Ipi hiyo[emoji26]Nasubiri picha ya kuchoma moto ile ndingaaaa
Mi nilesema toka mwanzo sea breeze ni badogo sana anagalia watu walivo wachache hdi nyuma panaonekana vzur mond anajua kutafta sifa ili aonekane alijaz kumbe nothing
Hii show imebuma tuwe wa kweli tu.Watu wachache wamelipa Kiingilio cha chini cha 30,000.00, we ulikuwa unataka watu wengi walipe kiingilio cha 1000 bukubuku?
Acha zako hizo wewe.[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
Siku hizi kuunganisha picha imekuwa dhambi [emoji23]
Hivi kabisa mnadhani tungeandaa show bila kuwa na uhakika kuwa itatulipa??
Sisi wafanyabiashara, hatujaandaa show Ili kujifurahisha..
Kwahiyo lemutuz amedanganya?? Millard ayo amedanganya?? Hebu tupeni nyinyi picha za kweli..
Nyinyi hamna tofauti na yule aliyekuwa anasema mafuriko ya Edo ya kutengeneza..[emoji23] [emoji23] [emoji23] hawa watu wanatuona mambugila sana.
Ulitaka wakuletee picha gani maana umetaka picha picha zimewekwa.....au hukutegmea hari ingekuwa iyoMi nilesema toka mwanzo sea breeze ni badogo sana anagalia watu walivo wachache hdi nyuma panaonekana vzur mond anajua kutafta sifa ili aonekane alijaz kumbe nothing
Hii show imebuma tuwe wa kweli tu.
ila kama umekuja na picha zako mfukoni ivi maaana hutaki kabisa kuziamini hizi hebu leta zako hizo hata kama wanaimbia viti au mchanga..Acha zako hizo wewe.
Picha za kuunga manake zimekuwa cropped.
Kwanini msiweke picha mojamoja?
Halafu inaingia akili picha za eneo moja kuunganishwa?
Picha zote zimepigwa karibu na stage halafu zimeunganishwa?
Jeez...something must be wrong.
Halafu Millard Ayo,Le Mutuz wote ni watu wenu.
Angekuwepo ripota kutoka EATV sawa.
Period
Mi cjaomba picha but hzo picha znajieleza zenyewUlitaka wakuletee picha gani maana umetaka picha picha zimewekwa.....au hukutegmea hari ingekuwa iyo
Kumbe kaka mkubwa alikuwepo.
Ukimchukia mond unjitafutia ugonjwaMi cjaomba picha but hzo picha znajieleza zenyew
Ingekua buku buku ningeenda mbna ili nikaogelee kwenye zile swimming pool pale sio pa mchezo mchezo kula bata tu la pale siku za kawaida entrace yake ni buku sita na weekend buku nane huoni kama wangekua wametusaidia tena ngeenda saa 7 we hata jangwani hupajui ni wapiWatu wachache wamelipa Kiingilio cha chini cha 30,000.00, we ulikuwa unataka watu wengi walipe kiingilio cha 1000 bukubuku?
Hahaa ugonjwa huo veeepeee umepanickUkimchukia mond unjitafutia ugonjwa
Halafu Millard Ayo,Le Mutuz wote ni watu wenu.
Angekuwepo ripota kutoka EATV sawa.
Period
Shemeji weka picha bila ku-crop kuthibitisha kuwa hii show haijabuma.Uko Nyumbani unaperuzi, unabishana na watu waliopo eneo la tukio, alafu unajiita mkweli?? [emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23]
eeenh Le baharia himselfKumbe kaka mkubwa alikuwepo.
Haaahaaaa haaahaaaa, bao ni bao tuu mkuuKama duniani kuna wazee wanajutia siku waliyopiga bao wakatunga mimba za watoto wao flanflan bado mzee malechela analaani siku hiyo bao la huyu kijana wake....fuc$#@k the day he was born a bastard
Ndiyo ametia gundu hii shuhuli.Kumbe kaka mkubwa alikuwepo.