Asipoziweka hizo picha zake alizozipiga yeye kwenye hiyo shoo ya jana ndio utaona matumizi ya hilo neno "ole wake" litakavyofanyakazi kwake,nampa masaa 24 x24.[emoji3][emoji3]ole wake..aya maneno nayasikia kwenye kitabu kitakatifu..sasa hapa sijui yametumikaje..
Kwahio Darasa yupo juu sana .......??We huyu darasa ni balaa. Jeshi la mtu mmoja. Angefanya Show ya peke yake hapo jangwani sea breeze pasingetosha
Vipi ile mlichoma ile gari aliyosema meneja ili mvute attention ya watu kimataifa?!Kwani unajua shoo walikusudia wawe watu wangapi na wamewapata wangapi ........ Kiasi kwamba unasema imebuma.
Mlisema mngechoma moto gari mpya kabisa Vipi mlifanikiwa?!Kwani unajua shoo walikusudia wawe watu wangapi na wamewapata wangapi ........ Kiasi kwamba unasema imebuma.
Yaani wewe ni mzaramo kweli,maana upo kinafki nafki tu,kumbe hata kwenye shoo hukwenda ila unasema imebuma,maana ungeenda hata ili swali usingeuliza. Acha wifu kitoto cha kiume.Vipi ile mlichoma ile gari aliyosema meneja ili mvute attention ya watu kimataifa?!
Mbona mapovu tena.Yaani wewe ni mzaramo kweli,maana upo kinafki nafki tu,kumbe hata kwenye shoo hukwenda ila unasema imebuma,maana ungeenda hata ili swali usingeuliza. Acha wifu kitoto cha kiume.
Ukitaka kumtambua mzaramo popote duniani muangalie mdomo wa juu unakua umebinuka halaf unakuta unacheza cheza kila baada ya dakika kadhaa....hawa mi hawanipi shida kabisa wazaramo na wandengereko nawajua vizuri sana....Yaani wewe ni mzaramo kweli,maana upo kinafki nafki tu,kumbe hata kwenye shoo hukwenda ila unasema imebuma,maana ungeenda hata ili swali usingeuliza. Acha wifu kitoto cha kiume.
Hivi na wewe unaishi Buguruni au Vingunguti ........ Maana ndio mitaa ya wazaramo,wakitokea uzaramuni Samvula chore,Masaki.Mlisema mngechoma moto gari mpya kabisa Vipi mlifanikiwa?!
Ajibu swali huyoMbona mapovu tena.
Huu mchezo hauitaji hasira.
Mlichoma lile gari moto au hamkuchoma?!
braza hii avatar yko unatuchanganya sana.....Mimi ni The bold
Umeona hiyo,ungepewa wewe ungeona umetoka kimaisha.Mbona mapovu tena.
Huu mchezo hauitaji hasira.
Mlichoma lile gari moto au hamkuchoma?!
Duh! Pole sana Mkuu, baada ya muda utaizoea..braza hii avatar yko unatuchanganya sana.....
Mkuu inaonyesha huko kwenye PM zenu (wewe na nifah) mko bize sana,kuliko ubize unaokuwa nao wakati wa kujibu hoja za zile mada zako.Duh! Pole sana Mkuu, baada ya muda utaizoea..
Hahahahah!! Love is a beautiful thing..Mkuu inaonyesha huko kwenye PM zenu (wewe na nifah) mko bize sana,kuliko ubize unaokuwa nao wakati wa kujibu hoja za zile mada zako.
Maana mmefikia kubadilishana Avatar,basi iliwachukua mazungumzo ya muda mrefu sana kufikia muafaka.Na nina amini mmeshawahi kuonana au kuwasiliana kwa simu. Hongera mkuu,ila kuwa makini,maana mtu mwenye chuki za kuandika siku anaweza akafanya vilevile akihisi bado yupo JF anamponda MOND kumbe yupo na mtu live.Hahahahah!! Love is a beautiful thing..
Thanks man! Noted, ntazingatia..Maana mmefikia kubadilishana Avatar,basi iliwachukua mazungumzo ya muda mrefu sana kufikia muafaka.Na nina amini mmeshawahi kuonana au kuwasiliana kwa simu. Hongera mkuu,ila kuwa makini,maana mtu mwenye chuki za kuandika siku anaweza akafanya vilevile akihisi bado yupo JF anamponda MOND kumbe yupo na mtu live.
Huko disco vumbi huwa wanalipa 30,000 pia?Tukiachana na watu kujaa tunaomba taarifa ya msingi burudani ikoje na hao vijana wa WCB washapanda,kama ishu ni watu leo kote kumejaa hata disco vumbi uku hakuna sehemu ya kusogeza mguu.
H
Huko disco vumbi huwa wanalipa 30,000 pia?
Kwa hiyo meneja aliwatia kamba angechoma gari ili misukule wake muende wengi kushuhudia?!Hivi na wewe unaishi Buguruni au Vingunguti ........ Maana ndio mitaa ya wazaramo,wakitokea uzaramuni Samvula chore,Masaki.