Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alijaza Mbaya Sana Club Yote, Sema Kiingilio KinywajiNasikia kiba alikuwa na show club flani uko Dom cjui iliendaje maana hapendagi show off
[emoji3][emoji3]analeta hasira online ....!! ana matatizoPunguza Jazba shemeji.
Mbona kila show huwa unatuletea picha ukiwa na furaha kabisa.
Huu mchezo hauitaji hasira shemeji.
Ha ha haha kibakuli amepiga show wap??? Kingilio ShingapKwanini picha zimeunganishwa na sio moja moja? Cha kuchekesha zaidi picha zote zimepigwa eneo moja karibu na stage.
Ndio maana jana nilisema leteni picha za angle zote.
Hata hivyo kwa hali ya sasa mmejitahidi,sio mbaya sana.
Ukiunganisha na ya mkubwa fella unafunika bombadier yetu
wewe ndio mdakuzi?aah mdau unafika mbali sasa hahahahhah
Nifah is my girl, as in mpenzi wangu.. alafu ni vile tu labda wewe ni mgeni humu au humjui vizuri Nifah
sio kwamba anamchukia chibu but lazima tutunishiane misuli just like simba na yanga.. but hakuna kuchukiana or kuchukia wasanii..
thats why unaona mimi mwenyewe mdau mkubwa wa WCB na yeye mdau mkubwa wa Kiba but tuko madly in luv..
Mimi ni The boldwewe ndio mdakuzi?
unamfahamu mdakuzi?Mimi ni The bold
Hapana simfahamu! Ni nani??unamfahamu mdakuzi?
Tuambie unachukua watu wangapi ......???Mi sio mgeni jangwan sea breeze napajua vzuri watu elf mbili ni weng sana na kawaida ya show za wazi watu hua wengi mbele katikati panakua wazi wengne nyuma kabisa ukumbi ule hauwez kuhimili watu elf mbili
Vipi, anajua sana eeeeh ??Live aachiwe king kiba.
hahaahaa jamiiforum buanaVipi, anajua sana eeeeh ??
Haya tuwekee wewe picha za jana usiku kwenye hiyo shoo,zikionyesha watu pamoja na jukwaa,ili tuone picha halisi ya hali ilivyokuwa,OLE WAKO USHINDWE KUFANYA HIVYO,NA UTATUAMBIA KWANINI UNAKOSOA BILA YA WEWE KUWEKA ZA KWAKO ULIZOZIPIGA.acha taarabu ww mi nasema ukweli najua kazi ya uphotographer and also videographer so kaa kmya cjasema ka edit kitu ila ujajua namna upigaji wa picha ww rudi shule 4m 3 kasome
kaka kila muda nikiangalia avatr natabasam najua nifah akili ikirud sawa nagundua best of the best "the bold"Uko Nyumbani unaperuzi, unabishana na watu waliopo eneo la tukio, alafu unajiita mkweli?? [emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23]
[emoji3][emoji3]ole wake..aya maneno nayasikia kwenye kitabu kitakatifu..sasa hapa sijui yametumikaje..Haya tuwekee wewe picha za jana usiku kwenye hiyo shoo,zikionyesha watu pamoja na jukwaa,ili tuone picha halisi ya hali ilivyokuwa,OLE WAKO USHINDWE KUFANYA HIVYO,NA UTATUAMBIA KWANINI UNAKOSOA BILA YA WEWE KUWEKA ZA KWAKO ULIZOZIPIGA.
Kwani unajua shoo walikusudia wawe watu wangapi na wamewapata wangapi ........ Kiasi kwamba unasema imebuma.Hao wanatapata kwanza Dimond hakuwa peke yake.
Mavoko,Raymond na Harmonize ambao mwaka huu wote walikimbiza kwa Hit songs ila bado show imebuma.
[emoji1] [emoji1] [emoji1]kaka kila muda nikiangalia avatr natabasam najua nifah akili ikirud sawa nagundua best of the best "the bold"