laki si pesa.
JF-Expert Member
- Jul 14, 2015
- 10,003
- 9,755
Mbona unahangaika sana kuu kulazimisha hakujaza tatizo nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona unahangaika sana kuu kulazimisha hakujaza tatizo nini?
Hii nayo kapiga kifesi? Ukiwa na chuki bhana hata ubongo unasimama kufaby kaziNyote mbna mnapost picha za akina kifesi aliyekuepo apost picha alopiga yy
Huoni hata aibu hiyo pic ni ya mchana wakifanya matayarishoView attachment 450163Hii ndio nyomi iliyokuwepo
Hii nayo kapiga kifesi? Ukiwa na chuki bhana hata ubongo unasimama kufaby kazi
View attachment 450161
"Kumueleweza chizi utajipa kazi" by darasa
Huoni hata aibu hiyo pic ni ya mchana wakifanya matayarisho
Alafu unajiita mwanaume?
NotedUkiwa na wivu na mtu mwenye mafanikio bila sababu ya msingi ni kujitakia maradhi ya moyo.
Kazi nzuri WCB.
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]hilo tisheti la lemutuz ukilichana kitambaa chake unaweza kushona suruali zangu 10.
Kumbe wakina kwenye maandalizi hawaruhusiwi kunywa, pic ya mchana hiyo hata kutumia common sense tu shidaView attachment 450167nna hapa kwenye maandalizi
Mi sio mgeni jangwan sea breeze napajua vzuri watu elf mbili ni weng sana na kawaida ya show za wazi watu hua wengi mbele katikati panakua wazi wengne nyuma kabisa ukumbi ule hauwez kuhimili watu elf mbiliHawa watu hawajafika 2000 eheee! Hivi shule ulienda kusoma au kusindikiza wenzio , ukiwa na chuki hata kufikiria kwa ubongo inakuwa shida View attachment 450102
Pili hyo picha imepgwa camera imewekewa zoom out ili kupoteza watu wasieleweHawa watu hawajafika 2000 eheee! Hivi shule ulienda kusoma au kusindikiza wenzio , ukiwa na chuki hata kufikiria kwa ubongo inakuwa shida View attachment 450102
Wewe hujui kitu ulichotegemea hakikuwa kama ulivyotaka au ulivyotarajia, ulikuwa unaomba asijaze mwenzio kajaza.Pili hyo picha imepgwa camera imewekewa zoom out ili kupoteza watu wasielewe
Povu.Nifah huwa akili zako sizielewi kabsa..!! IQ yako ndogo sana. Sijui huna exposure, na bora uwe demu kama ni msela basi unahasara sana.
We ulifikiri darassa ni mpenda sifa aweke kiingilio laki laki wakati anajua kabisa raia wanaisoma nambaKiingilio kwa Darasa ilikuwa kiasi gani?
Hao wanatapata kwanza Dimond hakuwa peke yake.Si kweli Darassa kajaza jana na yupo peke yake hamna cha Clouds wala Vera Sidika. Wacha maneno weka muziki....View attachment 450096
Punguza Jazba shemeji.Nikuletee mimi kijakazi wako?? Nenda mitandaoni huko na kwenye mablogu utazikuta..
We huyu darasa ni balaa. Jeshi la mtu mmoja. Angefanya Show ya peke yake hapo jangwani sea breeze pasingetosha"Kumueleweza chizi utajipa kazi" by darasa