Natamani kujua kinachosababisha umasikini kwa vijana wasomi

Dah!! Sio ki viilee... Sema ni mtazamo wako lakin
 
College education has done more HARM THAN YOU CAN EVER IMAGINE.
 
Darasa la Saba hapa Tz wengi wanaunga Sana maisha , Jambo la pili hapa Tz wazazi hawakuoneshi tundu la kutokea mfano Mimi nilivyo bahili naamini ningepata wazazi Makin ningekuwa mbali Sana kiuchumi .
 
Kikubwa ni uthubutu, vijana wengibwasomi huwa wana ji attach na white collar jobs , ambazo kwa sasa chances za kuzipata no very slim to none!
Vijqna wa darasa la saba na form four
failures huwa wanaanza mbio za kutafuta mapema sana , na kwa sababi wanajua fika hawana nafasi za kuajiriwa , huwa hawachagui sana cha kufanya na akipata mtaji kidogo tu ana stick kwa kitu anachokijua kitamtoa .
Msomi ukimwambia nenda msanga uzaramoni kajumue mihogo uje uuze buguruni , hawezi kukuelewa , ila darasa la saba chaap anachangamkia fursa.
 
Extended families zinazosababisha utegemezi mkubwa.
 
Sahihi
Darasa la Saba hapa Tz wengi wanaunga Sana maisha , Jambo la pili hapa Tz wazazi hawakuoneshi tundu la kutokea mfano Mimi nilivyo bahili naamini ningepata wazazi Makin ningekuwa mbali Sana kiuchumi .
 
Hizi ni aina ya thread za kubeza elimu, tatizo siasa inapelekwa hata sehemu ambapo sio…anyway mimi nionavyo wasomi na wasio wasomi wote wako kwenye daraja moja la CCM.
 
Kwahiyo mtu akishakuwa msomi automatic lazima awe na maisha mazuri.

Akili za kidarasa la saba bwana

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Hivi Tanzania ina wasomi wangapi na wasiosoma wangapi? Je,kati ya makundi hayo ni kundi gani linaoongoza kwa umaskini? Viongozi wa serikali,watumishi wa umma na private sectors siyo wasomi? au kwenu wasomi ni graduates tu ambao hawajaajiriwa? Inamaana hakuna graduates wanaofanya Mishe zao kimya kimya au umetolea mfano kwa ndugu yako au shemeji yako anayeishi kwako ukageneralize ?au una database ya wasomi wote na kazi zao?
 
Elimu ni laana ikiwa hutaajiriwa
Itakufanya ushindwe jaribj vitu vidogo
 
Darasa la Saba hapa Tz wengi wanaunga Sana maisha , Jambo la pili hapa Tz wazazi hawakuoneshi tundu la kutokea mfano Mimi nilivyo bahili naamini ningepata wazazi Makin ningekuwa mbali Sana kiuchumi .

Nakuunga mkono, wasio na elimu ni wachache wenye maisha ya kueleweka na walio na elimu ni wachache wasio na maisha ya kueleweka.
 
Elimu wanayo pewa haina uhusinano Moja Kwa Moja na maisha ya utafutaji, msomi kama shimo la takataka lilochimbwa likisubiria takataka zitupwe(kuajiriwa) hivyo wasomi wengi wemeharibiwa akili zao na masomo wanayopewa kuandaa waje kuajiriwa ,ajira ikishindikana ,msomi hawezi fanya kazi zingine za kutumia nguvu,pia hata jamii inamshangaa msomi akilima ,akichoma mkaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…