni watu 10 kwa maana ya 75 x 10. Sasa Jeshi limehakikisha vipi kuwa idadi ya watu iliyokuwepo imezidi limitation ya uzito?
2. Mechanism ya Lift ilivyo, uzito ukizidi huwa inatoa notification na haiendi, sasa iliendaje? Je haikutoa hata notification? Jeshi hakukuwa na any notification au lift kugoma kufanya kazi? Na kwanini ishuke kama jiwe?
Ifike wakati nadharia zetu ziwe zinachanganua mambo vizuri ili tujue tatizo ni nini, kulikubali tatizo kwa nadharia tu haiwezi kusaidia kuepuka majanga. Lazima tuzishughulishe akili zetu zifanye kazi kitaalamu na tuwe na Majibu ya kitaalamu. SIo yale yatakayokubalika na jamii kwa haraka.
idadi ya watu kuzidi/uzito kuzidi jambo dogo sana kwenye lift kuanguka.
Tunaomba majibu sahihi ili na sehemu zingine waweze kuchukua tahadhari.
Msemaji ndio haieleweki kabisaPoleni sana wakazi wa Dar na wahanga wa ajali, nimeona kwenye mitandao hii habari nikatamani kujua vingi, na ningekuwa Dar ningefika hata eneo la tukio for physical observation.
Nimeona Mtu kutoka jeshi la Zimamoto na Uokoaji akisema kuwa Sababu kuu za kudondoka kwa lift ya jengo la Millenium Tower ni wingi wa watu. BADO KICHWA CHANGU HAKIJAAFIKI. Na hoja ni hizi:
1. Limitation ya Lift haipo kwenye idadi ya watu, ila ipo kwenye uzito. Idadi ya watu huwekwa tu kama makadirio kwamba kila mtu anaweza kuwa na uzito wa wastani kilo 75. Hivyo ikiwa limit ni kilo 750 itaandikwa ni watu 10 kwa maana ya 75 x 10. Sasa Jeshi limehakikisha vipi kuwa idadi ya watu iliyokuwepo imezidi limitation ya uzito?
2. Mechanism ya Lift ilivyo, uzito ukizidi huwa inatoa notification na haiendi, sasa iliendaje? Je haikutoa hata notification? Jeshi hakukuwa na any notification au lift kugoma kufanya kazi? Na kwanini ishuke kama jiwe?
Ifike wakati nadharia zetu ziwe zinachanganua mambo vizuri ili tujue tatizo ni nini, kulikubali tatizo kwa nadharia tu haiwezi kusaidia kuepuka majanga. Lazima tuzishughulishe akili zetu zifanye kazi kitaalamu na tuwe na Majibu ya kitaalamu. SIo yale yatakayokubalika na jamii kwa haraka.
idadi ya watu kuzidi/uzito kuzidi jambo dogo sana kwenye lift kuanguka.
Tunaomba majibu sahihi ili na sehemu zingine waweze kuchukua tahadhari.