Daah Kazi Kweli[Emoji23] [Emoji23] ukaunganisha na la Jb unapata paa la kuzuia mvua magogoni
[emoji23] [emoji23] ibume mara mbili??Watu wanatamani hii shoo ibume, haya video hiyo ya kinachoendelea eneo la tukiohttps://www.instagram.com/p/BOaVP__AphD/
a ha ha ha ahUkiunganisha na ya mkubwa fella unafunika bombadier yetu
WATU WACHACHE SANA HATA WA DARASA KULE BABATI WAMEZIDIWatu wanatamani hii shoo ibume, haya video hiyo ya kinachoendelea eneo la tukio
Kiingilio kwa Darasa ilikuwa kiasi gani?WATU WACHACHE SANA HATA WA DARASA KULE BABATI WAMEZIDI
Ambao hatulali leo ni wengi[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nifah huwa akili zako sizielewi kabsa..!! IQ yako ndogo sana. Sijui huna exposure, na bora uwe demu kama ni msela basi unahasara sana.Acha zako hizo wewe.
Picha za kuunga manake zimekuwa cropped.
Kwanini msiweke picha mojamoja?
Halafu inaingia akili picha za eneo moja kuunganishwa?
Picha zote zimepigwa karibu na stage halafu zimeunganishwa?
Jeez...something must be wrong.
Halafu Millard Ayo,Le Mutuz wote ni watu wenu.
Angekuwepo ripota kutoka EATV sawa.
Period
Ile show ni ya wasafi ndio maana ommycrazy yupo kama dj hata kama clouds waliipromoteCku iz ommy crazy anafanya kazi clouds fm???
And you are my man [emoji7]She is my girl..
Punguza jazba weka picha bila ku-cropNifah huwa akili zako sizielewi kabsa..!! IQ yako ndogo sana. Sijui huna exposure, na bora uwe demu kama ni msela basi unahasara sana.
Akili zangu unataka uzielewe wewe kama nani?Zikusaidie nini?Nifah huwa akili zako sizielewi kabsa..!! IQ yako ndogo sana. Sijui huna exposure, na bora uwe demu kama ni msela basi unahasara sana.
Watanzania sisi ni watu wa ajabu ogopa sana, ndio maana diamond magazeti yameandika weee kua anguko la diamond, lakini dogo hashuki, nazani wenye roho mbaya wanaona anachelewa kushuka, ili baadae watumie kama rejeo kuwatisha wengine wenye mafanikio, waseme alikuwepo diamondMy country Tanzania. Tunachangamoto sana. Yaani siye furaha yetu MTU aharibikiwe au akose. Eti imebuma. Hongera diamond kujaza watu zaidi ya elfu kumi kwa 30, na kilo 1 siyo masihara...
Najua watani zenu upande wa pili watakuwa wamezima simu.
[emoji23]Nimeona Mkuu! Mimi na huyu mtoto mzuri ni "mwili mmoja" so hakuna shida.. Hata tisheti zangu anavaa sana [emoji1]
kidoti leo kiba kapiga mangapiAkili zangu unataka uzielewe wewe kama nani?Zikusaidie nini?
IQ yangu ikiwa ndogo wewe una hasara gani?
Sawa sina exposure, wewe inakuhusu nini?
Mimi ambaye akili zangu huzielewi,IQ ndogo,sina exposure unanifuatilia...huoni kama wewe ndio hujielewi,IQ ndogo na huna exposure kwa kumfuatilia unayesema ana IQ ndogo?
Ungekuwa na akili kubwa ungejali kuhusu mtu usiyemjua?
Idiot
Nyote walewaleKipi cha ajabu acha shobo ww hyo "lol" mbna hatusemi