Natamani kujua kinachoendelea Jangwani Sea Breeze

Huu mwaka Una fiesta mbili clouds bwana kwa kupenda mtelezo
 
Mi nilesema toka mwanzo sea breeze ni badogo sana anagalia watu walivo wachache hdi nyuma panaonekana vzur mond anajua kutafta sifa ili aonekane alijaz kumbe nothing

Watu wachache wamelipa Kiingilio cha chini cha 30,000.00, we ulikuwa unataka watu wengi walipe kiingilio cha 1000 bukubuku?
 
Reactions: MC7
Acha zako hizo wewe.
Picha za kuunga manake zimekuwa cropped.
Kwanini msiweke picha mojamoja?
Halafu inaingia akili picha za eneo moja kuunganishwa?
Picha zote zimepigwa karibu na stage halafu zimeunganishwa?
Jeez...something must be wrong.

Halafu Millard Ayo,Le Mutuz wote ni watu wenu.
Angekuwepo ripota kutoka EATV sawa.
Period
 
Mi nilesema toka mwanzo sea breeze ni badogo sana anagalia watu walivo wachache hdi nyuma panaonekana vzur mond anajua kutafta sifa ili aonekane alijaz kumbe nothing
Ulitaka wakuletee picha gani maana umetaka picha picha zimewekwa.....au hukutegmea hari ingekuwa iyo
 
ila kama umekuja na picha zako mfukoni ivi maaana hutaki kabisa kuziamini hizi hebu leta zako hizo hata kama wanaimbia viti au mchanga..
Chuki amekufunza nani hukuzaliwa nayo..
 
Watu wachache wamelipa Kiingilio cha chini cha 30,000.00, we ulikuwa unataka watu wengi walipe kiingilio cha 1000 bukubuku?
Ingekua buku buku ningeenda mbna ili nikaogelee kwenye zile swimming pool pale sio pa mchezo mchezo kula bata tu la pale siku za kawaida entrace yake ni buku sita na weekend buku nane huoni kama wangekua wametusaidia tena ngeenda saa 7 we hata jangwani hupajui ni wapi
 
Halafu Millard Ayo,Le Mutuz wote ni watu wenu.
Angekuwepo ripota kutoka EATV sawa.
Period

Kwahiyo kutokuwepo kwa ripota wa EATV au "watu wenu", sisi tuwasaidieje kwenye hilo???

Mlitaka twende tukawabebe makwao ili "waje kuhakikisha"..

Ukitaka picha za tukio ingia page ya lemutuz, millardayo.com, page ya kifesi, page ya wasafi, issaazam, almaszambele, ingia sasa hivi utapata picha za tukio..

Kutokuwepo kwa hao "watu wenu" sisi hatuna namna ya kuwasaidia..

Taarifa ni kwamba ntu ni nyomi! Its sold out..
 
Kama duniani kuna wazee wanajutia siku waliyopiga bao wakatunga mimba za watoto wao flanflan bado mzee malechela analaani siku hiyo bao la huyu kijana wake....fuc$#@k the day he was born a bastard
Haaahaaaa haaahaaaa, bao ni bao tuu mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…