Natamani kujua ushawishi wa kanisa katoliki katika utawala na usalama wa dunia

Natamani kujua ushawishi wa kanisa katoliki katika utawala na usalama wa dunia

Mkuu kama unachukua mawazo yangu kweli nimedanganya,
Kama vip soma afu kausha, mmi mwenyewe ni muRC ila dunia imebadilika sana ndugu yangu

Things are not the same they used to be.
Subscribe Uzi, nitakuita. Tuombe uzima.
 
Ukitaka kujua mambo ya hizi dini iwe Uislamu au Ukristo basi usiwe muumini wao kuna vingi utajifunza kwa uhuru mkubwa bila kuegemea popote

Hivi ushawahi kujiuliza wakati wa uchaguzi wa Papa ule moshi mweupe unaotoka kwamba amekubalika unatokana na nini ? Hivi kwanini wanao ruhusiwa kumchagua papa ni Makadrinali tu ?
Kama primary goal ni kumtumikia Mungu kwanini hawa Makadrinali wapo wachache sana duniani ? Nadhani hawafiki 300 Afrika ikiwa sijui na watatu
Hivi ni vigezo gani hasa vinatakiwa kuwa Kadrinali ? Unafikiria kwanini viliwekwa hivyo vigezo ili kila padri asifanikiwe kuwa Kadrinali ?
Haya makanisa ya dunia yana muingiliano mkubwa sana na serikali zetu za kidunia kuliko hata lengo lao la awali la kuwaleta wanadamu karibu na Mungu

Vivyo hivyo kwa dini zingine
Habari yako umeiongea kwa dhana sana kila sentensi, ina nadhani, hebu ongea kwa kujiamini shusha fact
 
Nakubaliana na wwe mkuu TB
Labda ndio sababu Wamerikani hawajawah kumchagua Rais mkatoliki ukiacha JF Kenedy alieuwawa na Joh Biden ndie makamu wa rais wa kwanza wa USA mkatoliki,
Pamoja na maelezo yote hayo kanisa hailwezi kuongoza dunia kama ilivyokuwa zamani..sasa ivi dunia imebadilika sana na kanisa limepoteza ushawish kwa jamii kubwa sana ulimwenguni, kwa sasa kuna 11 families which runs the world, hawa wanainfuence kubwa kwenye energy, Food, and Medicine......
Umafia wa kanisa Catholic umezidi kudhibitiwa vilivyo na haya mambo.

Kanisa Katoliki halijawahi kuongoza Dunia
 
Kanisa halina nguvu yyt mkuu, hizi unazoskia eti Rais wa nchi fulani ametokana na amri ya Vatican ni uzishi tu.

Vatican haina mamlaka yyt ktk nchi yyt zaidi ya kanisa lake kaka.
Haya mambo yanahtaji critical thinking ya hali ya juu...kwa taarifa yako Papa ndo kila kitu pale Marekani....vita na vurugu kwenye nchi za kiislamu ni matokeo ya secret influence....trump ndo alipangwa kuchukua nchi cse sasa marekani inatakiwa iende kijieshi zaidi, na mtu mbabe ndo alitakiwa CIA, FBI, na vyombo vingine vya usalama vilimtaka trump.....hata hvyo yote haya ni kutimiza malengo ya vatican..... Mambo ya kidini ndo yanayoyumbisha watu...siasa ni battle ground
 
Haya mambo yanahtaji critical thinking ya hali ya juu...kwa taarifa yako Papa ndo kila kitu pale Marekani....vita na vurugu kwenye nchi za kiislamu ni matokeo ya secret influence....trump ndo alipangwa kuchukua nchi cse sasa marekani inatakiwa iende kijieshi zaidi, na mtu mbabe ndo alitakiwa CIA, FBI, na vyombo vingine vya usalama vilimtaka trump.....hata hvyo yote haya ni kutimiza malengo ya vatican..... Mambo ya kidini ndo yanayoyumbisha watu...siasa ni battle ground
They don't know
 
Kanisa katoliki liko na influence kila sehemu
ndo maana Marekai walikuwa wanalipiga sana vita
Kennedy ndie Rais wa kwanza Marekani mkatoliki..
na hata kwenye kampeni zake aliwabembeleza sana wamarekani wamuamini
Hofu ya wamarekani wengi ni Rais mkatoliki kumsikiliza sana Pope na hatari zake

Kihistoria nchi zenye wakatoliki wengi zikipata Rais anesikiliza sna Vatican basi hata uhuru
wa wananchi huwa mashakani....

Kanisa katoliki lina historia chafu sana ya kulinda madikteta wakatoliki dunia nzima

na kutumiwa kwenye siasa za nchi fulani fulani mfano halisi Pope John Paul II
alivyotumika na Marekani huko Poland.....
Nimejifunza kitu kwenye post yako. Nikuulize, USA haijamchagua Rais mwingine mkatoliki baada ya JFK
 
Nachofahamu RC ina influence katika mfumo wa kitawala wa dunia kwanza kama the largest employer in the world. Kupitia taasisi zake nyingi, Vatican makao makuu ya RC ndo sehemu yenye akiba nyingi ya dhahabu duniani (Wachumi wananielewa) RC ni miongoni mwa taasisi chache zinazomiliki ardhi kwa kiasi kikubwa duniani. huwezi kuwa na umiliki wa vitu vyote hivyo nyeti afu ukose sauti. Ina shule, vyuo, benki, hospital nk hivyo vyote ni ishara ya kuwa na nguvu ya kimaamuzi katika masuala mbalimbali.
 
Haya mambo yanahtaji critical thinking ya hali ya juu...kwa taarifa yako Papa ndo kila kitu pale Marekani....vita na vurugu kwenye nchi za kiislamu ni matokeo ya secret influence....trump ndo alipangwa kuchukua nchi cse sasa marekani inatakiwa iende kijieshi zaidi, na mtu mbabe ndo alitakiwa CIA, FBI, na vyombo vingine vya usalama vilimtaka trump.....hata hvyo yote haya ni kutimiza malengo ya vatican..... Mambo ya kidini ndo yanayoyumbisha watu...siasa ni battle ground
haya yakianza kuongelewa watu watakuja juu lakini ndio uhalisia, kila kinachotokea hakitokei kwa bahati mbaya ila ni calculation za hakika zenye malengo maalumu ambayo walengwa wanayafahamu na wapo wasiofahamu. kuna watu wanafikiri ugaidi umeletwa na ndugu zetu waislamu laiti wangejua hata agenda inayopelekea middle east na islamic countries kushambuliwa, watu wangezidi kumuomba Mungu atuokoe dhidi ya huu udhalimu
 
Haya mambo yanahtaji critical thinking ya hali ya juu...kwa taarifa yako Papa ndo kila kitu pale Marekani....vita na vurugu kwenye nchi za kiislamu ni matokeo ya secret influence....trump ndo alipangwa kuchukua nchi cse sasa marekani inatakiwa iende kijieshi zaidi, na mtu mbabe ndo alitakiwa CIA, FBI, na vyombo vingine vya usalama vilimtaka trump.....hata hvyo yote haya ni kutimiza malengo ya vatican..... Mambo ya kidini ndo yanayoyumbisha watu...siasa ni battle ground
Naona unaongozwa kwa hisia zaidi.
Papa ni nani hasa marekani?
Unajua wakatoliki ni asilimia ngapi pe marekani??

Acha hisia za kitoto
 
Naona unaongozwa kwa hisia zaidi.
Papa ni nani hasa marekani?
Unajua wakatoliki ni asilimia ngapi pe marekani??

Acha hisia za kitoto
Umenielewa lakini nilivyosema au umekrupuka tuuu? Narudia hv haya mambo huwezi ukayaelewa kwa mtazamo wa nje wa haraka haraka....yana siri nzito...nguvu ya papa haitegemei wingi wa waumini wake sehemu husika...yeye popote pale akienda hupokelewa kama mfalme..na uchaguzi wa papa ndo wenye nguvu kupita uchaguzi wowote duniani......!! Usitegemee kuwa anapewa nguvu na nchi maskini kama tz...mataifa makubwa yanampa nguvu kurudisha level aliyopoteza zaman...na USA ndo mpango mzima...nchi zingine ni kuhakikisha tu raisi mkatoliki ndo anatawala
 
Uongozi mzima wa nchi ni wa watawa, hao ndiyo wanasomea sheria, afya, elimu, engineering, huduma za jamii na vinginevyo. Askari wanaomlinda Pope lazima wawe wakatoliki. wengine wataendelea.

Kwann lazima wawe wakatoliki eti nasikia lazima atokee uswisi ni kweli hilo?
 
Mkuu ngoja nikueleweshe kidogo mosi suala la moshi kwanza moshi ule mweupe ni ishara Kuwa Papa kapatikana katika kile kipindi wanapofanya uchaguzi Najua Unajua kuna baadhi ya vitu vikichomwa moto hutoa moshi wenye rangi Fulani aidha mweusi ambao ni komoni au rangi yoyote ile ule ni utaratibu ambao Kanisa wamejiwekea kuwa moshi ule mweupe ni ishara kuwa humo ndani mambo ni mazuri na Kiongozi kapatikana pia kanisa lina mfumo na taratibu zake kufikia cheo cha juu hasa kadrinali kwa padri kwahiyo Kuwa wachache au wengi haiathiri wala haipunguzi chochote katika kanisa!!
Oh asante mkuu kwa hiyo inapotokea ukatoka ule moshi mweusi maana yake ni nini ? Hajapatikana sio ? Hajapatikana kwa misingi ipi ? Wanaopigiwa kura kuwa papa si wale Makadrinali ? Kwanini mmoja moshi utoke mweupe na mwingine mweusi ?
 
Nakubaliana na wwe mkuu TB
Labda ndio sababu Wamerikani hawajawah kumchagua Rais mkatoliki ukiacha JF Kenedy alieuwawa na Joh Biden ndie makamu wa rais wa kwanza wa USA mkatoliki,
Pamoja na maelezo yote hayo kanisa hailwezi kuongoza dunia kama ilivyokuwa zamani..sasa ivi dunia imebadilika sana na kanisa limepoteza ushawish kwa jamii kubwa sana ulimwenguni, kwa sasa kuna 11 families which runs the world, hawa wanainfuence kubwa kwenye energy, Food, and Medicine......
Umafia wa kanisa Catholic umezidi kudhibitiwa vilivyo na haya mambo.
Kama ambavyo lilitawala dunia kipindi hiko litarudi tena kutawala dunia. Na hizi families ndio zitalirudisha utawala wao. Wanafanya kazi ya hili kanisa chini chini. Soon you will know about this. Just jaribu kuangalia matamko yatakayokuwa yanatolewa na Pope kuanzia now and you will see how many followers atapata. Si umeona juzi kasema Talaka ruksa!! Yaani maaguzi ya Mungu yanapangiwa cabinet duniani
 
Ukitaka kujua mambo ya hizi dini iwe Uislamu au Ukristo basi usiwe muumini wao kuna vingi utajifunza kwa uhuru mkubwa bila kuegemea popote

Hivi ushawahi kujiuliza wakati wa uchaguzi wa Papa ule moshi mweupe unaotoka kwamba amekubalika unatokana na nini ? Hivi kwanini wanao ruhusiwa kumchagua papa ni Makadrinali tu ?
Kama primary goal ni kumtumikia Mungu kwanini hawa Makadrinali wapo wachache sana duniani ? Nadhani hawafiki 300 Afrika ikiwa sijui na watatu
Hivi ni vigezo gani hasa vinatakiwa kuwa Kadrinali ? Unafikiria kwanini viliwekwa hivyo vigezo ili kila padri asifanikiwe kuwa Kadrinali ?
Haya makanisa ya dunia yana muingiliano mkubwa sana na serikali zetu za kidunia kuliko hata lengo lao la awali la kuwaleta wanadamu karibu na Mungu

Vivyo hivyo kwa dini zingine
1479292677741.jpg
Na hii hapa inamaanisha nini mkuu??
 
Na hili ndio maana niliwaambia wakati wa uchaguzi kuwa lowassa hawezi kushinda it's not about kwamba yeye sio chadema au CCM hapana Ni kwasababu yeye Ni MPROTESTANT nchi hiinitatawaliwa na muislamu na mkatoliki mpka mwisho wa dahari!!
At the end of the day watatawala tena dunia only few watabaki fighting but ilishatabiriwa hata kwa kitabu cha Daniel kwa Ile sanamu kuwa ule utawala wa kuvaa mavyuma mwilini (Roma) watarudi but YESU atarudi kuvuruga huu utawala.
NB: ( msije na hisia za udini HAPA someni na muelewe na pia mkasome na historian bila kichwa chako kukieweka kwneye imani yoyote ndio utaelewa)
 
Kanisa katoliki liko na influence kila sehemu
ndo maana Marekai walikuwa wanalipiga sana vita
Kennedy ndie Rais wa kwanza Marekani mkatoliki..
na hata kwenye kampeni zake aliwabembeleza sana wamarekani wamuamini
Hofu ya wamarekani wengi ni Rais mkatoliki kumsikiliza sana Pope na hatari zake

Kihistoria nchi zenye wakatoliki wengi zikipata Rais anesikiliza sna Vatican basi hata uhuru
wa wananchi huwa mashakani....

Kanisa katoliki lina historia chafu sana ya kulinda madikteta wakatoliki dunia nzima

na kutumiwa kwenye siasa za nchi fulani fulani mfano halisi Pope John Paul II
alivyotumika na Marekani huko Poland.....
Na hili kanisa ndilo limemweka Magufuli madarakani.
 
Kanisa katoliki lina nguvu ya kuongoza dunia, mfano mdogo: Kipindi kile Obama na mwenzi Mwingereza walivyokuwa wamekazania kuutetea ushoga, baba mtakatifu alimuita Obama, wakaa akamuonya kuhusu dhambi ya kuoana watu wa jinsia moja, ndio hapo Obama na wenzie wakapunguza kidogo kasi ya kuuhubiri ushoga.
 
Back
Top Bottom